Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ubontu bothooKikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL 🤣🤣🤣🐸🐸🐸🐸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubontu bothooKikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL 🤣🤣🤣🐸🐸🐸🐸
Yeah.. Kikubwa pia Utopolo wamejiunga rasmi kwenye Mwakarobo Org.Kikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL 🤣🤣🤣🐸🐸🐸🐸
Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.
Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.
Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Sasa si uweke hizo camera zako za kuonesha mpira ulidunda kwenye mstari! Mbona umeishia kubwabwaja tu! Jinga kabisa wewe.Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.
Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.
Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Nimeshangaa mtu ni kiongozi kwa ngazi ya uwaziri analalamika kama akina kigeregere!Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.
Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.
Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Una ushahidi?Uungwana ni kusema ukweli, kuanzia mashabiki wa Mamelody mpaka commentators wa South Africa wanakiri wazi, hawaelewi maamuzi ya Refa yaliwezaje kulikataa lile goli.
Bado unasubiri zifike 7 mkuuKikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Tofautisha Video assistant referee na goal line technology....hivo Ni vitu miwili tofauti ....Una ushahidi?
Kwa hiyo VAR haina maana siyo?
Swala sio kudunda tu bali baada ya kudunda uliroll ndaniBado hamjasema mpira haujadundia nje ya touch line check hapo
Unaandika huku unakata gogo,kaduzu ndio nini?Me nachojua ni mamelod kaduzu baaasi
Kwani azam ndiyo ana haki kuchukua picha au yeye mwenyewe mtu wa pili?Sasa Azam Wana camera gani za kuzoom Lile goli 😂 pale var ndo inaonesha kila kitu camera za tv ukizoom utaona goli ila kisheria sio
ilitakiwa iwe hivyo wagomee,ingekua ni timu ya waarabu wasingekubali mpaka refa akaangalie VAR ili kuthibitisha kama kweli sio goli.Hivi yanga wangegoma kuendelea na mchezo nini kingetokea...!!?
Nimeandika "pale hakuna camera za Azam". Je, Jana pale SA kulikuwa na camera za Azam!?Mechi za caf zinazochezwa dar azam anahusika kupiga picha mkuu
Huna akiliHakuna goli pale, usiwadanganye
Uliona VAR imetumika?Una ushahidi?
Kwa hiyo VAR haina maana siyo?
Pale var ingetumika kufanya nini ,mbona mnakuwa mbumbumbu Sana....pale ilitakiwa itumike goal line technology...na CAF hawana hio technologyUliona VAR imetumika?
Mkuu itoshe kusema tu kwamba wewe ni mpumbavu!Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.
Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.
Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Asante kiongozi, kama kweli wewe ni Simba nakuondoa rasmi kwenye kundi lile lililosemwa na mwenyekiti Aden Rage, mbumbumbu!Mimi ni Simba, na nimefurahi Yanga kutolewa, lakini ukweli usemwe, lile ni goli halali kabisa kwa Yanga, pale wameonewa. Kwanini? Picha zote za kamera na video ambazo mpaka sasa zimetolewa zinaonyesha mpira ulivuka mstari wa goli kwa 100%.