Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaUmetutamanisha vijana wa Buza kwa mamaa kibonge
Hahahahahah vijana wa hovyo kabisaUngemuelewa muuliza swali walah ungekuja na elaborated answer kuliko ulivyojibu kwa mkato[emoji1787]
YesMkuu vp hilo likifunguka naweza kuona matokeo ya juve na Sevilla ya baadae nitie mzigo nipige pesa
Wewe mzee Mixo kumbe nawe ni wa hovyo sana[emoji38]Aisee, one man down, i repeat, one man down.
Upo sahihiMwenyezi Mungu hafanani wala hafananishwi na chochote.
[emoji38][emoji38][emoji38] watu stress zao watazimalizia hapa.!Bangi zinazopulizwa JF sijui ni za Malawi au Swaziland?
HapanaUlimuona Buddah kabla
mwenye nilifikaaa mbaliii kweliii😂😂Daaah jicho la tatu sio kichwa kizuri labda ungeweka meditation. UNALIJUA JICHO LA TATU WEWE😂😂
😁😁😁Wewe mzee Mixo kumbe nawe ni wa hovyo sana[emoji38]
NdiyoUmesema jicho lako la tatu liko wazi? [emoji849]
Aiseee tangu liniNdiyo
Unalifahamu jicho la tatu? Si anus ni invisible eye located between your eyebrowsAiseee tangu lini
Mbona maandiko matakatifu yanasema Mungu alimuumba binadamu kwa mfano wake?Mwenyezi Mungu hafanani wala hafananishwi na chochote.
Wazee wa jicho wanamzoom tu.😀😀😇Umesema jicho lako la tatu liko wazi? 🙄
Mkuu unakwepa mno kunijibu kama unapatikana hapa DSM!Wazee wa jicho wanamzoom tu.[emoji3][emoji3][emoji56]
Umejuaje kuwa jicho la tatu liko wazi.?Atheists please, kindly ignore this thread, not for you.
Habarini Wana-jamiiforums, nimekuwa nikipigana wakati mwingi sana nifungue jicho hili la tatu kupitia meditation na yoga.
Ila ajabu ni kuwa nimegundua liko wazi tena ni muda mrefu tu, nimejidharau mno kwa nini nilikuwa najichosha.
Kwanza nikawa na dalili zote za mtu aliye na jicho la tatu opened. Pia nikawa na uwezo wa kuanza kuuelewa ulimwengu wa roho pia. Nikawa nazikumbuka ndoto zote nilizokuwa nikiziota na kuziandika.
Ni muhimu sana kuandika ndoto. Unafika wakati unazikumbuka mpaka rangi za hiyo ndoto yako. Inafika wakati mpaka unajitambua ukiwa ndotoni, unajua kabisa hapa ninaota ndoto na unajielewa kabisa hivyo una behave kwa umakini zaidi.
Sasa niwaache na swali! Umemuuliza Mungu jambo, je, atakujibu kwa njia gani? Kama ni ndoto, utajua vipi inatoka kwake?
Utajua vipi amri hii inatoka kwa Mungu hivyo niifuate? Mfano umemuuliza Mungu, Mungu wewe chakula chako ni kipi? Unafikiri Mungu atakujibu kwa njia gani?
Aya hiyo ya juu ndiyo lengo hasa la uzi huu.
Karibuni.
Uliniuliza saa ngapi na wapi? OK nipo Dar tangu ikiitwa Mzizima.Mkuu unakwepa mno kunijibu kama unapatikana hapa DSM!
Okay sawa kwahiyo kuna jicho hadi la nne au?Unalifahamu jicho la tatu? Si anus ni invisible eye located between your eyebrows