Uchaguzi 2020 Nimegundua hizi kampeni zinafanyika kwa upendeleo “hazina usawa”

Uchaguzi 2020 Nimegundua hizi kampeni zinafanyika kwa upendeleo “hazina usawa”

Katika kampeni zinazoendelea, nimeona zinakibeba chama cha mapinduzi kwa sehemu kubwa, kwani viongozi wanaogombea bado wanako madarakani na wamekuwa wakiendelea kutoa maagizo kwa mamlaka zilizo chini yao,

Mfano: Unakuta mgombea urais anatoa maagizo ya kujenga barabara na pia kutoa pesa hadharani kama zawadi, Makamu wake akiagiza halmashauri kuongeza pesa za mikopo kwa vikundi mbalimbali, huku Waziri mkuu akiagiza kurejeshwa kwa baadhi ya mashamba huko Singida.

Hivi hao wapinzani wakitoa misaada wakati huu wa kampeni si watachukuliwa wanatoa rushwa?

Natamani katiba ibadilike tu, kikifika kipindi cha kampeni kila aliyekuwa na madaraka avuliwe ili waingie uwanjani wakiwa katika kiwango kimoja tofauti na sasa.
RAIS BADO YUPO KAZINI, MUDA WAKE WA URAIS BADO HAUJAISHA. HIVYO NI SAWA TU MUACHE AENDELEE NA MADARAKA NA MAMLAKA YAKE KAMA RAIS.
PIA MAKAMU WA RAIS NA WAZIRI MKUU NAO PIA BADO WAPO KAZINI VILE VILE. Hivyo acha wafanye kazi!
Cha muhimu ni kwamba Tusiishie Online tu na Kupayuka bali Tuzingatie Muda wa Kupiga Kura Ukifika basi Tukapige Kura.
 
RAIS BADO YUPO KAZINI, MUDA WAKE WA URAIS BADO HAUJAISHA. HIVYO NI SAWA TU MUACHE AENDELEE NA MADARAKA NA MAMLAKA YAKE KAMA RAIS.
PIA MAKAMU WA RAIS NA WAZIRI MKUU NAO PIA BADO WAPO KAZINI VILE VILE. Hivyo acha wafanye kazi!
Cha muhimu ni kwamba Tusiishie Online tu na Kupayuka bali Tuzingatie Muda wa Kupiga Kura Ukifiks basi Tukapige Kura.
Hapo kwa waziri mkuu pana ukakasi kidogo inakuwaje anaendelea kuwa waziri wakati sio mbunge? Juzi mwakyembe katumikia nafasi yake ya uwaziri wa michezo
 
Pale tume kuna yule sijui mjita au mkurya anaitwa mahela, yaani ushabiki wake kwa ccm haufichwi kamwe.Leo katishia kumsimamisha lissu kwenye kupiga kampeni kisa eti katishia kuvunja amani, wakati magu kanda ya ziwa katwanga kilugha mwanzo mwisho kinyume cha maadili ya tume. Tume wako kimya tu
Yule mahela mwenye sura ya nyani tutamla nyama kama atachezea uchaguzi
 
Kwahiyo kama sasa kipindi hiki cha kampeni nchi ingetakiwa iwe haina rais?
Kwahiyo kama sasa kipindi hiki cha kampeni nchi ingetakiwa iwe haina rais?

Akiwa kwenye JUKWAA LA KAMPENI,

SHERIA NA KANUNI ZA UCHAGUZI ZINAMKATAZA KUTOA MAAGIZO YA KI - RAIS,

HATA MAKAMU WA RAIS HARUHUSIWI KUAGIZA ( KUAMURU) CHOCHOTE AKIWA KWENYE JUKWAA LA KAMPENI.

KUELEKEZA/KUAGIZA CHOCHOTE AKIWA KWENYE JUKWAA NI RUSHWA.

WAKITOKA KWENYE MAJUKWAA YA KAMPENI RUKSA KUAGIZA/KUELEKEZA CHOCHOTE.

WAZIRI MKUU NI MGOMBEA UBUNGE KULE RUANGWA,

SI MGOMBEA WA URAIS,

ANAPATA WAPI UHALALI WA KUZUNGUKA NCHI NZIMA AKIOMBA KURA KWA AJILI YA MGOMBEA WA URAIS?

ASUBIRI MGOMBEA WA URAIS AKIWA KWENYE JIMBO ANALOGOMBEA AMUOMBEE KURA HUKO RUANGWA.

AU

AFUATANE NA MGOMBEA URAIS KAMA MJUMBE WA CC YA CCM NA SIYO WAZIRI MKUU.

