Nimegundua kumbe jicho langu la tatu liko wazi kabisa

Nimegundua kumbe jicho langu la tatu liko wazi kabisa

Atheists please, kindly ignore this thread, not for you.

Habarini Wana-jamiiforums, nimekuwa nikipigana wakati mwingi sana nifungue jicho hili la tatu kupitia meditation na yoga.

Ila ajabu ni kuwa nimegundua liko wazi tena ni muda mrefu tu, nimejidharau mno kwa nini nilikuwa najichosha.

Kwanza nikawa na dalili zote za mtu aliye na jicho la tatu opened. Pia nikawa na uwezo wa kuanza kuuelewa ulimwengu wa roho pia. Nikawa nazikumbuka ndoto zote nilizokuwa nikiziota na kuziandika.

Ni muhimu sana kuandika ndoto. Unafika wakati unazikumbuka mpaka rangi za hiyo ndoto yako. Inafika wakati mpaka unajitambua ukiwa ndotoni, unajua kabisa hapa ninaota ndoto na unajielewa kabisa hivyo una behave kwa umakini zaidi.

Sasa niwaache na swali! Umemuuliza Mungu jambo, je, atakujibu kwa njia gani? Kama ni ndoto, utajua vipi inatoka kwake?

Utajua vipi amri hii inatoka kwa Mungu hivyo niifuate? Mfano umemuuliza Mungu, Mungu wewe chakula chako ni kipi? Unafikiri Mungu atakujibu kwa njia gani?

Aya hiyo ya juu ndiyo lengo hasa la uzi huu.

Karibuni.
"Jicho lako la tatu lipo wazi".

Sawa wakubwa tumekuelewa.
 
Unalifahamu jicho la tatu? Si anus ni invisible eye located between your eyebrows
Jicho la tatu ni uwezo wa kutambua yaliyopo nyuma ya yale yanayoonekana kwa macho ya kawaida. Pia ni uwezo wa kuyaona mambo ya wakati ujao. Kuyajua mambo ya kiroho yawe mazuri au mabaya.
 
Mada nzuri ila imechakachuliwa na vijana wa hovyo!

Third [emoji2539] ikiwa open unaona mengi, technically unaweza tambua yajayo kupitia meditation,huwa najua kama naenda sehemu fulani nitafanikiwa au la! Napata majibu instantly! Kumbuka ukiitumia vizuri Higherself inakupa majawabu! binafsi huwa nafanya meditation na Yoga..Third Eye [emoji2539] ni tata ina jazba [emoji23] (Sijui ni kwangu tu) kimsingi Chakra zisipokua balanced ama kama kuna jambo unataka taarifiwa asee, huwezi kutulia hata ukiwa kazini au popote mpaka taarifa husika uipokee..kuna kipindi mpaka najuta hasa ikiwa overactive! Ila inasaidia, unauona ulimwengu kwa dhana na taswira tofauti! Sema dahh..
 
Atheists please, kindly ignore this thread, not for you.

Habarini Wana-jamiiforums, nimekuwa nikipigana wakati mwingi sana nifungue jicho hili la tatu kupitia meditation na yoga.

Ila ajabu ni kuwa nimegundua liko wazi tena ni muda mrefu tu, nimejidharau mno kwa nini nilikuwa najichosha.

Kwanza nikawa na dalili zote za mtu aliye na jicho la tatu opened. Pia nikawa na uwezo wa kuanza kuuelewa ulimwengu wa roho pia. Nikawa nazikumbuka ndoto zote nilizokuwa nikiziota na kuziandika.

Ni muhimu sana kuandika ndoto. Unafika wakati unazikumbuka mpaka rangi za hiyo ndoto yako. Inafika wakati mpaka unajitambua ukiwa ndotoni, unajua kabisa hapa ninaota ndoto na unajielewa kabisa hivyo una behave kwa umakini zaidi.

Sasa niwaache na swali! Umemuuliza Mungu jambo, je, atakujibu kwa njia gani? Kama ni ndoto, utajua vipi inatoka kwake?

Utajua vipi amri hii inatoka kwa Mungu hivyo niifuate? Mfano umemuuliza Mungu, Mungu wewe chakula chako ni kipi? Unafikiri Mungu atakujibu kwa njia gani?

Aya hiyo ya juu ndiyo lengo hasa la uzi huu.

Karibuni.
Daaah..... Watu wamekukula jicho lako mpaka limekuwa wazi kabisa.... Hatari sana dogo. Nyie watu mnajitangaza tu siku hizi.
 
Atheists please, kindly ignore this thread, not for you.

Habarini Wana-jamiiforums, nimekuwa nikipigana wakati mwingi sana nifungue jicho hili la tatu kupitia meditation na yoga.

Ila ajabu ni kuwa nimegundua liko wazi tena ni muda mrefu tu, nimejidharau mno kwa nini nilikuwa najichosha.

Kwanza nikawa na dalili zote za mtu aliye na jicho la tatu opened. Pia nikawa na uwezo wa kuanza kuuelewa ulimwengu wa roho pia. Nikawa nazikumbuka ndoto zote nilizokuwa nikiziota na kuziandika.

Ni muhimu sana kuandika ndoto. Unafika wakati unazikumbuka mpaka rangi za hiyo ndoto yako. Inafika wakati mpaka unajitambua ukiwa ndotoni, unajua kabisa hapa ninaota ndoto na unajielewa kabisa hivyo una behave kwa umakini zaidi.

Sasa niwaache na swali! Umemuuliza Mungu jambo, je, atakujibu kwa njia gani? Kama ni ndoto, utajua vipi inatoka kwake?

Utajua vipi amri hii inatoka kwa Mungu hivyo niifuate? Mfano umemuuliza Mungu, Mungu wewe chakula chako ni kipi? Unafikiri Mungu atakujibu kwa njia gani?

Aya hiyo ya juu ndiyo lengo hasa la uzi huu.

Karibuni.
Nilifikiri ni hadithi ya kusisimua, kumbe ni mambo ya kisanii tu? Jicho la tatu si ni tundu la dushe jamani au?
 
Back
Top Bottom