Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Kiukweli imenibidi nisome muendelezo wa Majibu yako nimegundua Changamoto Chache lakini kubwa zaidi ni Ile Kasumba ya kumuhukumu mtu na kujiweka katika nafasi kwamba wewe unastahili Mwanamke asiye na Historia yoyote Nyuma.

Sasa tuweke mizani sawa Wewe umekuwa safi muda wote? Ninachomaanisha wewe ulichowahi kupitia ni ndoto nyevu tu za usiku Angalau utakua na mantiki.

Ila kama sivyo Narudia tena Utakua na shida kwenye namna Unafikiria.

Kaa chini tazama jamii ilivyo sasa hivi tena fanya hivyo kupitia MATENDO yako MWENYEWE kwanza kama mwanaume kisha utafakari namna unaiforce Nature Kukupa choice zako.

Nature always inakupa unachostahili kinyume na matamanio yako Kijana.
 
Hapana aisee/mimi yalinikuta hayo 2013 nilibahatika kwenda Holland nikaa huko miezi 6 hivi ,niliporudi nikapata nyepesi kwa rafiki yake wa karibu kuwa alipiga chini mimba ya miezi miwili na ushee na ilimwendesha sana.Sikufanya ajizi nikampiga chini
Huyo mnamhukumu kwa kuwa amekuwa mkweli na muwazi. Unajuaje huyo mpya akayekuja kumuoa yeye ametoa mimba ngapi? Ukitafuta mwanamke malaika wa kuoa, dunia hii hutaoa kabisa. Alikosea kama wengine na bado anaweza kuwa mke mzuri tu!
 
Watoa mimba wanapopongezena daadek
Sijajua uwezo wako wa Kutafakari lakini Naona TATIZO.
Kama wewe ni mwanaume umefanya UZINZI/UASHERATI/NGONO ZEMBE Mara ngapi....Nyakati zote hizo ulimwaga upepo? kama sivyo Asili ya tukio lile ni kutoa matokeo Gani?

Anyway Je ni kwasababu uliolala nao waliweza..
*Kuhesabu siku vyema
*Kutumia njia za uzazi
Na janja janja nyinginezo...

Kwako mtu kumeza P2 na vidonge vya majira Sio dhambi? Ajabu hii...

Mwisho nafahamu fika sio wote uliishia kuwaoa (Kushiriki hata kabla ya kuoa ni kosa lingine unalojifanya hulioni) Ajabu huoni kosa pia

Ni mara ngapi Ulin'gaka / Kushtuka / Kugombana Na hata Kukata mawasiliano na binti aliyekuambia haoni siku zake ( pengine alikutishia tu)

Kama umeoa nikupe pongezi kwa kujipatia malaika pia alianza kuonekana kwa mara yakwanza na wewe na ambaye historia yake ilianza pale tu ulipomuona Wewe.
 
Daima mkuki huwa mtamu kwa nguruwe lakini kwa binadamu huwa mchungu sana. Ungehesabu ulizini na wasichana mara ngapi kabla ya kuoa na kisha ukaimagine kila ulipozini ulisababisha mimba na zilitolewa, basi ungekuwa mnyenyekevu kwa kutambua ni kwa kiasi gani umekuwa mharibifu na mdhambi pengine kuliko hata huyo mdada aliyetoa mimba 2! Pathetic men. Ubinafsi ndio dhambi yenu kuu!!
 
Huyo mnamhukumu kwa kuwa amekuwa mkweli na muwazi. Unajuaje huyo mpya akayekuja kumuoa yeye ametoa mimba ngapi? Ukitafuta mwanamke malaika wa kuoa, dunia hii hutaoa kabisa. Alikosea kama wengine na bado anaweza kuwa mke mzuri tu!
Ushawahi kutoa mimba, ??
Mbona unatetea kitu kama hiko, ambacho hata kwenye dini zetu ni dhambi?
 
Kiukweli kama Maji tu ambayo ni salama kwa Afya ukizidisha utaugua Je Kemikali yenye lengo la kuvuruga utaratibu mzuri wa Mwili...Zina Madhara

Dhambi Husamehewa pia makosa vilevile Lakini matokeo ya hayo yote hayatafutika.

Ni hayo tu Mkuu[emoji123]
Maji ukizidisha unaugua, shule ya wapi hiyo mkuu???
 
Helloooo wadau, mimi ni kijana ninayepambania maisha yangu kwa sasa, ya kimaendeleo. NILIKUWA na MPENZI wangu ambaye nilipanga nimuoe mwezi wa 2 mwakani, nimegundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, tena mimba mbili.

Kwa alivyo mpole sikumdhania kabisa, amemaliza chuo mwaka huu na AME graduate, NIMEAMUA RASMI KUMUACHA NA KUSITISHA NDOA, AMEPIGA SIMU ZAIDI YA MARA 70 NIME MUTE.

Ahsante m ungu kwa kuniepusha na huyu gold digger!View attachment 2050980
Umejuaje
 
Helloooo wadau, mimi ni kijana ninayepambania maisha yangu kwa sasa, ya kimaendeleo. NILIKUWA na MPENZI wangu ambaye nilipanga nimuoe mwezi wa 2 mwakani, nimegundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, tena mimba mbili.

