Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Nimegundua haya baada ya kipindi kifupi cha kufanya kazi na Wahindi

Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Mimi nitaku challenge kwenye namba tatu. Duniani hakuna watu wanaopenda kujitetea kwa kusema ni bahati mbaya kama watanzania. Trust me. Hili neno la kusema '' ni bahati mbaya'' lipo midomoni mwa kila mtanzania. Mimi nadhani mazingira tunayokulia hayatufundishi kuwa makini na yanaruhusu uzembe kwa kiwango cha juu. Nasema hivi kwa sababu ukichunguza ''bahati mbaya'' nyingi kabisa asili yake ni uzembe na kutokuwa makini. Kama hujatembea na kufanya kazi nchi nyingine utaona kama nimekuwa harsh ila sivyo hivyo. Ni ofisi gani utakayokwenda Bongo bila kukutana na maneno ''bahati mbaya''? Utakuta jina la mteja limekosewa ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Utakuta faili limekuwa mis-placed ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Kwenye daladala mtu atafanya uzembe wa kijinga ukiuliza utajibiwa ni bahati mbaya. Hotelini chakula kinaweza kuletwa kikiwa na hitilafu ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Kwa kifupi nchi yetu tunaweza kuiita ''nchi ya bahati mbaya''
 
Nyumba za msajili hawakujenga kwa hela zao, zipi? Hizo ni hela walizo tuibia kupitia madini yetu na biashara za ujanja ujanja.

Una ushaidi kama wameiba izo hella? Au hisia zako zinaku2ma uko!!!!! Zulma mbaya sana mzee, haimuachi mtu salama. ndiomana nyumba za msajili serikali wameshindwa kuziendereza mpaka wa leo.
 
Wahindi....niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaa,niwashirikina balaaaa..,.......,..,....take it from me hawa jamaaa niwashirikina mnooooooo

Wanafuga sana majini .........
Wanaroga sana usiku kwenye mito ,miti mikubwa n.k

Hela zao wanaweka kwenye chumba special au kabati special tena hawahesabu na huwa kuna Giza Nene na anayeingia kuchukua hizo hela ni MTU mmoja tu katika familiaaa,kiufupi wanaongoza kutoweka pesa benki

Wahindi pia ni wana akili sana za darasani ...nilipata kusoma nao .jamaa ni mwepesi kudaka mambo
Nawafahamu sana hao mkuu na kusoma kwenyewe wanaosoma ni wachache sana tena ni special
 
Wahindi wanapenda umbea na uongo uongo, na wewe ukiwa hivyo basi mtakuwa marafiki.
 
Mimi nitaku challenge kwenye namba tatu. Duniani hakuna watu wanaopenda kujitetea kwa kusema ni bahati mbaya kama watanzania. Trust me. Hili neno la kusema '' ni bahati mbaya'' lipo midomoni mwa kila mtanzania. Mimi nadhani mazingira tunayokulia hayatufundishi kuwa makini na yanaruhusu uzembe kwa kiwango cha juu. Nasema hivi kwa sababu ukichunguza ''bahati mbaya'' nyingi kabisa asili yake ni uzembe na kutokuwa makini. Kama hujatembea na kufanya kazi nchi nyingine utaona kama nimekuwa harsh ila sivyo hivyo. Ni ofisi gani utakayokwenda Bongo bila kukutana na maneno ''bahati mbaya''? Utakuta jina la mteja limekosewa ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Utakuta faili limekuwa mis-placed ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Kwenye daladala mtu atafanya uzembe wa kijinga ukiuliza utajibiwa ni bahati mbaya. Hotelini chakula kinaweza kuletwa kikiwa na hitilafu ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Kwa kifupi nchi yetu tunaweza kuiita ''nchi ya bahati mbaya''
Bahati mbaya na samahani yanakera sana, mtu anafanya makosa makusudi anategemea kusema samahani et yaishe, mimi ndo huwa nawauliza huyo samaani yako inanisaidiaje mimi, Hapo mtu kakuletea chakula kibovu
 
Bidhaa za supermarket sio zote ni expensive kuliko za magengeni au kwa mangi. Ondoa hiyo mentality.

