Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Wahindi siyo kuwa wanaakili Sana sema Tu pilipili zao zinawafeva Sana kuwa wepesi wa kufikiri na kufanya mambo.

Wananyanyasa Sana hata wao Kwa wao wao

Waongo waongo Sana

Wanapenda kuhonga Sana watu wa ngazi za juu Kwa ajiri ya kunyoosha mambo Yao

.
"Wanapenda kuhonga Sana watu wa ngazi za juu Kwa ajiri ya kunyoosha mambo Yao". Ukweli mtupu. Inachangia wabantu wengi kushindwa kufanya biashara ksb hawana pesa ya kufikia dau linalotolewa na wahindi.
 
Kwenye short cut ni washirikina sana
Wahindi....niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaaa..,.......,..,....take it from me hawa jamaaa niwashirikina mnooooooo

Wanafuga sana majini .........
Wanaroga sana usiku kwenye mito ,miti mikubwa n.k

Hela zao wanaweka kwenye chumba special au kabati special tena hawahesabu na huwa kuna Giza Nene na anayeingia kuchukua hizo hela ni MTU mmoja tu katika familiaaa,kiufupi wanaongoza kutoweka pesa benki

Wahindi pia ni wana akili sana za darasani ...nilipata kusoma nao .jamaa ni mwepesi kudaka mambo
 
wasomali wana miradi gani hapa bongo?
Wasomali wako vizuri ...mfano jengo la City Mall pale posta Jirani na Aliba ..mmiliki ni Msomali ....Wauzaji rangi maarufu K.koo Kanda Trading ..ni wasomali
 
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Wanapua ndefu kuliko mikono yao
 
Uamuzi unakuja baada ya idadi kuzidi. Jamii yoyote haiwi na wote kufanana, sifa huletwa na wengi.
Kwa huo mfano wako ina maana watu wa Dar ni vibaka kisa Dar kuna vibaka wengi?
Kanda ya ziwa wote ni makatili kisa kuna watu wanaua wazee kwa imani za kishirikina? au wote ni makatili kisa kuna baadhi huwakata Albino viungo wakiwa hai?
 
Uchumi wa Tz umemilikiwa na wazungu, wahindi, waarabu na wasomali.

Watanzania wanamiliki chini ya 10%.

Hata serikali yako inajua hilo.
Uko sahihi, ila hujui, au umesahau kuwa hiyo 10% ndio consumer wa products na huduma zote zinazozalishwa au kutolewa na hao wazungu, wahindu, warabu, wasomali na wakenya japo uliwasahau. Na hamjui kula na vipofu. Unyanyasi mnao wafanyia wazawa ipo siku watachoka na yatawakuta yalio wapata wenzenu Uganda enzi za Amini.
 
Mimi nimegundua wahindi wamemnyanyasa Manara
IMG-20210729-WA0006.jpg
7
 
Yanatuzidi akili bwana, hebu tuwe wakweli.

Hao jamaa wana maarifa na ni wajanja kutuzidi mbali.

Top ten ya matajiri wa nchi hii ni wahindi.hakuna mweusi hata mmoja.

Mhindi ndio ameihold sekta binafs ya tanzania.
kwa maana kwamba biashara zozote kubwa (multi-bilion) ktk nchi hii ni zao.

Ili biashara yako inawiri pale kwny management toa mswahili weka mdosi.

Mhindi ndiye anayekuajiri na kuamua kula yako ktk nchi yako ya asili.

Viwanda ktk mikoa almost yote ni mali yao.

Benki za ndani humfikiria kumkopesha mhindi kuliko mswahili

Mhindi ndio mnunuzi mkuu wa kahawa zenu, korosho zenu, pamba yenu nk

Ukimkuta mhindi ni tajiri leo..ondoka njoo baada ya nusu karne (kama utajaliwa) utakuta bado tajiri vilevile yeye au descendands wake.

Kwa maana nyingne Sisi ni wajisiriamali wahindi ni wafanya biashara.

Sisi ni daraja la wao kufanikiwa
Huwezi kukuta mhindi ni VEO au mwalimu au askari serikalini japo ni watz.
wao wamekamata njia kuu za uchumi
 
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Nimesoma na wahindi, nimefanya kazi na wahindi, mara ya kwanza nikiwa shule ya msingi, kulikuwa na Muhindi akija kwa kazi za Marketing kila wakati akija nilikuwa naongozana naye, Nimejifunza yafuatayo,
1.Wahindi ni watu wachunguzi sana, wanachunguza kila kitu
2.Wahindi wanadharau waafrika sana sana
3.Muhindi aliyekulia India ni mara 100 ya Muhindi wa Bongo asili
4.Wahindi ni watu waoga sana
5.Wahindi wana tabaka
6.Muhindi akikuamini hata mkewe anakuachia
7.Ukielewana na Mke wa Muhindi kuliko Mume kila unachoomba kwa Mume utapewa, Mama akisema mume anatekeleza pia
8.Wahindi ni wachafu sana
9.Mke anaogopwa kuliko ukoma
10.Umbea ni tabia yao
11.Kwenye biashara familia yote inahusika.
 
Ndugu yangu niko nafanya nao kazi hawa jamaa, sina la kusema ni kwamba namuachia MUNGU, ila wewe mtoa post MUNGU anakuonaa hayo unayosema si kweli.

Kazi iendeleee
Mkuu nilikuwa niko kwenye kikao muhimu sana, sasa mkuu akawa kastop kidgo nikasema acha nichungulie jf kidgo, hii comments yako imefanya watu wote wanigeukie na kuniona chizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba Mungu anamuona mtoa mada, hawajui wahindi huyu jamaa
 
Back
Top Bottom