Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Wenda walivunja chaga
 
Nimecheka sana; mwanaume yeyote mwenye afya, kuonja onja nje ni kawaida, ulichotakiwa kufanya ni kujifunza utundu zaidi katika tendo; usimchukie mume wako,we ongeza manjonjo tu, mwenyewe atabadilika.
 
Hapa ndo nilipoona na mie kidogo hili jambo sio halisia. Lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna nn lakini? Khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]mdada mtanga au mtu wa Kusini huyoo
=77694]JamiiForums mobile app[/URL]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…