Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Sikia longiiii mwambie jamaa akupe namba ufunge nae ndoa huyo mtoa mimba ili mkafanye hizo mind development.
Mkuu napata tabu kuweka hoja zangu badala ya Kujenga zako Unatoa Ushauri ambao Kimsingi ni Mzuri...Jitahidi kujibu unachoulizwa badala ya kutengeneza ubishani wa Kihisia.
 
Mkuu napata tabu kuweka hoja zangu badala ya Kujenga zako Unatoa Ushauri ambao Kimsingi ni Mzuri...Jitahidi kujibu unachoulizwa badala ya kutengeneza ubishani wa Kihisia.
Mkuu. Ushauri unaoelekea kusapoti utoaji mimba kidogo kwangu ni ngumu kuuelewa hata uwe mzuri kiasi gani. Tukubali kutokukubaliana tu.
 
Mkuu. Ushauri unaoelekea kusapoti utoaji mimba kidogo kwangu ni ngumu kuuelewa hata uwe mzuri kiasi gani. Tukubali kutokukubaliana tu.
Sijajua kama ulinisoma tokea mwanzo mkuu ndio maana sijakujibu vibaya popote.
Mimi sikubaliani na utoaji wa mimba isipokuwa pale tu itakapolazimika kufanywa hivyo kwa sababu za Kiafya.
Ninachopinga ni Sisi wanaume Kusimama upande wa kutoa HUKUMU Bila kufikiria kwamba Utoaji wa Mimba ni Process ndefu ya uvunjwaji wa maadili inayoanzia kwenye kusex kabla ya ndoa Kutokuwa mwaminifu nk
Ambapo kote huko sisi wanaume tunahusika moja kwa moja wakati mwingine tunawapa mpaka fedha za kutekeleza Azma hiyo....
 
Ebwana eeh..past is past,??

No strong reason, asalaleee, unaendaga hata nyumba za Ibada lakn.

Hiyo dhambi itakua nawe mpaka mwisho wako hapa na huko tuendako, unasema kirahisi eti past is past.
Imani zote Mungu anayo sifa moja Kuu HUSAMEHE NA KUSAHAU.

Wewe unaenda nyumba za ibada kila siku hili hukwahi kulisikia? Walikuambia Dhambi ni nini ? Kuna kipimo kwamba hii ni kubwa/ndogo? Je Adhabu yake.
 
Sijajua kama ulinisoma tokea mwanzo mkuu ndio maana sijakujibu vibaya popote.
Mimi sikubaliani na utoaji wa mimba isipokuwa pale tu itakapolazimika kifanywa hivyo kwa sababu za Kiafya.
Ninachopinga ni Sisi wanaume Kusimama upande wa kutoa HUKUMU Bila kifikiria kwamba Utoaji wa Mimba ni Process ndefu ya uvunjwaji wa maadili inayoanzia kwenye kusex kabla ya ndoa Kutokuwa mwaminifu nk
Ambapo kote huko sisi wanaume tunahusika moja kwa moja wakati mwingine tunawapa mpaka fedha za kutekeleza Azma hiyo....
Upo sawa.
 
Baba wa marehemu naye mpuuzi tu kama alishirikishwa kwenye hilo tendo.
Nimekaa nikatazama jamii ( Kwa asili nina maswali sana ) Nimezungumza na wasichana Pschologically wakaniamini Wakafunguka Wengi nimeona madhaifu yao lakini Sisi wanaume Tunaharibu jamii sana.

Mara nyingi mabinti wanakuwa na uhusiano na wanaume wakubwa kiumri na wakomavu kiakili lakini pia wasio tayari kwa majukumu. Tunawanyanyasa Kingono Kihisia na Kiimani.

Naamini wewe ni mtu mzima Jaribu kumfikiria sana mwanao wa kike ( Inaumiza )
 
Nimekaa nikatazama jamii ( Kwa asili nina maswali sana ) Nimezungumza na wasichana Pschologically wakaniamini Wakafunguka Wengi nimeona madhaifu yao lakini Sisi wanaume Tunaharibu jamii sana.