Kwa alivyo mpole sikumdhania kabisa, amemaliza chuo mwaka huu na AME graduate, NIMEAMUA RASMI KUMUACHA NA KUSITISHA NDOA, AMEPIGA SIMU ZAIDI YA MARA 70 NIME MUTE.

Ahsante m ungu kwa kuniepusha na huyu gold digger!View attachment 2050980

Hapo kwenye u gold digger sijaelewa uhusiano wake na hii story.

Hebu ukiachana na kutoa mimba tuelezee pia u gold digger wake
 
Daima mkuki huwa mtamu kwa nguruwe lakini kwa binadamu huwa mchungu sana. Ungehesabu ulizini na wasichana mara ngapi kabla ya kuoa na kisha ukaimagine kila ulipozini ulisababisha mimba na zilitolewa, basi ungekuwa mnyenyekevu kwa kutambua ni kwa kiasi gani umekuwa mharibifu na mdhambi pengine kuliko hata huyo mdada aliyetoa mimba 2! Pathetic men. Ubinafsi ndio dhambi yenu kuu!!
Kwa hiyo wewe kutoa mimba sio ubinafsi? Si ungezaa sasa km ni mwema sana, Yaani ujichanue mwenyewe Afu ulaumu watu kwa ujinga wako!
 
Umefanya maamuzi mapema mno. Issue ya kutoa mimba kwa wanachuo sio jambo la kushangaza mpaka uamue kuvunja uchumba. Maisha ya chuoni kwa wanawake ni harsh sana. Kama hukuwa na ugomvi wowote mwingine naye bi afsi naona umefanya mamuzi mabaya.
Siyo rahisi kihivyo,kitendo cha kuchepuka tu na kujisababishia ujauzito kisha kwenda kuutoa hilo linamtoa ktk hali ya kawaida ya binadamu wa kike.

Mwanamke anayetoa mimba anakuwa amefika kiwango cha juu kabisa cha ukatili.
 
Kiukweli imenibidi nisome muendelezo wa Majibu yako nimegundua Changamoto Chache lakini kubwa zaidi ni Ile Kasumba ya kumuhukumu mtu na kujiweka katika nafasi kwamba wewe unastahili Mwanamke asiye na Historia yoyote Nyuma.

Sasa tuweke mizani sawa Wewe umekuwa safi muda wote? Ninachomaanisha wewe ulichowahi kupitia ni ndoto nyevu tu za usiku Angalau utakua na mantiki.

Ila kama sivyo Narudia tena Utakua na shida kwenye namna Unafikiria.

Kaa chini tazama jamii ilivyo sasa hivi tena fanya hivyo kupitia MATENDO yako MWENYEWE kwanza kama mwanaume kisha utafakari namna unaiforce Nature Kukupa choice zako.

Nature always inakupa unachostahili kinyume na matamanio yako Kijana.

Nashindwa kuuelewa hasa uelewa wako ktk masuala mapana kama haya ya kutafuta wenza wa kuanzisha familia na kukulelea wanao kwamba ni wa kiwango gani?nachelea kusema wewe huna familia na hujui namna bora ya kuanzisha familia.

Mwanamke amekiri mwenyewe (hatujui alishurutishwa au hakushurutishwa better ungehoji kwanza hili) kwamba ame-cheat,yaani alikubali akavuliwa nguo na mtu mwengine hali ya kuwa anajua ana mchumba kisha akafanya ngono zembe,akajifuta shahawa zilizobaki zikawa kiumbe akaenda kukiuwa(hatujazungumza hatari ya maradhi mabaya hapo).akarudia mara ya pili tena mimba akaenda kuitoa (zingekuwa za huyu kusingekuwa na lawama kosa lingekuwa alitoa mimba so tungeshauri namna ya ku-solve tatizo) but mwanamke wake ni malaya na amekiri hilo mbele ya bwana'ake!

Ndiyo yapo makosa yanasemeheka so wewe unamshauri huyu bwana aowe mwanamke ambaye tayari match kipindi cha kwanza ameshaziuza mara mbili alizothibitisha mwenyewe acha zile anazojua mwenyewe?ktk maisha zipo situation ambazo huwezi achia nature iamue changamsha ubongo wako,kutafuta mke siyo sawa na kutaka kununua gari kwamba nilitaka Land Cruiser nimekosa ngoja ninunue Corolla kwa sababu zote zinatembea barabarani (kwamba wanawake wote awe ametoa mimba au hakutoa mimba amechepuka au hakuchepuka wote ni mke bora).

Likes na sifa za dada zako kwenye post zako mbili hapo juu zisikutoe kwenye rail ya uanaume,unakoelekea kama mwanaume unataka kumtisha mwanaume mwenzako apotee,ktk hili hoja zako ni nyepesi sana mwanaume anayefikiria sawasawa anaweza kukufikiria vibaya.
 
Maji ukizidisha unaugua, shule ya wapi hiyo mkuu???
Kwamba tatizo ni huelewi maana ya kuugua ama ni unataka nikuletee Bandiko la tafiti za kisayansi Kuthibitisha.... Anyway kwenye ulimwengu wa sasa Taarifa ni nyingi na upatikanaji wake ni rahisi sana Just Google it.

Screenshot_20211221-015430.jpg
 
Back
Top Bottom