Nimegundua kwamba Watanzania wengi hawana ufahamu kwenye mengi hasa vijana. Elimu inapaswa iangaliwe upya

Nimegundua kwamba Watanzania wengi hawana ufahamu kwenye mengi hasa vijana. Elimu inapaswa iangaliwe upya

Vijana wengi hawana reasoning kabisaa wao ni kulipuka tu kilichosemwa na wanayemuamini tu basi. Sijui ni stress za maisha au.

Angalia hili swala la mpina, ukimuuuliza kijana alitolee analysis na jinsi gani analishadadia wala hajui lolote ila analishadadia tu ili mradi wengine wanasema hivyo.

Angalia akina mdude wanavyoviandika au akina maria salungi hapo ndo utaona reasoning inavyodiminish kwa kasi.

Wanasubili tu leo lisu ataongea nini halafu wanaripoti kama lilivyo as if wao ni empty sets.

Hata magazeti wanaconclude kwa kusoma vichwa vya habari tu.

Ndo maana hata kwenye hard talk yule sucker alivyokuwa qnqmhoji lisu qlimuona ni bogus anamuuliza hiki anajibu kile.

Maskini tanzania.

Maria Sarungi na Mdude wamesoma SAUT?
 
Vijana wengi hawana reasoning kabisaa wao ni kulipuka tu kilichosemwa na wanayemuamini tu basi. Sijui ni stress za maisha au.

Angalia hili swala la mpina, ukimuuuliza kijana alitolee analysis na jinsi gani analishadadia wala hajui lolote ila analishadadia tu ili mradi wengine wanasema hivyo.

Angalia akina mdude wanavyoviandika au akina maria salungi hapo ndo utaona reasoning inavyodiminish kwa kasi.

Wanasubili tu leo lisu ataongea nini halafu wanaripoti kama lilivyo as if wao ni empty sets.

Hata magazeti wanaconclude kwa kusoma vichwa vya habari tu.

Ndo maana hata kwenye hard talk yule sucker alivyokuwa qnqmhoji lisu qlimuona ni bogus anamuuliza hiki anajibu kile.

Maskini tanzania.
Watu waliopewa dhamana wakiacha kuahirisha kufikiri kwa nafsi tutafika mbali sana, (human herding), ama unyumbu, unyumbu ni tabia ya waliopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza au kutumikia kundi Fulani ama uoga wa viongozi wao, human herding is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or working towards group objectives and fear of their leaders. Nyumba humfuata muongozaji hata kama muongozaji at hatarisha maisha yao
 
Vijana wengi hawana reasoning kabisaa wao ni kulipuka tu kilichosemwa na wanayemuamini tu basi. Sijui ni stress za maisha au.

Angalia hili swala la mpina, ukimuuuliza kijana alitolee analysis na jinsi gani analishadadia wala hajui lolote ila analishadadia tu ili mradi wengine wanasema hivyo.

Angalia akina mdude wanavyoviandika au akina maria salungi hapo ndo utaona reasoning inavyodiminish kwa kasi.

Wanasubili tu leo lisu ataongea nini halafu wanaripoti kama lilivyo as if wao ni empty sets.

Hata magazeti wanaconclude kwa kusoma vichwa vya habari tu.

Ndo maana hata kwenye hard talk yule sucker alivyokuwa qnqmhoji lisu qlimuona ni bogus anamuuliza hiki anajibu kile.

Maskini tanzania.
Duh. Mkuu sijui uliamkaje na utalala vipi. Usije kujinyonga nyonga bure kwa makasiriko.

Fanya therapy haraka Mkuu, hata Lissu anafanya kwa sababu za makasiriko na viwewe.

Watanzania ni bongo bana. Hapa ndipo maisha yote unayoyaona Duniani yalipoanzia. Hata Akili.

Tanzania Akili kubwa!
 
Vijana wengi hawana reasoning kabisaa wao ni kulipuka tu kilichosemwa na wanayemuamini tu basi. Sijui ni stress za maisha au.

Angalia hili swala la mpina, ukimuuuliza kijana alitolee analysis na jinsi gani analishadadia wala hajui lolote ila analishadadia tu ili mradi wengine wanasema hivyo.

Angalia akina mdude wanavyoviandika au akina maria salungi hapo ndo utaona reasoning inavyodiminish kwa kasi.

Wanasubili tu leo lisu ataongea nini halafu wanaripoti kama lilivyo as if wao ni empty sets.

Hata magazeti wanaconclude kwa kusoma vichwa vya habari tu.

Ndo maana hata kwenye hard talk yule sucker alivyokuwa qnqmhoji lisu qlimuona ni bogus anamuuliza hiki anajibu kile.

Maskini tanzania.
Mbona kwa andiko lako hili wewe ndiye zero brain kabisa. Hebu dadavua wewe alichosema Mpina na uandike walichosema hao unaowaona ni vilaza halafu utuachie tufanye ulinganisho. Tatizo lako wewe mtu anayetofautiana na mtazamo wako unamuona hana akili.
 
Utashambuliwa sana na wewe pia kuonekana hauna akili na mashabiki wa hao uliowataja.

Lakini pia ungeweka majina ya upande ule mwingine basi pia ungeitwa kamanda na kuonekana sio tu unaakili bali ni genius.

Haya yanatokana na msingi wa ulichoandika WATANZANIA WENGI HATUNA AKILI AKA OYAOYA hatuna uwezo wa kufikiri jambo kwa akili huru bali tunasukumwa na ushabiki + udini.
 
Vijana wengi hawana reasoning kabisaa wao ni kulipuka tu kilichosemwa na wanayemuamini tu basi. Sijui ni stress za maisha au.

Angalia hili swala la mpina, ukimuuuliza kijana alitolee analysis na jinsi gani analishadadia wala hajui lolote ila analishadadia tu ili mradi wengine wanasema hivyo.

Angalia akina mdude wanavyoviandika au akina maria salungi hapo ndo utaona reasoning inavyodiminish kwa kasi.

Wanasubili tu leo lisu ataongea nini halafu wanaripoti kama lilivyo as if wao ni empty sets.

Hata magazeti wanaconclude kwa kusoma vichwa vya habari tu.

Ndo maana hata kwenye hard talk yule sucker alivyokuwa qnqmhoji lisu qlimuona ni bogus anamuuliza hiki anajibu kile.

Maskini tanzania.
Mbona mwandishi kama ndio bogus vile
 
umechochewa na mihemko au umekurupuka ukiwa na njaa kuandika haya ulioandika :pedroP:

au umedisco nini, ukiwa unasoma miongoni mwa vyuo hivyo?

au hivyo vyuo ulivyo vitaja, wamekunyima ajira ya tutorial assistance nini baada ya kusota sana kitaa tangu umalize chuo?

au wamekunyima mkataba mwingine wa kufundisha kwasababu huenda unafundisha chini ya kiwango, maana maelezo yako dah, sijui kufundisha itakuaje:pulpTRAVOLTA::pulpTRAVOLTA:
Mkuu umehoji mambo ya msingi. Pamoja na hayo, majibu ya sasa ya wachangiaji wengi kuhusu hoja yake yanaakisi kile alichokipigia mstari.

Jaribu kuangalia mtiririko, am sure you will come up with a second thought if not a reasonable opinion!! Take your time Mkuu!!

⚖️4Asimwe#
 
Back
Top Bottom