Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno(genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na wahindi
hela zao inasemekana ni za majini mwenye uzoefu aeleze
 
Hizi jamii za hawa watu wahindi na waarabu zimewanyonya sana watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha...kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya...e
wanaiba kivipi?
 
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno(genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na wahindi
Kwakuwa wanaka chumba kimoja, hufanya mapenzi mchana muda wa lunch , ndio maana hufunga maduka masaa mwili ya mchana.
 
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
kwa ubahili ni sawa kabisa
wanapigana majungu wao kwa wao
wachawi sanaa
hawapendi mswahili upate
mishahara yao kamwe haitakufanya uendelee hata yesu kristo akae juu ya dari lako.
kifupi ni washenzi tu
 
Namba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Huo ujanjaujanja unaouzungumzia ndio ugenius wenyewe sasa. Mtu anaeweza kupiga hela katika mazingira amnaho wewe yanakushinda huyo ni genius. Sbida hetu kubwa wamatumbi hatutaki kujikubali kwamba wengi wetu ni failure tunabaki kushutumu na kulalamika.
 
kwa ubahili ni sawa kabisa
wanapigana majungu wao kwa wao
wachawi sanaa
hawapendi mswahili upate
mishahara yao kamwe haitakufanya uendelee hata yesu kristo akae juu ya dari lako.
kifupi ni washenzi tu
Siyo kweli. Wahindi ukifanya nao kazi na kama unadeliver ki weledi watakulipa kiasi chochote mtakachokubaliana. Ila kama ni kazi hizi unskilled lazima wakubane sana sababu ni wafanyabiashara wanajua wanachofanya. Binafsi ninafanya kazi nyingk sana na wahindi sijawahi punjwa kipato. Kama huijui thamani yako utaishia kuwalalamikia tu wahindi kumbe tatizo ni wewe mwenyewe.
 
Sio kweli,wezi wa mali ya umma wote ni ccm na wapo Ikulu,hakuna muhindi,Wala mwarabu,Wezi wa escrow,Richmond hakuna mwarabu,
Wizi wao ni indirect. Ni wahongaji wakubwa wa maafisa wa serikali ili kufanikisha mambo yao. Nenda tra, uhamiaji, vibali vya kazi wanapelekewa nyumbani, kodi wanahonga 10% na kupunguziwa 50%.
 
Back
Top Bottom