Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana PhD ya kumanage biashara hata kama ameishia s.t.d 4... Very bright... Wanalenga KUFANIKIWA wao na wewe MFANYAKAZI uwe maskin milele.. yaan ufanye kazi kwao milele... WASHENZI sanaSiku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno(genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na wahindi
Ni sawa nakusema.....Dangote anatumia kitochi...alafu mbongo unatumia IphoneKuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarkt.
Nasikia wanatumia tishu kutawaza badala ya maji tiririkaWachafu wamepitiliza
Wahindi siyo kuwa wanaakili Sana sema Tu pilipili zao zinawafeva Sana kuwa wepesi wa kufikiri na kufanya mambo.Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno(genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na wahindi
Na hili ndio hasa lengo la mleta mada.Mimi nimegundua wahindi wamemnyanyasa Manara
Sio swala la bei ni ubora wa bidhaa hasa chakula....Bidhaa za supermarket sio zote ni expensive kuliko za magengeni au kwa mangi. Ondoa hiyo mentality.
Fanya research kidogo kwa bidhaa za vinywaji utaona.
Manara hajanyanyaswa, sema tu kajifukuzisha kazi mwenyewe kwani jamaa ni mnafiki na muongo sana. Hata wewe ungemfukuza klabuni kwako.Mimi nimegundua wahindi wamemnyanyasa Manara
Wale ni wanyamweziMimi nimegundua wahindi wamemnyanyasa Manara
😂😂😂😂😂😂!!! Sawa Mkuu.Wale ni wanyamwezi
Hiyo namba moja amekosea jinsi ya kuiwasilisha,wana ujanja ujanja au uchangamfu fulani ambao mtu yeyote anaweza kuwa nao kutokana na mazingira.Namba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Na vipi kuhusu raw foods?achana na hizo processed products.Bidhaa za supermarket sio zote ni expensive kuliko za magengeni au kwa mangi. Ondoa hiyo mentality.
Fanya research kidogo kwa bidhaa za vinywaji utaona.