mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 561
- Thread starter
- #21
OkayAkili fupi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayAkili fupi sana
Sawa though ni ngumuKama alikucheat tayari mkiwa kwenye uhusiano piga chini huyo.. Shukuru sana kwa kuyajua hayo mapema na Omba MUNGU upate mwanamke mwingine mwenye uafadhari wa majanga..
Labda ni kwako si kwangu, huyo malaika nitatafuta na nitampata.Huyo mnamhukumu kwa kuwa amekuwa mkweli na muwazi. Unajuaje huyo mpya akayekuja kumuoa yeye ametoa mimba ngapi? Ukitafuta mwanamke malaika wa kuoa, dunia hii hutaoa kabisa. Alikosea kama wengine na bado anaweza kuwa mke mzuri tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangu akiwa mwaka wa 1! Alikuwa ni miongoni katika moja ya madhebhebu ya kiimani ya chuo, wakati huo mimi nikiwa mwaka wa 3
Ndio, hakuwa na mimba yangu.Una uwakika hapakua na yako kati ya izo mbili
Upo sahihi, ni mtazamo wako.Wengine hawatoi ila wanatumia p2 ama njia za uzazi Point ya msingi Ukitaka kuoa oa Mind ya mwanamke na sio Mwili wake.
Unayemwoa utakaa naye sana kuhukumu past yake ni aina fulani ya ujinga.
Kila mtu ana mistake zake tukisema kila upande wahukumiwe matendo ya wanaume ni machafu zaidi ( Mimi pia ni mwanaume)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mwanamke ni muuaji na hana uoga tena kashakua jasiri wa kutoa mimba 2, jamaa hata akimuoa akawa mke ndani anaweza kuchepuka akapata mimba na bado akai abort tu...
Pia hapo mwanamke inamuweka kwenye hatari ya kua mgumba au kuharibu kizazi so jamaa anaweza akawa anataka kuoa mwanamke mgumba/tasa tayari pasipo kujua baadae waanze kutafuta mchawi nani mbona hawapati mtoto miaka inasonga ndoani..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Najaribu Kufikiria Ni Mwanaume ndiye anayekataa Mimba......
Ni huyo huyo anakataa Kuoa Single Mama.....
Lakini pia ni huyo huyo Anataka Kuoa Mwanamke Bikra.
Ajabu zaidi ni Huyo huyo anaomba namba kila mwanamke atakayepita mbele yake.
Kama alicheat achana nae huyo, hakufai hata kidogo.Ali cheat, kwa mujibu wake!
Ndyooooh.Kwa hiyo gold digger ni binti alietoa mimba?
As long as umeshawahi ku sex na mwanamke peku, na hukumuoa... hata kama hukuthibitisha alipata mimba au la, hata wewe umehusika katika utoaji wa mimba kwa sababu sio mara zote wanawake wanasemaga wakipata ujauzito.
So before pointing fingers, take some water.
Labda uumbe wako. Walioumbwa na Mungu wote wana kasoro zao.Labda ni kwako si kwangu, huyo malaika nitatafuta na nitampata.
Ni kasoro sawa ila sio hizo ulizotaja za kutoa toa mimba, mtu wa hivi kwangu HANA NAFASI. SIWEZI KUOA BITCH! KWANGU NI MWIKO.Labda uumbe wako. Walioumbwa na Mungu wote wana kasoro zao.
Ni kasoro sawa ila sio hizo ulizotaja za kutoa toa mimba, mtu wa hivi kwangu HANA NAFASI. SIWEZI KUOA BITCH! KWANGU NI MWIKO.
Mkuu hujawah kupga masterbation?? kama umewah bas nawe umeua watoto kwa namna tofautHelloooo wadau, mimi ni kijana ninayepambania maisha yangu kwa sasa, ya kimaendeleo. NILIKUWA na MPENZI wangu ambaye nilipanga nimuoe mwezi wa 2 mwakani, nimegundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, tena mimba mbili.
Kwa alivyo mpole sikumdhania kabisa, amemaliza chuo mwaka huu na AME graduate, NIMEAMUA RASMI KUMUACHA NA KUSITISHA NDOA, AMEPIGA SIMU ZAIDI YA MARA 70 NIME MUTE.
Ahsante m ungu kwa kuniepusha na huyu gold digger!View attachment 2050980
[emoji23]Najaribu Kufikiria Ni Mwanaume ndiye anayekataa Mimba......
Ni huyo huyo anakataa Kuoa Single Mama.....
Lakini pia ni huyo huyo Anataka Kuoa Mwanamke Bikra.
Ajabu zaidi ni Huyo huyo anaomba namba kila mwanamke atakayepita mbele yake.
Kiukweli kama Maji tu ambayo ni salama kwa Afya ukizidisha utaugua Je Kemikali yenye lengo la kuvuruga utaratibu mzuri wa Mwili...Zina MadharaMkuu hivi hizi p2 hazina madhara kweri kwa wadada huko mbeleni?
Una mashetani? Yaan kutoa mimba sio issue? Amaa kweli kizazi cha nyokaUmefanya maamuzi mapema mno. Issue ya kutoa mimba kwa wanachuo sio jambo la kushangaza mpaka uamue kuvunja uchumba. Maisha ya chuoni kwa wanawake ni harsh sana. Kama hukuwa na ugomvi wowote mwingine naye bi afsi naona umefanya mamuzi mabaya.