Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Uongo huoooSimple kama kutelekeza mtoto uliyekata kiuno mwenyewe ukampa mbegu mwanamke uliyekir moyoni kumpenda
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo huoooSimple kama kutelekeza mtoto uliyekata kiuno mwenyewe ukampa mbegu mwanamke uliyekir moyoni kumpenda
Akikujibu ni tag!Hahah, ni kweli ningemtumia ipasavyo ila si kumfuja. Na hata ningemfuja ni mke wangu tayari, naye angeweza ni ruksa kunifuja. Kuhusu unafiki na ujuaji, ni kweli nipo hivyo, kulingana na mtu ameni face vipi. Ukija kistaarabu utapata uungwana na ustaarabu, ukija kipimbi na kijuaji nami nitakuletea ujuaji.
Ni gold digger kwani alikuwa yupo tayari aue ili aolewe na mimi, ninamjua kuliko umjuavyo. Ni vihela vyangu vilikuwa vinamtoa macho mpaka kufikia kutoa mimba 2.
Kifupi mimi ni mtu poa tena sana, hao niliowajibu huko juu kijuaji au kimajivuno ni kuwa walianza wao. Ukianza mimi namaliza, hii ndio slogan yangu.
Mwisho, jamii yangu inafurahia uwepo wangu, na nadiriki kusema hainioni kama wewe usiyenijua unionavyo kichomi.
Kikubwa ni 'heshimu uheshimiwe'.
Siku njema!
HataaaUmempiga huyu chalii na kitu chenye ncha kali sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji22][emoji22][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amen!Hongera sana wewe ni mwanaume ingawa ni ngumu kusahau ila Mungu atakupigania all the best...naamini utapata mtoto soon
Nmeshangaa mtu hajui kuwa too much of anything is harmfulKwamba tatizo ni huelewi maana ya kuugua ama ni unataka nikuletee Bandiko la tafiti za kisayansi Kuthibitisha.... Anyway kwenye ulimwengu wa sasa Taarifa ni nyingi na upatikanaji wake ni rahisi sana Just Google it.
View attachment 2051881
Hao watoto wanaojifanya wanapenda sana kusali hua Wana matatizo sana...wanapewa mimba na viongozi wao wa kwaya....wakitoka hapo wanaenda kuoa watu wa sehem nyingine kabisaTangu akiwa mwaka wa 1! Alikuwa ni miongoni katika moja ya madhebhebu ya kiimani ya chuo, wakati huo mimi nikiwa mwaka wa 3
Alafu unakuta anakufokea kwa kujiamini Kabisa...Nmeshangaa mtu hajui kuwa too much of anything is harmful
Kwa nini umemuita hivyo?We nae ni Bwege tu
Next time amkia wakubwa zako kwanza kabla haujaeleza shida yakoHelloooo wadau, mimi ni kijana ninayepambania maisha yangu kwa sasa, ya kimaendeleo. NILIKUWA na MPENZI wangu ambaye nilipanga nimuoe mwezi wa 2 mwakani, nimegundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, tena mimba mbili.
Kwa alivyo mpole sikumdhania kabisa, amemaliza chuo mwaka huu na AME graduate, NIMEAMUA RASMI KUMUACHA NA KUSITISHA NDOA, AMEPIGA SIMU ZAIDI YA MARA 70 NIME MUTE.
Ahsante m ungu kwa kuniepusha na huyu gold digger!
Kama alikucheat tayari mkiwa kwenye uhusiano piga chini huyo.. Shukuru sana kwa kuyajua hayo mapema na Omba MUNGU upate mwanamke mwingine mwenye uafadhari wa majanga make wote hawajakamilika kila mwanamke na mapungufu yake..
Ilikuwaje broYaani bora ww huyo alitoa mm wangu aliamua kabisa kuzaa tena na kwao tushapeleka mahari nusu awa ma binti watatuaa
Ni kweli masturbation Ni dhambi, ila inakuwaje mpaka inakiwa dhambi ya uaji?Mtaacha sana wanawake, ila Hilo ni jambo la kawaida hata aliyekuleta ukute alishatoa nyingi tu wewe hujui, hafu hata masturbation ni dhambi ya uuaji, soma biblia uone, hata hao wake zenu wa ndoa ndio vinara kwa kuchoropoa mkigombana mara kwa mara, acheni kujiona malaika nyie
Sasa hayo ni maisha yake na mzee, siyo maisha yangu mimi.Mtaacha sana wanawake, ila Hilo ni jambo la kawaida hata aliyekuleta ukute alishatoa nyingi tu wewe hujui, hafu hata masturbation ni dhambi ya uuaji, soma biblia uone, hata hao wake zenu wa ndoa ndio vinara kwa kuchoropoa mkigombana mara kwa mara, acheni kujiona malaika nyie