Nimegundua mapenzi hayanitaki, ngoja nifanye mambo mengine tu


Ukiwa na pesa na uko bze na maisha yako trust me wanaume watakuhangaikia wenyewe
 
Inavyoonekana hiyo ndoa na huyo jamaa ulifosi wewe yeye hakuwa tayari ,
Sasa Angalia imekula kwako.

Aliposema
Mahali ana laki 2 badala ya milioni hadi kufika laki 1 hapo alikuwa anaonesha namna muelewe kuwa hayuko tayari na nyie mkafosi , haya sasa!
 
Sasa hivi atakae kutaka na huo wegazi (ulezi) wa watoto hao nani tena ?!

Labda iwapo uko na financial freedom kwa Mpenzi wa kupeana Furaha na raha utapata lakini kutegemea vinginevyo sizani !

Halafu sasa wengine wana neema na nguvu ya Mungu hawarogeki au ukute nao huwa wanajihangaikia mara kwa mara kucheki status akikuta umemroga anaona inatafuta kuja kumuua anakuacha mazima!
 
Ungekuwa huna watoto tungesema uendelee kutafuta new bae, mi naona ufocus kwenye kulea watoto wako wanakuhitaji kuliko hao beach boys within the process utampata mtu sahihi Wala hautotumia nguvu nyingi. All in all poleee my dear!!!!
 
Wewe unayatafuta mapenzi ili iweje?
Binafsi huwa ni kunyandua tu sina sababu kuubwa ya kuyapapalikia mapenzi zaidi ya hiyo tu.
Hivyo hayanitesi kwasababu mbusus ni nyingi mno, na ninaweza kuamua wala nisinyandue kwa muda fulani.

Sasa wewe unaingia penzini kwa kutaka kunyanduliwa au kupata faraja.?
Kama ni minyanduo mapenzi hayatakutesa sana ila kama unataka mpenzi wako ndo akupe furaha, akujali, akutreat kama malkia hapo ushafeli.
 
Ndoa ya pili ilikuwa ya haraka sababu ya mimba, actually isingeweza kuwa strong kutokana na sababu yenyw iliyowafanya muoane, japo zipo za aina hiyo zilizodumu, ni bahati hutokea.

Wa tatu amekimbia majukum nahisi, watoto wa tatu! ni ngumu Sana hasa kama alikuwa kijana mwenzio, jumlisha ulivokubali kwa haraka suala la kuishi pamoja!!, (Akili mtu wangu)

NB
Miaka 34 wanaume watatu!!? CV ya maana sana
 
Pole sana, sali sana Mungu atakupa wa kufanana na wewe… all the best..
 
Reactions: THT
Watakuja kusema mzimu wa mpenzi wako wakwanza bado unawivu nawewe..[emoji1787]

Pole japo sio sana maana hatujajua waliokuacha walikuwa wanakutana na nini
Nahisi mi ujinga wao huyu dads angekuwa na tatizo wasingekuwa wanamtundika mimba.
 
Huyo wa tatu aliona mzigo kulea watoto wa wenzake.
 
Huyo wa tatu aliona mzigo kulea watoto wa wenzake.
Sidhani kwa sababu sijawahi mpa jukumu la kununua chochote, cha wanangu na sehemu kubwa najihudumia na nahudumia wanangu katika hali ya ugumu ila najitahidi misimtegee mtu katika maisha yangu.

Kwake nilikuwa nahitaji faraja tu basi huduma zake alikwa anatoa mwenyewe kwa kupenda na si kumlazimisha afanye kitu kwa watoto.
 
Imekuchukuwa mda gani kujua kuwa mapenz hayakukubali?pole hujachelewa wanaume hawafanani, achana na wamba kwaya njoo kwa ma sheikh
 
Nimejaribu kutafakari tatizo lipo wapi kwa hao wote , bado cjapata picha kamili nikama umewazungumzia madhaifu yao tu yakwako umeyaficha nikisoma uzi wako unaonekana kama wewe nimkamilifu 100% .....je? Nikweli? Eb tusikie na upande wako ili tukushauri vzri au njo PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…