Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

Wakati ambao nahisi sikua nimekua vya kutosha nilikuwa namuona Bro wangu niliyekuwa nakaa nae hajiheshimu kabisa kwani alikuwa anabadilisha hawa viumbe kama nguo na nilikuwa namwambia 'kaka haya sio maisha,tafuta mmoja utulie' Bro alikuwa anacheka tu na kujifanya amenielewa.
Mara kadhaa nimejitoa kwa hawa viumbe kilichonikuta sasa tena mtu anakuja kukuacha na vizungu zungu vyake kama vile ni kitu kizuri "You are good man,never did me wrong.but this relationship has never meant to be,i think you deserve better,goodbye"siyasahau hayo maneno kwa sababu nilifanya kila kitu kwa usahihi kwake.inauma sana
Sasa hivi namshangaa mtu ambaye ana mapenzi makubwa kwa mwanamke,ambaye anakuwa committed kwa mwanamke mmoja.hawa viumbe hawastahili huo tunaouita upendo.Ni kupiga na kutafuta mwingine tu.
 
Hehehehehehe, hapana asifanye hivyo kwa usalama wa nafsi yake
Huyu jamaa amenikumbusha Kuna rafiki yangu na yeye mdogo wake alikua na mambo hizo hizo, mademu zake karibia 3 dogo katomber, wana mdogo wao mwingine nae mademu wake katomber, yaani kwao ni kosa kumtambulisha shemeji lazima atumie njia yoyote mpaka awavue chupi.
Kuna siku nilikaa nae nikamuuliza hivi unajisikiaje kutembea na wanawake wa ndugu zako?
Jamaa lilinijibu we hujui tu jinsi mashemeji wanavyokuaga watamu.
 
Huyu jamaa amenikumbusha Kuna rafiki yangu na yeye mdogo wake alikua na mambo hizo hizo, mademu zake karibia 3 dogo katomber, wana mdogo wao mwingine nae mademu wake katomber, yaani kwao ni kosa kumtambulisha shemeji lazima atumie njia yoyote mpaka awavue chupi.
Kuna siku nilikaa nae nikamuuliza hivi unajisikiaje kutembea na wanawake wa ndugu zako?
Jamaa lilinijibu we hujui tu jinsi mashemeji wanavyokuaga watamu.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ko huyo dogo ye hana wanawake
 
Muite huyo suzie.
Mwambie unajua mahusiano yake

Mwambie mdogo wako unajua alichokufanyia
Kata nao mawasiliano....wauaji hao
 
Kumuhudumia kila kitu haikuwa na ulazima wa kuweka hapa sababu wapo wanahudumia mpaka safari za paris na wanamegewa. Pole sanaa wachaaa nimkataze dogo mazoea na demu wangu sasa.
 
Habari za muda huu wanajamvi? Ni matumaini yangu kwamba mnaelendea vyema na majukumu yenu.

Nimekumbwa na msongo mkubwa sana wa mawazo baada ya kugundua mdogo wangu wa kiume Ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu ninayempenda kwa dhati Sana.Kwa hyo Naomba mnishauri vizuri baada ya kusoma kisa changu kifuatacho.

Nina mpenzi wangu mwenye miaka 24 na nimedate naye kwa muda wa miezi Saba Sasa.Ni mwanamke ambaye ninampenda kea dhati yangu yote na nilikuwa na malengo makubwa Sana naye ikiwemo ndoa.

Tumekuwa tunapendana Sana na Mara nyingi anakujaga home kwetu kunitembelea mixer kutangamana na familia yangu( ndugu na wazazi wangu).

Alijenga mazoea makubwa Sana na familia yangu hasa ndugu yangu mdogo wa kiume ( ninamzidi na miaka 4) Hadi wakafikia hatua ya kubadilishiana mawasiliano wakawa wanaongea kwa pigo za kishemeji shemeji.

Hilo sikuwa na tatizo nalo maana nilijua huyu Ni ndugu yangu mdogo namwaminia kwahyo sikuwahi waza kwamba anaweza date na demu wangu.

