Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wabaguzi sana jamaa, wanahospital zao, benk, shule nk Nyumba zote za msajiri wametufukuza waswahili
Wazungu wanachukulia watu wa Asia na Africa ni tabaka moja tu ndio maana unahisi kama wanachukiwa.Ila wazungu hawawapendi Indians sijui kwanini [emoji848]
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.
1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)
2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.
3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.
4. Wabahili mno
5. Hawana huruma
Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Utajiri ni suala la historia kabla ya uhuru tayari wao ni matajiriYanatuzidi akili bwana, hebu tuwe wakweli.
Hao jamaa wana maarifa na ni wajanja kutuzidi mbali.
Top ten ya matajiri wa nchi hii ni wahindi.hakuna mweusi hata mmoja.
Mhindi ndio ameihold sekta binafs ya tanzania.
kwa maana kwamba biashara zozote kubwa (multi-bilion) ktk nchi hii ni zao.
Ili biashara yako inawiri pale kwny management toa mswahili weka mdosi.
Mhindi ndiye anayekuajiri na kuamua kula yako ktk nchi yako ya asili.
Viwanda ktk mikoa almost yote ni mali yao.
Benki za ndani humfikiria kumkopesha mhindi kuliko mswahili
Mhindi ndio mnunuzi mkuu wa kahawa zenu, korosho zenu, pamba yenu nk
Ukimkuta mhindi ni tajiri leo..ondoka njoo baada ya nusu karne (kama utajaliwa) utakuta bado tajiri vilevile yeye au descendands wake.
Kwa maana nyingne Sisi ni wajisiriamali wahindi ni wafanya biashara.
Sisi ni daraja la wao kufanikiwa
Huwezi kukuta mhindi ni VEO au mwalimu au askari serikalini japo ni watz.
wao wamekamata njia kuu za uchumi
Urafiki wa muhindi ni kwa ajili ya profit na gain tu.Tena hela ya kula mkate kwa maji. Hata viongozi wanao pata hela ya mhindi ni pale wanapokuwa madarakani. Mhindi akisha jua haupo tena kwenye system hana habari na wewe, ukipiga cm hapokei au anaikata.
Wote wako hivyo mkuu,nimekutana nao kwenye nchi mbalimbaliMkuu tukumbuke tu ya kwamba hawa Wahindi tulonao Bongo ni wachache sana kulinganisha na hao walobaki makwao (india) hivyo kutumia tabia za baadhi yao waliopo hapa nchini ku-generalize na tabia za Wahindi kwa ujumla ni dhulma kuwadhulumu wahindi.
Bora ngozi nyeusi mtu wangu ukikutana na mstaarabu mbona utaenjoy sana.Haitatokea bosi wangu awe mhindi au ngozi nyeusi.
Na wakijua wazazi au ndugu yako ana cheo serikalini basi watakuheshimu mwanzo mwisho.Urafiki wa muhindi ni kwa ajili ya profit na gain tu.
Hawanaga urafiki na wewe bila maslahi
Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa.
Bora ngozi nyeusi mtu wangu ukikutana na mstaarabu mbona utaenjoy sana.
Uzuri wa mtu mweusi akiwa Boss wako huyo huyo anakuwa rafiki,huyo huyo anakuwa ndugu,ukiwa na shida unampiga mizinga ya hapa na pale.
Ila hao wahindi hawana undugu na mtu
Mwarabu hapo ndio umtoe kabisa mkuu,unaongelea mwarabu wa wapi huyo?Aisee, may be hujafanya kazi na bosi mswahili. But co wote wabaya, others wanajitambua.
Mhindi
Mwafrika
Bosi wako akiwa mzungu or mwarabu utaenjoy sana mzehe.
Wahindi kwao wanaishi kimatabaka lakini wakija hapa bongo wanataka wote wapewe heshima = = na Mo
ila mitaani siwaoni sana...napenda kutembelea nchi mbali mbali lakini Somalia NO![emoji2]Wasomali wako vizuri ...mfano jengo la City Mall pale posta Jirani na Aliba ..mmiliki ni Msomali ....Wauzaji rangi maarufu K.koo Kanda Trading ..ni wasomali
Mwarabu hapo ndio umtoe kabisa mkuu,unaongelea mwarabu wa wapi huyo?
1.Mshana wewe ni mbobezi kwenye uchambuzi ila nakuhakikishia namba moja iko sawa ukitaka kujua nenda kwenye kampuni la Microsoft asilimia 66 waajiriwa ni wahindi hawa jamaa kwa hesabu na computer ni balaa sanaNamba moja sio kweli labda uniambie ni akili ya ujanja ujanja mwingi na kupenda shortcut
Hizi jamii za hawa watu Wahindi na Waarabu zimewanyonya sana Watanzania na kuwafanya masikini tena kimyakimya huku wakijifanya nao ni watanzania huku wakichuma na kuiba hapa na mali kuzihamisha.
Kuna haja ya hawa watu kuangaliwa kwa jicho kali na kuwekewa sheria kali ili sasa waishi kama watanzania kweli na sio hiki comedy wanayoifanya.
Kwa taarifa yako hawa jamaa ndio wameshikilia uchumi wa nchi hii mfano wakiamua kutoa hela zao zote benki wewe utakosa hata hela ya daladala.Idi Amini aliwafukuza kilichomkuta uchumi ulishuka sana ikafikia ukienda sokoni kununua bidhaa unakwenda na mfuko wa Rambo manoti hakuna mtu anakuvamia Museveni alivyorudi akawarudisha kwa kuwapigia magoti na uchumi wa Uganda uko sawa sasa.Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa.