mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 561
- Thread starter
- #241
Nimeumia kwa sababu nilimdhani ndiye kumbe siye, hapa ninapoongea nimeshamuacha rasmi mkuu!Umemuacha ama umempumzisha?
Mpaka kuleta hii mada humu ni kwamba umeumia/umeumizwa..
Ingekua jambo rahisi kwako ungalipetozea tu usingelianika jamvii...