Huyu mpenzi wangu nilikuwa nampenda kwa dhati Sana na toka nianze kudate naye Wala sijawahi mcheat na demu mwingine.Nilikuwa namprovaidia Kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kutoka kwa mpenzi wake.Nilikuwa namtazamia kula yake,mavazi,nauli,hela ya saloon,namuungia bundle na vocha kwenye simu yake,namtoa out mixer hela ya matumizi mengine ya kawaida.Chumbani Napo nilikuwa Nampa tango Yaani nilikuwa napiga shoo za nguvu Hadi ananistukia.Kwahyo ninaweza kusema kwamba mpaka muda huu sijawahi mzingua kwa lolote.

Naye hakuwahi kuonesha ishara za kudate na mwanaume mwingine tofauti na Mimi mpaka leo nilipogundua kwamba anadate na mdogo wangu[emoji24][emoji24][emoji24] Leo mida ya asubuhi tulikuwa sebuleni kwa mama tunashusha kiamsha kinya mixer kupiga story za matukio.Mdogo wangu alikuwa amekaa mkabala na Mimi na simu yake alikuwa ameiweka juu ya meza.

Sasa kipindi tunaendelea kunywa chai alikuja rafiki yake akamwita nje waongee kdgo.Alipotoka ghafla simu yake ikaanza kuita nikaona jina imeandika " SAM" afu number Nikaona ni ya huyo mpenzi wangu kbsa.Nilishtuka Sana na nikaanza kujiuliza kwanini mdogo amsevu mpenzi wangu( shemeji yake) jina tofauti na lake.Mpenzi wangu anaitwa Suzie afu yeye amemsevu SAM,kwanini?

Nikajua Kuna kitu kitakuwa kinaendelea Kati ya Hawa wawili.

Brother aliporudi ndani nikamwambia simu yake ilikuwa inaita akaichukua akaona missed call akasema this is confidential akatoka nje akampigia.Waliongea muda mrefu Sana nami nikawa nimechanganyikiwa mazima Moyo ukaanza kutetemeka Hadi nikashindwa kuendelea kunywa chai.

Aliporudi ndani nilijifanya sijui kinachoendelea nikachora plan ya kumuomba simu yake niujue ukweli wote.Nilianza kuzuga zuga kwamba nahitaji kuongea na mshikaji wangu mmoja nifanye naye biashara fulani muhimu kbsa ila Sina vocha kwenye simu.

Nikamwambia mdogo wangu Kama Ana credit kwenye simu yake anipe japo kwa dakika tano nionge na jamaa aje tufanye biashara.Bro hakumaind Sana akachukua simu akaweka password akanikabidhi nikatoka nje.

Moja kwa Moja nilingia kwenye what's up yake nikafungua chats za Sam( ambaye ndio mpenzi wangu Sasa). Aisee nilihisi nimepigwa na kitu kizoto kichwani mwangu baada ya kusoma baadhi ya charts Kati ya mdogo wangu na Mpenzi wangu.

Nilikugundua Hawa wawili Wana mahusiano ya kimapenzi yaliyo serious kbsa.Texts za mahaba na picha za uchi ndo zimesheheni kwenye what's ya ndugu yangu.Mpaka wakaelezana walivyoenjoy sex kipindi fulani [emoji24][emoji24][emoji24]

Nilibujikwa na machozi mengi Sana mixer kosononeja moyono baada ya kukutana na Mambo ambayo kamwe sikuwahi tarajia kama yanaweza kutokea.Nilifuta machozi yangu nikaosha uso ili kuficha sonona yangu.Nilimrudishia simu yake nikatoka upesi huku natetemeka Sana.

Kiukweli Nina hasira nyingi Sana kwa ndugu baada ya kugundua unyama anaonifanyia na Mpenzi wangu.Nawaza Mambo mengi kichwani na nimekosa amani ya moyoni kbsa.Muda huu nipo kwenye baa fulani kwenye mtaa najianda kuagiza pombe ninywe nilewe nijaribu kupoza maumivu ninayohisi pindi nitakapomaliza kuiwasilisha hii thread kwenu Wana JF mnipe ushauri.

