Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Huu ujinga hauwezi kuwatoka Wabongo mana wameamua kuwa wajinga, wao kwa akili zao wanajua kila mechi wanafanya Azam.Azam anahusika vp hapo wewe nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ujinga hauwezi kuwatoka Wabongo mana wameamua kuwa wajinga, wao kwa akili zao wanajua kila mechi wanafanya Azam.Azam anahusika vp hapo wewe nae
Acha ujuaji, mechi zote za CAF zinazochezwa Tz zinafanywa na Azam hata ufunguzi wa AFL wamefanya Azam.Pale hamna camera za Azam. Hao Azam wenu wanaishia ligi Kuu TU.
Yani ww ndo unaandaa video kuonyesha n goli au sio goli 😂 haya kazi njemaNawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.
Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.
Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Achana na huyo pungaUnaandaaa video???!!!
Kwa hiyo pale south Africa kwenye mechi ile Azam ndio alikuwa anachukua picha!?Acha ujuaji, mechi zote za CAF zinazochezwa Tz zinafanywa na Azam hata ufunguzi wa AFL wamefanya Azam.
Kwa hiyo pale south Africa kwenye mechi ile Azam ndio alikuwa anachukua picha!?Acha ujuaji, mechi zote za CAF zinazochezwa Tz zinafanywa na Azam hata ufunguzi wa AFL wamefanya Azam.
Bro hv una akili timamu kweli.?Kwa hiyo pale south Africa kwenye mechi ile Azam ndio alikuwa anachukua picha!?
Fatilia mjadala uone. Wa kwanza kumjibu nilimuambia hakuna camera za Azam pale, baada ya kudai mbona camera za Azam hazijaonesha upande wa pembeni ili kumaliza ubishi wa goli au sio goli.Bro hv una akili timamu kweli.?
Nmekuambia mechi zinazochezwa Tz ndo Azam anafanya production halafu ww tena unakuja kusema mambo ya south Africa, kwan south Africa Ni Tanzania.?
Khalaaas!!!Kikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Zote ngapi?Picha zote za kamera na video ambazo mpaka sasa zimetolewa zinaonyesha mpira ulivuka mstari wa goli kwa 100%.
Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.
Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.
Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Watu wanazungumzia Loftus Stadium we wasemea BWM Stadium??Acha ujuaji, mechi zote za CAF zinazochezwa Tz zinafanywa na Azam hata ufunguzi wa AFL wamefanya Azam.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama shida yenu ni nusu basi CAF wameamua Yanga iende nusu kaputi😀😀😀
Poleeeeh wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kelele zote hizi ni kwa Mwakarobo alikuwa almanusura abaki peke yake kwenye robo? Itoshe kusema lile ni goli Yanga wamedhulumiwa! Hata kama ungekuwa na TV ndogo kama ya Mwalimu wa UPE Oscar Oscar Mzee wa Kaliua ungeona kabisa lile ni goli!
Umesema Azam wanaishia ligi kuu tuu ndio nkakujibu kuwa Azam wanafanya Caf zinazofanyika Tz na ufunguzi wa AFL wamefanya Azam.Fatilia mjadala uone. Wa kwanza kumjibu nilimuambia hakuna camera za Azam pale, baada ya kudai mbona camera za Azam hazijaonesha upande wa pembeni ili kumaliza ubishi wa goli au sio goli.
Acha bangi, nmemjibu alivyosema kuwa Azam anaishia kwenye ligi tuu.Watu wanazungumzia Loftus Stadium we wasemea BWM Stadium??