Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

Nimegundua mpenzi wangu aliwahi kutoa mimba akiwa chuo

mikila miwili

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2021
Posts
563
Reaction score
561
Helloooo wadau, mimi ni kijana ninayepambania maisha yangu kwa sasa, ya kimaendeleo. NILIKUWA na MPENZI wangu ambaye nilipanga nimuoe mwezi wa 2 mwakani, nimegundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, tena mimba mbili.

Kwa alivyo mpole sikumdhania kabisa, amemaliza chuo mwaka huu na AME graduate, NIMEAMUA RASMI KUMUACHA NA KUSITISHA NDOA, AMEPIGA SIMU ZAIDI YA MARA 70 NIME MUTE.

Ahsante m ungu kwa kuniepusha na huyu gold digger!


FB_IMG_16399985306854125.jpg
 
Umefanya maamuzi mapema mno. Issue ya kutoa mimba kwa wanachuo sio jambo la kushangaza mpaka uamue kuvunja uchumba.

Maisha ya chuoni kwa wanawake ni harsh sana. Kama hukuwa na ugomvi wowote mwingine naye bi afsi naona umefanya mamuzi mabaya.
 
Umefanya maamuzi mapema mno. Issue ya kutoa mimba kwa wanachuo sio jambo la kushangaza mpaka uamue kuvunja uchumba. Maisha ya chuoni kwa wanawake ni harsh sana. Kama hukuwa na ugomvi wowote mwingine naye bi afsi naona umefanya mamuzi mabaya.
Huyo mwanamke ni muuaji na hana uoga tena kashakua jasiri wa kutoa mimba 2, jamaa hata akimuoa akawa mke ndani anaweza kuchepuka akapata mimba na bado akai abort tu...

Pia hapo mwanamke inamuweka kwenye hatari ya kua mgumba au kuharibu kizazi so jamaa anaweza akawa anataka kuoa mwanamke mgumba/tasa tayari pasipo kujua baadae waanze kutafuta mchawi nani mbona hawapati mtoto miaka inasonga ndoani..
 
Helloooo wadau, mimi ni kijana ninayepambania maisha yangu kwa sasa, ya kimaendeleo. NILIKUWA na MPENZI wangu ambaye nilipanga nimuoe mwezi wa 2 mwakani, nimegundua aliwahi kutoa mimba akiwa chuo, tena mimba mbili.

Kwa alivyo mpole sikumdhania kabisa, amemaliza chuo mwaka huu na AME graduate, NIMEAMUA RASMI KUMUACHA NA KUSITISHA NDOA, AMEPIGA SIMU ZAIDI YA MARA 70 NIME MUTE.

Ahsante m ungu kwa kuniepusha na huyu gold digger!View attachment 2050980
Akili fupi sana
 
Huyo mwanamke ni muuaji na hana uoga tena kashakua jasiri wa kutoa mimba 2, jamaa hata akimuoa akawa mke ndani anaweza kuchepuka akapata mimba na bado akai abort tu...

Pia hapo mwanamke inamuweka kwenye hatari ya kua mgumba au kuharibu kizazi so jamaa anaweza akawa anataka kuoa mwanamke mgumba/tasa tayari pasipo kujua baadae waanze kutafuta mchawi nani mbona hawapati mtoto miaka inasonga ndoani..
Huyo mnamhukumu kwa kuwa amekuwa mkweli na muwazi. Unajuaje huyo mpya akayekuja kumuoa yeye ametoa mimba ngapi? Ukitafuta mwanamke malaika wa kuoa, dunia hii hutaoa kabisa. Alikosea kama wengine na bado anaweza kuwa mke mzuri tu!
 
Najaribu Kufikiria Ni Mwanaume ndiye anayekataa Mimba......

Ni huyo huyo anakataa Kuoa Single Mama.....

Lakini pia ni huyo huyo Anataka Kuoa Mwanamke Bikra.

Ajabu zaidi ni Huyo huyo anaomba namba kila mwanamke atakayepita mbele yake.
 
Huyo mnamhukumu kwa kuwa amekuwa mkweli na muwazi. Unajuaje huyo mpya akayekuja kumuoa yeye ametoa mimba ngapi? Ukitafuta mwanamke malaika wa kuoa, dunia hii hutaoa kabisa. Alikosea kama wengine na bado anaweza kuwa mke mzuri tu!
Wengine hawatoi ila wanatumia p2 ama njia za uzazi Point ya msingi Ukitaka kuoa oa Mind ya mwanamke na sio Mwili wake.

Unayemwoa utakaa naye sana kuhukumu past yake ni aina fulani ya ujinga.

Kila mtu ana mistake zake tukisema kila upande wahukumiwe matendo ya wanaume ni machafu zaidi ( Mimi pia ni mwanaume)
 
Wengine hawatoi ila wanatumia p2 ama njia za uzazi Point ya msingi Ukitaka kuoa oa Mind ya mwanamke na sio Mwili wake.

Unayemwoa utakaa naye sana kuhukumu past yake ni aina fulani ya ujinga.

Kila mtu ana mistake zake tukisema kila upande wahukumiwe matendo ya wanaume ni machafu zaidi ( Mimi pia ni mwanaume)
Nimekupenda bure. Umepita katikati bila kupendelea upande wowote. Asante kaka!
 
Kwa hiyo gold digger ni binti alietoa mimba?

As long as umeshawahi ku sex na mwanamke peku, na hukumuoa... hata kama hukuthibitisha alipata mimba au la, hata wewe umehusika katika utoaji wa mimba kwa sababu sio mara zote wanawake wanasemaga wakipata ujauzito.

So before pointing fingers, take some water.
 
Tatizo wala sio Binti kuwahi kutoa mimba.

Tatizo la huyo Binti tayari alishakuwa mchumba wa mtu, na sasa anataka kuolewa na mtu mwingine. Kuna siku watakuja kupasha viporo na kukumbushia inshu zao za Chuo.

Poleni Vijana mnaotamani kuoa kwa sasa, mnakutana na changamoto sana toka kwenye hiki kizazi.

Na ndio maana Rais kaamua kuwawekea Wizara ya Jinsia.
 
Wengine hawatoi ila wanatumia p2 ama njia za uzazi Point ya msingi Ukitaka kuoa oa Mind ya mwanamke na sio Mwili wake.

Unayemwoa utakaa naye sana kuhukumu past yake ni aina fulani ya ujinga.

Kila mtu ana mistake zake tukisema kila upande wahukumiwe matendo ya wanaume ni machafu zaidi ( Mimi pia ni mwanaume)
Mkuu hivi hizi p2 hazina madhara kweri kwa wadada huko mbeleni?
 
Back
Top Bottom