Wenda walivunja chagaUlikuwa chini ya uvungu wa kitanda cha house girl ukiugulia maumivuu kwa uliyo kuwa ukiyasikia yakiendelea kati ya mumeo na house girl,Ghafla ukazimia na hukujua kilicho kuwa kikiendelea na kujikuta uko hospitali.
JE,
Walijuaje kuwa wewe uko chini ya uvungu na kugundua kuwa umezimia mpaka kukupeleka hospitali???
Mwanamke amepewa zawadi na Mungu inaitwa instinct.Kila mwanamke duniani aki hisi kuna kitu kinaendelea ujue ni kweliUsipende kuchunguza vitu ambavyo hauna uwezo wa kuhimili ukwel wake.
Get emergency divorce and leaveMambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Hapa ndo nilipoona na mie kidogo hili jambo sio halisia. LolUlikuwa chini ya uvungu wa kitanda cha house girl ukiugulia maumivuu kwa uliyo kuwa ukiyasikia yakiendelea kati ya mumeo na house girl,Ghafla ukazimia na hukujua kilicho kuwa kikiendelea na kujikuta uko hospitali.
JE,
Walijuaje kuwa wewe uko chini ya uvungu na kugundua kuwa umezimia mpaka kukupeleka hospitali???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani mtu yuko uvunguni afu anaona jinsi osigelo ananyonya mshedede. Hii chai hata Shigongo hawezi kuichapisha kwenye gazeti la Uwazi
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]daahhUshapata nafuu kwanza kabla hatujakupa ushauri wa drip nyingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lolHii chai imeandaliwa na mwanaume wa dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa wallah uwiiiiiihWakati unashuhudia game ya mumeo na dada wa kazi umegundua dada wa kazi kakuzidi kitu gani????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna nn lakini? KhaaaaahSema we nawe sijui unafeli wapi!!
Mahaba na mautamu wayafurahie wengine, kuzimia uje kuzimia wewe... wapi na wapi!!
Kilichokufanya uzimie wala sio "kushuhudia" live bali wivu wa kuona jamaa wana-enjoy kiwango cha SGR+... hapo ndo nongwa ikaanza!!
Sio vizuri hivyo...
Wee ni story tyuuh mlongo, huoni ni uongo huo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Is it true?au story za IDD Makengo?maana naona taabu kushauri vitu vya dhahania!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]mdada mtanga au mtu wa Kusini huyooSema we nawe sijui unafeli wapi!!
Mahaba na mautamu wayafurahie wengine, kuzimia uje kuzimia wewe... wapi na wapi!!
Kilichokufanya uzimie wala sio "kushuhudia" live bali wivu wa kuona jamaa wana-enjoy kiwango cha SGR+... hapo ndo nongwa ikaanza!!
Sio vizuri hivyo...
Uongo kabisa yaani eti kazimia mi nakataaa![emoji1][emoji1][emoji1]Wee ni story tyuuh mlongo, huoni ni uongo huo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]