Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

I wish to believe the population of 'Wahindi' may be around 0.1% of an estimated population of 60 million.
Among these 0.1% are various people who also drive taxis, work at various levels as unskilled, beg for alms etc. Somehow in this thread there are views pertaining to perceptions with no solid proof or perhaps hear say from others.

For the benefit of doubts, if indeed there a few of those whom may have had various 'personal experiences' with the Wahindis than would it be fair to castigate the entire 0.1%?

Lastly, if they could 'do it' their business skills etc etc than why can't you or the rest?
 
kwani Mskitini, Makanisani ama waumini wao hawatumii udi nyumbani kwao? na wakati wa kuswali hata wewe utamsubiri hadi amalize?
Tofautisha udi na ibada za Miungu mkuu,ushawahi ingia wakiwa wanafanya hizi ibada?if no then huwezi elewa
 
kweli mkuu
 
ubarikiwe sana mkuu nimepata kitu hapa.
 
Wahindi na ushirikina ni mtoto na nyonyo
Ofisini kwao wamejaza yale madude wanayachoma moto kila asubui na hamna mtu anaruhusiwa kuingia mpaka wamalize mambo yao!
Na pili wana wivu sana na roho za choyo hata awe amefanikiwa vipi mfano halisi modewji!
Wewe ni wale wanaodhani dunia yote Ina dini mbili Ukristo na Uislam!
Toka humo kwenye box lako!
 
mkuu hupo sahihi kabisa.
 
Namba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Kwanini unapinga wakati madaktari bingwa wengi wanapatikana India? Usisahau pia hawa jamaa wanamiliki hadi mabomu ya nyuklia,Satelite n.k
 
Wachafu sana na ni washirikina sana hakuna mhindi asiye na hirizi,wana possible hawana impossible,wanafiki sana na wambea
Hapa nimekubali,kuhusu umbea na unafiki wako vizuri,muhindi ata ukifanya kazi vizur ana kuchukia.
 
Kuna methali isemayo "baniani mbaya, kiatu chake dawa'. Hivyo hao jamaa pamoja na kuonwa hawasomeki vizuri, ila ukiwakuta kwenye angle za kitaaluma zao kama; biashara, uhandisi, medicals wako vizuri Sana Ila 'mawenge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…