Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Wana PhD ya kumanage biashara hata kama ameishia s.t.d 4... Very bright... Wanalenga KUFANIKIWA wao na wewe MFANYAKAZI uwe maskin milele.. yaan ufanye kazi kwao milele... WASHENZI sana
 
Wahindi siyo kuwa wanaakili Sana sema Tu pilipili zao zinawafeva Sana kuwa wepesi wa kufikiri na kufanya mambo.

Wananyanyasa Sana hata wao Kwa wao wao

Waongo waongo Sana

Wanapenda kuhonga Sana watu wa ngazi za juu Kwa ajiri ya kunyoosha mambo Yao

.
 
Umewapimaje na kuona wana akili sana?
Au wana akili ukilinganisha na watu wepi?
 
Bidhaa za supermarket sio zote ni expensive kuliko za magengeni au kwa mangi. Ondoa hiyo mentality.

Fanya research kidogo kwa bidhaa za vinywaji utaona.
Na vipi kuhusu raw foods?achana na hizo processed products.
Linganisha bei ya matunda,Fish,mbogamboga kati ya supermarket na gengeni halafu utuletee mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…