Natamani ninywe sumu nikafe tu maana mwanamke niliyekuwa na malengo makubwa Nate ndo huyo ananicheat na ndugu yangu.Waliowahi kupatwa na maumivu ya mapenzi bila Shaka wanajua magumu ninayopitia muda huu.

Akili zimesimama,Moyo unauma,kichwa kinaumwa na mwili unatetemeka.Bado nampenda Sana na kumuhitaji mpenzi wangu ila Niko njia panda sijui nifanyeje tu.

Ushauri wenu utanifaa zaidi katika huu msala nilionao.
Mungu kakuonyesha bado mapema huyo cyo mwema kwako Kaka il akili kichwani kwako
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaa kaka jitathmini inawezekana hunyandui kama dogo anavyonyandua jitathmini kama vipi piga chini alaaah wako kibaaaao kupenda ilikua zamani shekhe , sikuhizi nyandua sepa
 
Moyo wa kupenda kwa dhati hadi kutaka kujiua huwa ni wa vijana below 30
 
mleta mada fala sana, Eti unywe sumu, mwanaume mzima ujiue kisa mwanamke!!!!, kuna wanawake wengi sana hii Tz na wazuri kuliko huyo mwanamke, ambapo wanaume wote wa TZ tukigawia kila mmoja atakua na wake 9 tisa, tisa.

Afu mwanaume mzima mambo ya kutulilia huku kisa mwanamke ni uchoko huo. Kwanza mwanaume halisi unabidi uwe na akiba ya wanawake watano na zaidi, akizingua mmoja unamtema unabaki na wanne.
 
Kama hujawahi kutendwa basi hujajua kupenda, shukuru umejua mapema kuwa manzi hafai cha msingi muache huyo manzi usije kugombana na ndugu yako wa damu kisa demu uliekutana nae ukubwani
 
Acha ujinga ujinyonge kisa Mwanamke upiyekutana naye Kwa miezi 7 hivi kujinyonga mnaonaga ndio suluhisho la matatizo eeeee! Kwani Huyo Mwanamke umemuoa? Halafu hizi mambo za kutambulisha wanawake kwenu wakati hata wewe mwenyewe hamfahamu japo Kwa asilimia 10, huo ujasiri mnautoaga wapi? Kingine hama hapo nyumbani panga uishi maisha ya kigeto geto utakuja kuthibitisha kuwa ulikuwa mjinga kuwaza kujinyonga
 
mleta mada fala sana, Eti unywe sumu, mwanaume mzima ujiue kisa mwanamke!!!!, kuna wanawake wengi sana hii Tz na wazuri kuliko huyo mwanamke, ambapo wanaume wote wa TZ tukigawia kila mmoja atakua na wake 9 tisa, tisa.

Afu mwanaume mzima mambo ya kutulilia huku kisa mwanamke ni uchoko huo. Kwanza mwanaume halisi unabidi uwe na akiba ya wanawake watano na zaidi, akizingua mmoja unamtema unabaki na wanne.
Hawa ndio watafanya na wanaume wawe na taasisi ya kupigania haki za wanaume, mwanaume anakuwa mwepesi mwepesi hivyo kama kipepeo
 
Mamumivu ni kawaida kwa binadamu yoyote na huwa yanapita ukijipa muda.

Funga ukurasa wa mapenzi weka wazi ulichogundua kwa wote kisha endelea kuuguza kidonda na maisha mengine yaendelee. Wakati ujao usimuamini ndugu yoyote kwa mpenzi wako au mkeo.

Kuhusu huduma ulizokuwa unampa chukulia ni sadaka au malipo ya penzi ulilokuwa unaenjoy naye. Songa mbele mzee.
 
"Muda huu nipo kwenye baa fulani kwenye mtaa najianda kuagiza pombe ninywe nilewe."
Uhitaji tena ushauri wewe solution ya tatizo umeipata tayari wajuzi wa mambo apo tunasemaga CASE CLOSED.
 
Back
Top Bottom