Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hata Marekani ambao tunawaiga mambo yapo hivyo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria na muongozo wa Tume unasemaje?Mtu kuongea lughs yake kuna tatzo?
Uharamu wake ni upi wakati wenyewe wamekubaliana wakafanya biashara.Biashara haramu
Mbona kwenye soka watu wananunuliwa sio shida?Wanaofanya ufisadi wa kununua binadamu kwa mabilioni ya walipa kodi, ingekuwa China wangefanywa nini?
Nimemuuliza aliyeileta hii mada kutokana na mtazamo wake.Iulize Katiba ya Mkoloni
kwani akipatwa na shida yoyote kwa sasa na makamu wake kwani katiba inasema nini? NDIO HIYO ITUMIKE KWA WAKATI HUU, KATIBA IREKEBISHWE ILI AKAE MTU AMBAYE SI MGOMBEA. Pia asiwe mwanachama wa CHAMA CHOCHOTE. Pia ikitokea dharura kama vita aweze kuchukua madaraka ya kuliongoza taifa. Hata wabunge wakati huo inabidi warudi kutoa mwongozo kwa serikali.Kwahiyo kama sasa kipindi hiki cha kampeni nchi ingetakiwa iwe haina rais?
Cha kufurahisha sasa ni kwamba wananchi wanawadharau mno hao viongoziKatika kampeni zinazoendelea, nimeona zinakibeba chama cha mapinduzi kwa sehemu kubwa, kwani viongozi wanaogombea bado wanako madarakani na wamekuwa wakiendelea kutoa maagizo kwa mamlaka zilizo chini yao,
Mfano: Unakuta mgombea urais anatoa maagizo ya kujenga barabara na pia kutoa pesa hadharani kama zawadi, Makamu wake akiagiza halmashauri kuongeza pesa za mikopo kwa vikundi mbalimbali, huku Waziri mkuu akiagiza kurejeshwa kwa baadhi ya mashamba huko Singida.
Hivi hao wapinzani wakitoa misaada wakati huu wa kampeni si watachukuliwa wanatoa rushwa?
Natamani katiba ibadilike tu, kikifika kipindi cha kampeni kila aliyekuwa na madaraka avuliwe ili waingie uwanjani wakiwa katika kiwango kimoja tofauti na sasa.
Hii ni mara ya 109 unaitumia picha hii!Pingapinga Cha Domo mpaka mjambe checheView attachment 1570966
Ulishawai kujaribu?Siku ikitokea ccm ikaondoka madarakani Tanzania tutaishi maisha mazuri sana!!
Ok nimekuelewa ila je hichi ulichofikiri pia kinafanyika kwengineko au sie tu ndio tunataka hivyo?kwani akipatwa na shida yoyote kwa sasa na makamu wake kwani katiba inasema nini? NDIO HIYO ITUMIKE KWA WAKATI HUU, KATIBA IREKEBISHWE ILI AKAE MTU AMBAYE SI MGOMBEA. Pia asiwe mwanachama wa CHAMA CHOCHOTE. Pia ikitokea dharura kama vita aweze kuchukua madaraka ya kuliongoza taifa. Hata wabunge wakati huo inabidi warudi kutoa mwongozo kwa serikali.
Hiyo ni wish-wash; hakuna katiba dunia nzima inayosema hivyo. Mpaka Leo trump anapiga kampeini kwa kutumia ndege ya serikali ingawa anailipia na vile vile anaendesha serikali kama kawaida.Inaitwa advantage ya incumbency. Urais unakwisha wakati rais mwingine akiapishwa. Kinachotakiwa ni kuweka boundary baina ya kampeini za kisiasa na uendeshaji wa serikali, yaani itamkwe tu kuwa wakati mgombea anafanya kampeini za kisisasa asifanye kazi za kiserikali; kwa lugha nyingine, asitoe maagizo kwa wafanyakazi wa serikali wakati anafanya siasa.Katika kampeni zinazoendelea, nimeona zinakibeba chama cha mapinduzi kwa sehemu kubwa, kwani viongozi wanaogombea bado wanako madarakani na wamekuwa wakiendelea kutoa maagizo kwa mamlaka zilizo chini yao,
Mfano: Unakuta mgombea urais anatoa maagizo ya kujenga barabara na pia kutoa pesa hadharani kama zawadi, Makamu wake akiagiza halmashauri kuongeza pesa za mikopo kwa vikundi mbalimbali, huku Waziri mkuu akiagiza kurejeshwa kwa baadhi ya mashamba huko Singida.
Hivi hao wapinzani wakitoa misaada wakati huu wa kampeni si watachukuliwa wanatoa rushwa?
Natamani katiba ibadilike tu, kikifika kipindi cha kampeni kila aliyekuwa na madaraka avuliwe ili waingie uwanjani wakiwa katika kiwango kimoja tofauti na sasa.
Awamu ya tano bado iko madarakani ndio maana unatamba bila shida.Katika kampeni zinazoendelea, nimeona zinakibeba chama cha mapinduzi kwa sehemu kubwa, kwani viongozi wanaogombea bado wanako madarakani na wamekuwa wakiendelea kutoa maagizo kwa mamlaka zilizo chini yao,
Mfano: Unakuta mgombea urais anatoa maagizo ya kujenga barabara na pia kutoa pesa hadharani kama zawadi, Makamu wake akiagiza halmashauri kuongeza pesa za mikopo kwa vikundi mbalimbali, huku Waziri mkuu akiagiza kurejeshwa kwa baadhi ya mashamba huko Singida.
Hivi hao wapinzani wakitoa misaada wakati huu wa kampeni si watachukuliwa wanatoa rushwa?
Natamani katiba ibadilike tu, kikifika kipindi cha kampeni kila aliyekuwa na madaraka avuliwe ili waingie uwanjani wakiwa katika kiwango kimoja tofauti na sasa.
Hakifanyiki duniani koteOk nimekuelewa ila je hichi ulichofikiri pia kinafanyika kwengineko au sie tu ndio tunataka hivyo?