Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Kwenye short cut ni washirikina sanaNamba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye short cut ni washirikina sanaNamba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Aisee sikulijua hili6. Hawapendi mafanikio ya wafanya kazi wao hasa weusi
7. Pesa za kuwalipa wafanya kazi huzilaza chooni
Uchumi wa Tz umemilikiwa na wazungu, wahindi, waarabu na wasomali.Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa...
hela zao inasemekana ni za majini mwenye uzoefu aelezeSiku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno(genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na wahindi
Ukifanya kazi kwa mhindi ujue unasogeza siku mbele tuAisee sikulijua hili
kwa nini[emoji3][emoji3][emoji3]Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa...
wanaiba kivipi?Hizi jamii za hawa watu wahindi na waarabu zimewanyonya sana watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha...kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya...e
wasomali wana miradi gani hapa bongo?Uchumi wa Tz umemilikiwa na wazungu, wahindi, waarabu na wasomali.
Watanzania wanamiliki chini ya 10%.
Hata serikali yako inajua hilo.
Kwakuwa wanaka chumba kimoja, hufanya mapenzi mchana muda wa lunch , ndio maana hufunga maduka masaa mwili ya mchana.Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno(genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na wahindi
Supermarket si ni genge lililochangamka ama? Bidhaa nyingi zinauzwa kwa bei ya kawaida kabisaKuna daktari mhindi, ni mmoja kati ya wale top doctors. Ananunua bidhaa gengeni tena anakwenda mwenyewe na kapu lake. Waswahili walio chini yake wana nunua bidhaa supermarkt.
kwa ubahili ni sawa kabisaSiku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Huo ujanjaujanja unaouzungumzia ndio ugenius wenyewe sasa. Mtu anaeweza kupiga hela katika mazingira amnaho wewe yanakushinda huyo ni genius. Sbida hetu kubwa wamatumbi hatutaki kujikubali kwamba wengi wetu ni failure tunabaki kushutumu na kulalamika.Namba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Siyo kweli. Wahindi ukifanya nao kazi na kama unadeliver ki weledi watakulipa kiasi chochote mtakachokubaliana. Ila kama ni kazi hizi unskilled lazima wakubane sana sababu ni wafanyabiashara wanajua wanachofanya. Binafsi ninafanya kazi nyingk sana na wahindi sijawahi punjwa kipato. Kama huijui thamani yako utaishia kuwalalamikia tu wahindi kumbe tatizo ni wewe mwenyewe.kwa ubahili ni sawa kabisa
wanapigana majungu wao kwa wao
wachawi sanaa
hawapendi mswahili upate
mishahara yao kamwe haitakufanya uendelee hata yesu kristo akae juu ya dari lako.
kifupi ni washenzi tu
gengeni wanauza vinywaji?Bidhaa za supermarket sio zote ni expensive kuliko za magengeni au kwa mangi. Ondoa hiyo mentality.
Fanya research kidogo kwa bidhaa za vinywaji utaona.
Hii ni kwelihela zao inasemekana ni za majini mwenye uzoefu aeleze
Na unalipwa ujira kwa mkono wa kushoto6. Hawapendi mafanikio ya wafanya kazi wao hasa weusi
7. Pesa za kuwalipa wafanya kazi huzilaza chooni
Wizi wao ni indirect. Ni wahongaji wakubwa wa maafisa wa serikali ili kufanikisha mambo yao. Nenda tra, uhamiaji, vibali vya kazi wanapelekewa nyumbani, kodi wanahonga 10% na kupunguziwa 50%.Sio kweli,wezi wa mali ya umma wote ni ccm na wapo Ikulu,hakuna muhindi,Wala mwarabu,Wezi wa escrow,Richmond hakuna mwarabu,
Fourwheels wa uzinzi hawakawii....Majority ya wasichana wa kihindi ni wazuri kwa sura lakini ni wachafu wa nywele,wakati unamtyomba dogyyy ukivuta zile nywele lazima zina mbaaaa.