Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Hana Urafiki Na wewe na ndio mana baadhi ya Wakuu mbali mbali serikali huwa na urafiki na wahindi wasijue ni wa kinafiki..Wakitolewa au wakistaafu wahindi huwakimbia hata simu hawapokei.

Wahindi Pia Hawana utu hasa kwa watu weusi yuko radhi amfate mhasibu kwao India aje amuajiri kuliko kukuajiri wewe mbongo..Hii inatokana pia na upuuzi wa watu wetu mtu anaajiliwa hafanyi kazi wala hajitumi kila siku ana excuse hii au ile.
 
Kuna wale Waarabu wa asili weupe, nywele laini ndevu laini most of them wako pouwa sana, wanaroho nzuri munoo. Waarabu koko/wakuchovya sifahamu.


Ukija kwa wadosi dahhhh, hii jamii kufanyanao kazi ni shuguli kweli kweli. Waweza ikimbia kazi.
Hao waarabu wa nchi gani mkuu,kuna nchi nyingi za waarabu.
Wewe labda ulikutana na waarabu wa tabora
 
Wachawi
 
Manara hajanyanyaswa, sema tu kajifukuzisha kazi mwenyewe kwani jamaa ni mnafiki na muongo sana. Hata wewe ungemfukuza klabuni kwako.
Na Mo ni mnafiki na muongo sana..ndio maana akafika hapo alipo...

Sema tu labda kagusa maslahi au kaupiga mwingi sehemu...

Matajiri wengi .. wana figisu za maana kuliko huyo msema ovyo jinga flani manara!
 
Kwa uchawi vipi? Kwanini wametushinda sana?
Nimegundua uchawi wa Tanzania ni mwepesi mno ukilinganisha na ule wa Malawi, D. R. Congo, Nigeria, Misri, Romania, India, etc
Mkuu umelinganisha vipi ili kujua uchawi wa nchi fulani ni mzito kuliko nvhi fulani
 
Wanapenda kutoa adv salary tarehe 15th kwa cash....usipochukua wanakununia.

Watakuthamini tu endapo position yako ni ngumu kufanyiwa replacement kwa wakati huo.

Wana akili nyingi lakini ni selfish balaa.

Wanajua kubana matumizi balaa kuanzia personal hadi official.
 
ni kweli kitendo cha wao kuwa nje ya nchi yao kinawafanya wafikirie kwa akili zaidi kwa kuwa muda hauwatoshi saa yoyote gwaride linaweza kubadilika wakaambiwa nyuma geuka.
lakini kingine wao wanaushirikiswaji mkubwa katika biashara toka wadogo (wachanga walijaribu lakini kwa sasa ni kama wamerudi nyuma baada ya wengine kuingia maagano na wanganga).
lakini wana vitabu vingi vinavyoeleza mafanikio na wao huyaangalia hayo wakati sisi ndunaangalia zaidi risk na matokeo yake tunaingia uwoga na tunashindwa kufanya kazi yenye tija na kubaki kwenye shughuli za kuigana. mfano vijana wengi wanafikiria kuwa bodaboda inalipa lakini kiukweli hailipi tena kabisaaaaaaaa! anayebisha karibu!
kingine wanatumia vizuri nyumba za ibada katika kubadilishana mawazo nakuelekezana nini cha kufanya mfano miaka ya nyuma wahindi walikuwa tayari kumchangia muhindi mmoja aonekane anauwezo ili akopeshwe na benk na akishakopeshwa hurudisha alichokopa na kuendelea na biashara zake kwetu sisi thubutu! brother yuko tayari asukume ndinga ya m300 lakini wewe unauza yeboyebo kwa mtaji wa laki tisa miaka nenda rudi huku ukiongeza lundo la watoto.
 
Kwakuwa wanaka chumba kimoja, hufanya mapenzi mchana muda wa lunch , ndio maana hufunga maduka masaa mwili ya mchana.
Hii kitu ina ukweli ama rumous..mana ikifika mchana huwa wanafunga maduka yao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mbona husemi kama ni wabaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…