WAGOMBEA UBUNGE WANAMWOMBEA KURA MGOMBEA URAIS KWENYE MAJIMBO YAO TU.

MJUMBE WA CC HANA MAMLAKA YA KUAMRISHA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YOYOTE KUFANYA CHOCHOTE.

SHERIA NA KANUNI ZA UCHAGUZI ZINAELEKEZA HIVYO.

TUME YA UCHAGUZI TOENI MWONGOZO.
 
Kwa hiyo mtu akiwa Mgombea kwenye jimbo flani basi haruhusiwi kwenda Mkoa mwingine wowote kumpigia Debe Mgombea Mwingine?
Je ni kweli kwamba Wagombea Urais wa Vyama Vyote kwa TZ hawazunguki kunadi sera zao na watu wa Majimbo mengine??
Waziri Mkuu pia ni Mtanzania NA ana haki yake Kikatiba kwenda Mkoa wowote kama RAIA Mwingine wa Tanzania.
Cha muhimu ni Kuwa Tujitahidi Tarehe ya Uchaguzi Ikifika Twende Tukapige Kura. Chagua Unayemtaka!
Humu Jukwaani (online) na Vijiweni tutapiga makelele kimaandishi bure tu. Just mark the date, when the time comes go and cast your vote!!
Akiwa kwenye JUKWAA LA KAMPENI,

SHERIA NA KANUNI ZA UCHAGUZI ZINAMKATAZA KUTOA MAAGIZO YA KI - RAIS,

HATA MAKAMU WA RAIS HARUHUSIWI KUAGIZA ( KUAMURU) CHOCHOTE AKIWA KWENYE JUKWAA LA KAMPENI.

WAKITOKA KWENYE MAJUKWAA YA KAMPENI RUKSA KUAGIZA/KUELEKEZA CHOCHOTE.

WAZIRI MKUU NI MGOMBEA UBUNGE KULE RUANGWA,

SI MGOMBEA WA URAIS,

ANAPATA WAPI UHALALI WA KUZUNGUKA NCHI NZIMA AKIOMBA KURA KWA AJILI YA MGOMBEA WA URAIS?

ASUBIRI MGOMBEA WA URAIS AKIWA KWENYE JIMBO ANALOGOMBEA AMUOMBEE KURA HUKO RUANGWA.

AU

AFUATANE NA MGOMBEA URAIS KAMA MJUMBE WA CC YA CCM NA SIYO WAZIRI MKUU.

MJUMBE WA CC HANA MAMLAKA YA KUAMRISHA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YOYOTE KUFANYA CHOCHOTE.

SHERIA NA KANUNI ZA UCHAGUZI ZINAELEKEZA HIVYO.

TUME YA UCHAGUZI TOENI MWONGOZO.
 
Kwahiyo kama sasa kipindi hiki cha kampeni nchi ingetakiwa iwe haina rais?
Huo ndio ukweli. Nchi huachwa chini ya jaji mkuu na katibu kiongozi na makatibu wakuu wa wizara badala ya mawaziri! Hii nchi inaendeshwa Kama Haina katiba!
 
Huo ndio ukweli. Nchi huachwa chini ya jaji mkuu na katibu kiongozi na makatibu wakuu wa wizara badala ya mawaziri! Hii nchi inaendeshwa Kama Haina katiba!
Hiyo ni Katiba ya Yanga au Simba?
Kama ni Katiba ya Nchi Tanzania, basi naomba kujua ni ibara ya ngapi inazungumzia hilo kuwa Wakati wa Uchaguzi nchi iendeshwe na Jaji Mkuu ?
Cha muhimu ni kuwa tujitahidi tarehe ya Uchaguzi ikifika twende Tukapige Kura kuchagua viongozi tunaowaona wanafaa.
Humu vijiweni (online) tutapiga makelele tu bure. Just mark the date and when the time comes just carry your Voter's ID card with you and cast your vote!! That's it!
 
Ndio kwasababu hii nchi chini ya CCM bila Rais inawezekana. Magufuli hamn chochote anachofanya nikurukaruka hapa na pale na kuzurura na V8
Sasa hii nchi inaongozwa nini hasa maana umesema Magufuli anarukaruka tu kwa maana haongozi nchi.
 
Inajiongoza yenyewe. Kwasababu Magufuli katudhihirishia kama urais tu hata binti wa chekechea anaweza kuwa Rais na mambo yakaenda
Aisee! basi sawa.

Sasa nashangaa hizi lawama kwa Magufuli za nini?
 
Back
Top Bottom