Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Kwa huo mfano wako ina maana watu wa Dar ni vibaka kisa Dar kuna vibaka wengi?
Kanda ya ziwa wote ni makatili kisa kuna watu wanaua wazee kwa imani za kishirikina? au wote ni makatili kisa kuna baadhi huwakata Albino viungo wakiwa hai?
Wingi ninao uongelea ni comperative, sio conclusive.
 
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi

Sifa niijuayo ni kuwa wanagegeda dada zetu, lakini, wa kwao wanaweza kukutoa roho. Inauma sana!
 
Uamuzi unakuja baada ya idadi kuzidi. Jamii yoyote haiwi na wote kufanana, sifa huletwa na wengi.
Mkuu tukumbuke tu ya kwamba hawa Wahindi tulonao Bongo ni wachache sana kulinganisha na hao walobaki makwao (india) hivyo kutumia tabia za baadhi yao waliopo hapa nchini ku-generalize na tabia za Wahindi kwa ujumla ni dhulma kuwadhulumu wahindi.
 
Mkuu tukumbuke tu ya kwamba hawa Wahindi tulonao Bongo ni wachache sana kulinganisha na hao walobaki makwao (india) hivyo kutumia tabia za baadhi yao waliopo hapa nchini ku-generalize na tabia za Wahindi kwa ujumla ni dhulma kuwadhulumu wahindi.
Hata kwao wanadhulumiana sana tu,roho mbaya ni toka kwao
 
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Ukamilifu ni wa Mwenyeezi Mungu tu!!
Sisi binaadam tuna mapungufu ya kila AINA!!

Zaid watu wa bara lenye kiza (Afrika) hatuthamini wakati!!
Hatujali mustakabali, Hatuhifadhi na kutunza (Savings)!!
Tuna tanguliza visingizio vingi na kulalama kutwa hiyo ndiyo tegemezi letu Pamoja na kulialia....ndiyo kimbilio!!
 
Hata kwao wanadhulumiana sana tu,roho mbaya ni toka kwao
Ni kweli kabisa kwao wanadhulumiana, kama ambavyo Waafrika hudhulumiana nyumbani na Ughaibuni, kama ambavyo Wazungu walidhulumiana na wanaendelea kudhulumiana Makwao na hapa Afrika, Kama ambavyo Wachina wanadhulumiana, kama ambavyo wajapan hudhulumiana, kma ambavyo Waarabu hudhulumiana na kama ambavyo Wayahudi hudhulumiana.

Ukweli ni kwamba ktk Jamii zote ulimwenguni wapo wadhulumati na wapo wenye roho safi...
Haijalishi mtu anatoka wapi aidha iwe Luanda au London, Baghdad au Berlin, New york au New Delhi, Tehran au Tel Aviv, popote pale watu wema wapo na wabaya wapo.
 
Ni kweli kabisa kwao wanadhulumiana, kama ambavyo Waafrika hudhulumiana nyumbani na Ughaibuni, kama ambavyo Wazungu walidhulumiana na wanaendelea kudhulumiana Makwao na hapa Afrika, Kama ambavyo Wachina wanadhulumiana, kama ambavyo wajapan hudhulumiana, kma ambavyo Waarabu hudhulumiana na kama ambavyo Wayahudi hudhulumiana.

Ukweli ni kwamba ktk Jamii zote ulimwenguni wapo wadhulumati na wapo wenye roho safi...
Haijalishi mtu anatoka wapi aidha iwe Luanda au London, Baghdad au Berlin, New york au New Delhi, Tehran au Tel Aviv, popote pale watu wema wapo na wabaya wapo.
Nikweli ila kufanya nao kazi ni ngumu sana hawa wahindi yataka moyo sana, hawatofautiani sana na wachina........raha ya kazi ufanye na mzungu, anajua haki za binadamu na anajali
 
Siyo kweli. Wahindi ukifanya nao kazi na kama unadeliver ki weledi watakulipa kiasi chochote mtakachokubaliana. Ila kama ni kazi hizi unskilled lazima wakubane sana sababu ni wafanyabiashara wanajua wanachofanya. Binafsi ninafanya kazi nyingk sana na wahindi sijawahi punjwa kipato. Kama huijui thamani yako utaishia kuwalalamikia tu wahindi kumbe tatizo ni wewe mwenyewe.
basi utakuwa uko peke yako dunia nzima wewe ndiyo unalipwa na wahindi mshahara mkubwa.mimi nina bachelor na ninafanya masters now nalipwa laki 6..dogo wa kihindi ana diploma tu hivi vyuo shenzi ya mitaani analipwa $2000.sisi waswahili wote tuliojiriwa na wahindi huwa tunamsemo wetu'wahindi wote ni mbwa tu"kama wanakulipa vzr kuna mawili ama wanakupapasa makalioni ama wanakufanyia michezo ya marehemu kaoge..period.maana ndiyo zao
 
Hizi jamii za hawa watu Wahindi na Waarabu zimewanyonya sana Watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha.

Kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
Ni wabaguzi sana jamaa, wanahospital zao, benk, shule nk Nyumba zote za msajiri wametufukuza waswahili
 
Kuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarkt.
Gengeni anafata fresh foods tofauti na supermarket zimesheheni proccessed foods.
 
Back
Top Bottom