Mara nyingi mabinti wanakuwa na uhusiano na wanaume wakubwa kiumri na wakomavu kiakili lakini pia wasio tayari kwa majukumu. Tunawanyanyasa Kingono Kihisia na Kiimani.

Naamini wewe ni mtu mzima Jaribu kumfikiria sana mwanao wa kike ( Inaumiza )
Ni ushetani wa wanaume ni kweli.
 
Nimejifunza jambo, Kwamba Wakati Mwingine inabidi utumie lugha ambayo unayezungumza naye atakuelewa Kwa Urahisi. Nafikiri unatatizo Kubwa sana kwenye KUFIKIRIA BILA MIHEMUKO NA LENGO LA KUHUKUMU. Jifunze kutazama mambo Kwa Uhalisia bila kuweka hisia na ubinafsi.Huku Ukiwa unajificha kwenye nadharia hasi ya "UANAUME" .
Moja wewe Una Ujinga wa KUHUKUMU. Mfano unaposema
( wewe huna familia na hujui namna bora ya kuanzisha familia ) tayari umeni hukumu
Hili tatizo nafikiri ni mpaka uende kwa Njia za Mafundisho ya Kiimani ndo utaweza Kuelemika na kuwa HURU.
Pili umeudhiirishia umma namna idea zako kuhusu Ndoa na Malezi zilivyo MBAYA hasa Karne hii ya 21 Kwa kufikiria Kwamba mwanamke unamwoa kwa ajili ya Kuzaa na kukulelea watoto kwa kauli hii ni kama hujui JUKUMU LAKO KWENYE MALEZI kwamba watoto hulelewa na wazazi na sio mzazi. Mfano unaposema
(na kukulelea wanao )
Tatu Hujui unasimama kwenye nini na haya ni madhara ya Kutanguliza hisia, sikuwa mjinga kukuambia ujitazame wewe kwanza kabla ya kujipa mamlaka na mihemuko ya Historia za wengine. Mfano hapa unaposema;

(zingekuwa za huyu kusingekuwa na lawama kosa lingekuwa alitoa mimba so tungeshauri namna ya ku-solve tatizo)
Huu ni Unafiki wa hali ya juu...Kumbe wewe Mimba yako kutolewa ni Swala linalosameheka UMEKUWA KITUKO! mkuu
Nne Wewe Sasa nimegundua Afya ya Akili yako haiko sawa Kwani umeshindwa kutambua mimi nimekuwa nikisimamia nini kutoka mwanzo mpaka sasa Nakukumbusha Tena Msimamo wangu ni Huu WEWE HUNA mamlaka ya KUHUKUMU vinginevyo na wewe matendo yako pia yaanikwe tukupatie nawewe Hukumu yako...Japo ni dhahiri kupitia maneno yako tu HALI YAKO NI MBAYA!
Mwisho Kabisa Sifaa kuu ya Kuwa mwanaume ni Kuweza kumfanya Mwanamke Na Mtoto katika Jamii nzima wawe salama. Bila kujali ni wa nani.
Na Hapa hujui lolote kabisa, Kulingana na haya maneno yako mwenyewe unaposema.................................................sifa za dada zako kwenye post zako mbili hapo juu zisikutoe kwenye rail ya uanaume,mwanaume anayefikiria sawasawa anaweza kukufikiria vibaya........ )
Jifunze KUONGOZANA na Mwanamke na Sio kuwaburuza kwa mawazo ya kishenzi na Kibaguzi huku ukijilinda na kutoruhusu kuonekana kuwa kama binadamu wa kawaida hujakamilika. Hakuna mwanamke Asiyekuwa Mke bora Shida ni kuwa Jamii imejawa na Wanaume ambao vichwa vyao ni vibovu, Wanao fikiria kutembea na Wanawake wengi sana ili mwisho wakaoe Bikra. Kiukweli HUFAI KUWA KIONGOZI! Hata wa maisha yako binafsi...
Ni sahihi ila quote yako INA hang! Ni sawa na gari lisilojulikana linakwenda wapi. Hujam quote yeyote. Ujumbe ni mzuri ila nikusaidie tu kukuambia kuwa uelekeze kwenye mahali sahihi.
 
Back
Top Bottom