Nimegundua kumbe jicho langu la tatu liko wazi kabisa

Nimegundua kumbe jicho langu la tatu liko wazi kabisa

Jicho la tatu ndio lililo nileta hapa sio hizo habari zako zingine. Sawa wajuze waje muendelee....
 
Jicho la tata likiwa wazi, huezi kuja kuandika au kuanzisha mada ya hekma ndoko kama hii anyway.
Sign kwanza kama unaeza kuona aura, yana energyfields za watu ziko kama rangi tofauti tofauti..
Unakuwa unauona ulimwengu ma mazingira yake so bright colours zinakuna high saturated.
dreama , visual reality ya ndoto zako inakuwa very strong na straight, utaeza kufanya OBE yani out of body exerience, na mengi mengi ,. kupenda kukaa gizani, hutaki mwanga mkali
 
Jicho la tata likiwa wazi, huezi kuja kuandika au kuanzisha mada ya hekma ndoko kama hii anyway.
Sign kwanza kama unaeza kuona aura, yana energyfields za watu ziko kama rangi tofauti tofauti..
Unakuwa unauona ulimwengu ma mazingira yake so bright colours zinakuna high saturated.
dreama , visual reality ya ndoto zako inakuwa very strong na straight, utaeza kufanya OBE yani out of body exerience, na mengi mengi ,. kupenda kukaa gizani, hutaki mwanga mkali
Yote ninayo
 
Jicho la tata likiwa wazi, huezi kuja kuandika au kuanzisha mada ya hekma ndoko kama hii anyway.
Sign kwanza kama unaeza kuona aura, yana energyfields za watu ziko kama rangi tofauti tofauti..
Unakuwa unauona ulimwengu ma mazingira yake so bright colours zinakuna high saturated.
dreama , visual reality ya ndoto zako inakuwa very strong na straight, utaeza kufanya OBE yani out of body exerience, na mengi mengi ,. kupenda kukaa gizani, hutaki mwanga mkali
Nimeleta uzi kutokana na mshangao mkubwa. Nilikuwa nataka jicho la tatu liwe wazi ila kumbe lilishakuwa wazi kitambo, so nilikuwa natafuta kitu ambachp ninacho tayari.
 
Kuna m
Sinadhani maana ninge kujua tu kwa maandishi yako au wenda hujaandika yote.
Chuku maji weka kwenye glass transparent yangalie kwa dakika 10 then uje useme umeona nn?
Kuna madhara Gani kufungua third eye 👁️
 
Atheists please, kindly ignore this thread, not for you.

Habarini Wana-jamiiforums, nimekuwa nikipigana wakati mwingi sana nifungue jicho hili la tatu kupitia meditation na yoga.

Ila ajabu ni kuwa nimegundua liko wazi tena ni muda mrefu tu, nimejidharau mno kwa nini nilikuwa najichosha.

Kwanza nikawa na dalili zote za mtu aliye na jicho la tatu opened. Pia nikawa na uwezo wa kuanza kuuelewa ulimwengu wa roho pia. Nikawa nazikumbuka ndoto zote nilizokuwa nikiziota na kuziandika.

Ni muhimu sana kuandika ndoto. Unafika wakati unazikumbuka mpaka rangi za hiyo ndoto yako. Inafika wakati mpaka unajitambua ukiwa ndotoni, unajua kabisa hapa ninaota ndoto na unajielewa kabisa hivyo una behave kwa umakini zaidi.

Sasa niwaache na swali! Umemuuliza Mungu jambo, je, atakujibu kwa njia gani? Kama ni ndoto, utajua vipi inatoka kwake?

Utajua vipi amri hii inatoka kwa Mungu hivyo niifuate? Mfano umemuuliza Mungu, Mungu wewe chakula chako ni kipi? Unafikiri Mungu atakujibu kwa njia gani?

Aya hiyo ya juu ndiyo lengo hasa la uzi huu.

Karibuni.
[emoji2956]
 
FB_IMG_16782263001821653.jpg
 
Mwanadamu wa kawaida ana NJIA ZA FAHAMU 5....ukiwa WISE utaweza kuwa na NJIA ZA FAHAMU 10....hizo ni 5 za ndani.....

Siku ukijua kuwa kila unaloliona lina maana ya nje na maana ya ndani....kuijua maana ya ndani kunahitaji kujitambua kwanza......

Ni "package".....Mwanadamu/Wanyama wengine/Hewa/Maji/Madini/Mimea....

Moto una maji ndani yake....na maji yana Moto ndani yake......

Siku ukija kujua kuwa JAZBA/HASIRA/CHUKI/KISASI/HUSDA ni MOTO ndani yako unaokufanya uwe "SHETANI-NEGATIVE ENERGY" aonekanaye utamaizi thamani ya kuwa KINYUME na hayo niliyoyataja ndani yako......

***************************

NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE IT WOULD BE UNJUST TO THE KNOWLEDGEABLE

#YetzerHatov
#DoNotDoHarm
 
Atheists please, kindly ignore this thread, not for you.

Habarini Wana-jamiiforums, nimekuwa nikipigana wakati mwingi sana nifungue jicho hili la tatu kupitia meditation na yoga.

Ila ajabu ni kuwa nimegundua liko wazi tena ni muda mrefu tu, nimejidharau mno kwa nini nilikuwa najichosha.

Kwanza nikawa na dalili zote za mtu aliye na jicho la tatu opened. Pia nikawa na uwezo wa kuanza kuuelewa ulimwengu wa roho pia. Nikawa nazikumbuka ndoto zote nilizokuwa nikiziota na kuziandika.

Ni muhimu sana kuandika ndoto. Unafika wakati unazikumbuka mpaka rangi za hiyo ndoto yako. Inafika wakati mpaka unajitambua ukiwa ndotoni, unajua kabisa hapa ninaota ndoto na unajielewa kabisa hivyo una behave kwa umakini zaidi.

Sasa niwaache na swali! Umemuuliza Mungu jambo, je, atakujibu kwa njia gani? Kama ni ndoto, utajua vipi inatoka kwake?

Utajua vipi amri hii inatoka kwa Mungu hivyo niifuate? Mfano umemuuliza Mungu, Mungu wewe chakula chako ni kipi? Unafikiri Mungu atakujibu kwa njia gani?

Aya hiyo ya juu ndiyo lengo hasa la uzi huu.

Karibuni.
Liko wazi kabisa kabisa?
😳😳😳
 
Meditation mpaka katika "kula tunda".....mkiwa WISE wewe na mwenzako MTAFIKA "or....sm" ya DUNIA ISIYOFIKIKA na hawa wanaoshiriki tendo KIBIASHARA AMA kama wale "porn actors"walioko katika mahusiano yasiyo ya kisheria na wale walioko ndoani.....
 
Back
Top Bottom