Nimejifunza jambo, Kwamba Wakati Mwingine inabidi utumie lugha ambayo unayezungumza naye atakuelewa Kwa Urahisi. Nafikiri unatatizo Kubwa sana kwenye KUFIKIRIA BILA MIHEMUKO NA LENGO LA KUHUKUMU. Jifunze kutazama mambo Kwa Uhalisia bila kuweka hisia na ubinafsi.Huku Ukiwa unajificha kwenye nadharia hasi ya "UANAUME" .
Moja wewe Una Ujinga wa KUHUKUMU. Mfano unaposema
( wewe huna familia na hujui namna bora ya kuanzisha familia ) tayari umeni hukumu
Hili tatizo nafikiri ni mpaka uende kwa Njia za Mafundisho ya Kiimani ndo utaweza Kuelemika na kuwa HURU.
Pili umeudhiirishia umma namna idea zako kuhusu Ndoa na Malezi zilivyo MBAYA hasa Karne hii ya 21 Kwa kufikiria Kwamba mwanamke unamwoa kwa ajili ya Kuzaa na kukulelea watoto kwa kauli hii ni kama hujui JUKUMU LAKO KWENYE MALEZI kwamba watoto hulelewa na wazazi na sio mzazi. Mfano unaposema
(na kukulelea wanao )
Tatu Hujui unasimama kwenye nini na haya ni madhara ya Kutanguliza hisia, sikuwa mjinga kukuambia ujitazame wewe kwanza kabla ya kujipa mamlaka na mihemuko ya Historia za wengine. Mfano hapa unaposema;
(zingekuwa za huyu kusingekuwa na lawama kosa lingekuwa alitoa mimba so tungeshauri namna ya ku-solve tatizo)
Huu ni Unafiki wa hali ya juu...Kumbe wewe Mimba yako kutolewa ni Swala linalosameheka UMEKUWA KITUKO! mkuu
Nne Wewe Sasa nimegundua Afya ya Akili yako haiko sawa Kwani umeshindwa kutambua mimi nimekuwa nikisimamia nini kutoka mwanzo mpaka sasa Nakukumbusha Tena Msimamo wangu ni Huu WEWE HUNA mamlaka ya KUHUKUMU vinginevyo na wewe matendo yako pia yaanikwe tukupatie nawewe Hukumu yako...Japo ni dhahiri kupitia maneno yako tu HALI YAKO NI MBAYA!
Mwisho Kabisa Sifaa kuu ya Kuwa mwanaume ni Kuweza kumfanya Mwanamke Na Mtoto katika Jamii nzima wawe salama. Bila kujali ni wa nani.
Na Hapa hujui lolote kabisa, Kulingana na haya maneno yako mwenyewe unaposema.................................................sifa za dada zako kwenye post zako mbili hapo juu zisikutoe kwenye rail ya uanaume,mwanaume anayefikiria sawasawa anaweza kukufikiria vibaya........ )
Jifunze KUONGOZANA na Mwanamke na Sio kuwaburuza kwa mawazo ya kishenzi na Kibaguzi huku ukijilinda na kutoruhusu kuonekana kuwa kama binadamu wa kawaida hujakamilika. Hakuna mwanamke Asiyekuwa Mke bora Shida ni kuwa Jamii imejawa na Wanaume ambao vichwa vyao ni vibovu, Wanao fikiria kutembea na Wanawake wengi sana ili mwisho wakaoe Bikra. Kiukweli HUFAI KUWA KIONGOZI! Hata wa maisha yako binafsi...