Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Nina watoto wangu wawili mmoja ana umri miaka 17 mwengine miaka 15. Watoto hawa nimekua nikitumia nguvu nyingi sana kuzungumza nao, kuwa karibu nao na kuwaelekeza katika maadili sahihi na tabia njema za maisha bila mafanikio yeyote. Wananisikiliza kwa makini lakini baada ya hapo ni kama vile hatujaongea kitu.
Sasa bwana wiki iliyopita nikajaribu kubadilisha mbinu, nilitumia lugha kali ya kuwatikisa kidogo pamoja na bakora na matokeo chanya nimeanza kuyaona tena makubwa tu.
Hakika nawashauri wazazi wenzangu haya mambo ya kuzungumza na watoto ni mambo ya wazungu sio uku kwetu. Uku Tanzania, ni kuwagombeza na kuchapa tu ndo jambo lako litaweza heshimiwa!!!
Sasa bwana wiki iliyopita nikajaribu kubadilisha mbinu, nilitumia lugha kali ya kuwatikisa kidogo pamoja na bakora na matokeo chanya nimeanza kuyaona tena makubwa tu.
Hakika nawashauri wazazi wenzangu haya mambo ya kuzungumza na watoto ni mambo ya wazungu sio uku kwetu. Uku Tanzania, ni kuwagombeza na kuchapa tu ndo jambo lako litaweza heshimiwa!!!