mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 561
- Thread starter
- #101
HahahahUzee mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahUzee mkuu.
Huu uzi nyie ma last born hauwahusu kabisaMimba ikitungwa ndo kiumbe hai huzaliwa. Yai la kike na mbegu za kiume zikikutana ndo kiumbe hai kinazaliwa......
Hili swali lako halina tofauti na mtu aliyekuwa anaviringisha tairi la gari akaanguka akasema kapata ajali ya gari.
Wewe Ni mpumbavu Sana unatetea ujinga,we ni feminist,pyschologically we ni mwanamke jeuri.Daima mkuki huwa mtamu kwa nguruwe lakini kwa binadamu huwa mchungu sana. Ungehesabu ulizini na wasichana mara ngapi kabla ya kuoa na kisha ukaimagine kila ulipozini ulisababisha mimba na zilitolewa, basi ungekuwa mnyenyekevu kwa kutambua ni kwa kiasi gani umekuwa mharibifu na mdhambi pengine kuliko hata huyo mdada aliyetoa mimba 2! Pathetic men. Ubinafsi ndio dhambi yenu kuu!!
Unaonekana bado kijana mdogo. Sidhani hata kama umefikisha miaka 40.Huu uzi nyie ma last born hauwahusu kabisa
Unababaika na namba bado kinachotakiwa ni fikra pevu sio namba za mchongoUnaonekana bado kijana mdogo. Sidhani hata kama umefikisha miaka 40.
[emoji28][emoji28]aiseee we kijana Yani mtu ashatoa MIMBA then nn unataka kunegotiate nayee, Tena katoa MIMBA akiwa naye kwa mahusiano.Umefanya maamuzi mapema mno. Issue ya kutoa mimba kwa wanachuo sio jambo la kushangaza mpaka uamue kuvunja uchumba. Maisha ya chuoni kwa wanawake ni harsh sana. Kama hukuwa na ugomvi wowote mwingine naye bi afsi naona umefanya mamuzi mabaya.
Mtaacha sana wanawake, ila Hilo ni jambo la kawaida hata aliyekuleta ukute alishatoa nyingi tu wewe hujui, hafu hata masturbation ni dhambi ya uuaji, soma biblia uone, hata hao wake zenu wa ndoa ndio vinara kwa kuchoropoa mkigombana mara kwa mara, acheni kujiona malaika nyieAcha kutetea upuuzi, na kashamuacha sasa unaamuaje? Ukichukia kufa!
Wengine hutoa hata hawasemi na hutakaa ujue, so hata ndoani atatoa tu hata single mother wanaoamua kuzaa before hutoa nyingi tu mzee. So hili swala haliongelewi ila 99% washafanya kimya kimya na wewe unajifariji tu moyoniSasa mimi siwataki hao 'wengi', nataka wachache wasiotoa mimba, na nitawapata kwa gharama yoyote.
Mistake ni kwako na si kwangu. Kifupi ndio nishamuacha sasa, unaamuaje? Ikikuuma na ufe!
Fikra pevu za kufananisha punyeto na utoaji mimba sio?Unababaika na namba bado kinachotakiwa ni fikra pevu sio namba za mchongo
Upo sahihi mkuu.Kwa miaka hii na maisha haya.Ni heri uoe SINGLE MOTHER kuliko kuoa SINGLE GIRL.
ASILIMIA 95% YA SINGLE GIRL NI MAMA WA MAREHEMU.kama hakuwa na huruma na kiumbe chake mwenyewe.Je wewe Mtoto wa mama mkwe atakuhurumia?
JIFIKILIE NA UJITAFAKARI.
Mdogo wangu acha kusikiliza ushauri soft huu,huyo kamalicheat usimfukuze tu mshushie na kipigo kikaliHuyo mnamhukumu kwa kuwa amekuwa mkweli na muwazi. Unajuaje huyo mpya akayekuja kumuoa yeye ametoa mimba ngapi? Ukitafuta mwanamke malaika wa kuoa, dunia hii hutaoa kabisa. Alikosea kama wengine na bado anaweza kuwa mke mzuri tu!
P2 zinafanya kazi kwa kukwangua mji wa mimba ili lile yai lililorutubishwa lisipate pa kujishika. Na hivyo mimb inashindwa kuishi.Mkuu hivi hizi p2 hazina madhara kweri kwa wadada huko mbeleni?
Hivi unaelewa Chochote Kuhusu Mind Development...Sasa mind yake si ndo hiyo ya kutoa mimba? Mbona unashauri ujinga?
Sikia longiiii mwambie jamaa akupe namba ufunge nae ndoa huyo mtoa mimba ili mkafanye hizo mind development.Hivi unaelewa Chochote Kuhusu Mind Development...
Labda Nikuulize Swali....Mimba ni matokeo ya Nini?Kutoa mimba ni kujiwekea laana. Tena ametoa mara mbili.. Hiyo laana itamtafuna kizazi hadi kizazi.
Raha ale yeye huko, makombo ampelekee mwana.
Mbona povuSasa mimi siwataki hao 'wengi', nataka wachache wasiotoa mimba, na nitawapata kwa gharama yoyote.
Mistake ni kwako na si kwangu. Kifupi ndio nishamuacha sasa, unaamuaje? Ikikuuma na ufe!