Fanya research kidogo kwa bidhaa za vinywaji utaona.
Kabisa nakubaliana na wewe,kuna bidhaa ambazo ni cheap supermarket kuliko hata mtaani.
 
Ningekuwa na mamlaka ningechukua ule uamuzi wa Idd Amin kufukuza wahindi woote tena ningetimua na waarabu kabisa.
Mwisho wa wote,Idd Amin,alikimbilia kwa waarabu,baada ya kupinduliwa,na akafia huko huko na kuzikwa huko huko,Saudia Arabia.Aliowafukuza,ndio waliomuhifadhi,mpaka kifo chake,kikamfikia.
 
Mimi nitaku challenge kwenye namba tatu. Duniani hakuna watu wanaopenda kujitetea kwa kusema ni bahati mbaya kama watanzania. Trust me. Hili neno la kusema '' ni bahati mbaya'' lipo midomoni mwa kila mtanzania. Mimi nadhani mazingira tunayokulia hayatufundishi kuwa makini na yanaruhusu uzembe kwa kiwango cha juu. Nasema hivi kwa sababu ukichunguza ''bahati mbaya'' nyingi kabisa asili yake ni uzembe na kutokuwa makini. Kama hujatembea na kufanya kazi nchi nyingine utaona kama nimekuwa harsh ila sivyo hivyo. Ni ofisi gani utakayokwenda Bongo bila kukutana na maneno ''bahati mbaya''? Utakuta jina la mteja limekosewa ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Utakuta faili limekuwa mis-placed ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Kwenye daladala mtu atafanya uzembe wa kijinga ukiuliza utajibiwa ni bahati mbaya. Hotelini chakula kinaweza kuletwa kikiwa na hitilafu ukiuliza utaambiwa ni bahati mbaya. Kwa kifupi nchi yetu tunaweza kuiita ''nchi ya bahati mbaya''
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Akili kubwa Sana adse ...nakubali
 
iranna hakusema kama bidhaaa za supermarket ni ghali
 
Umechemka! Hao jamaa vilaza kichizi na ujanja na kuhonga kwingi sana ili kupata kazi au kipandishwa vyeo, ila ukiangalia kwa ujumla wapo fresh kichwani hasa kwy IT na Udaktari hasa india kwenyewe! Hapa bongo wakawaida sana
Ila bado sijaona mgambo na mjeshi muhindi sijui kwa nini![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umechemka! Hao jamaa vilaza kichizi na ujanja na kuhonga kwingi sana ili kupata kazi au kipandishwa vyeo, ila ukiangalia kwa ujumla wapo fresh kichwani hasa kwy IT na Udaktari hasa india kwenyewe! Hapa bongo wakawaida sana
Ila bado sijaona mgambo na mjeshi muhindi sijui kwa nini![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale wanaoletwa Bongo elimu zao ni za kuungaunga tu na wengine ni form 4 tu wanaletana kindugu
 
Siku za karibuni nilibahatika kuanza kufanya kazi na jamii ya wahindi katika kipindi hiki kifupi nimejifunza vitu vingi haswa tabia zao.

1. Wahindi ni watu wenye akili mno (genius)

2. Wahindi watu wenye kufanya vitu vyao kwa haraka haraka tofauti na sisi wabongo.

3. Walalamishi mno, watakulalamikia hata kama umefanya kosa la kibinadamu ambalo hata yeye anaweza akalifanya.

4. Wabahili mno

5. Hawana huruma

Tupe uzoefu wako kama ulishawahi kufanya kazi na Wahindi
Wahindi ni watu Wabaguzi Sana,
Wanatoa Sana rushwa Hasa wakiti shwa Na mamlaka husika, Nilifanya nao Kazi Hotel Fulani Katikati ya Jiji.....
 
Back
Top Bottom