Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Weka usuli
Analiwa
Anataka kukukula?
 
Tunakusifia mkuu, hizo ndizo sifa zako😅
 
Duu pole sana dada.
 
Kwa majibu Yao kwenye topic hii … inawezekana unalosema ni kweli… yote machoko tuuu… lol

Machoko waume zenu nyinyi sio wote, sio kila mwanaume anawaza upumbavu km mwanaume wako. Naamini wanaume rijali tupo wengi zaidi ya hao machoko so msilifanye hili likaonekana la kawaida machoni pa vijana wakadhani ni fasheni, HAPANA.
 
Sio wengi ni wote ni machoko so sad

Sema mwanaume wako sio wanaume wote. Choko ni huyo wako au hao wakwako, wanaume timamu na rijali tupo wengi tuu mambo ya kipumbavu ni hao wenu ndo wanafanya sio wote. Msifanye vijana waamini km ni jambo la kawaida kuwa shoga, SIO JAMBO LA KAWAIDA NI TATIZO LISILO LA KAWAIDA.
 
Kuingizwa vidole wakati ....
 
Dah ngoja niendelee na hili hili tundu la mbele kwakweli.
Kitu kipya nitakachojaribu ni bhangi tu nione wavutaji wanajiskiaje lakini huko uwani hapana kwakwelii
 
Yani mtu unifuate unambie nataka Tigo kwani nyumbani kwao si kuna wanawake si aende akamle mama ake, dada zake, shangazi zake na wadogo zake balaa lake likae ndani ya familia yake na sio kwa familia za wengine akija huyo matakrooo nitag

Mnaweza tukanana ivo kumbe wote ni wamotoni, nachoamini hakuna alie mwema umu duniani tusijifanye watakatifu binafsi hua sinyoshei kidore mtu na mapungufu yake maana kila mtu anadaftari lake, kama iko kitu sifanyi sitofanya na wala sitotukana wala kumyooshea kidore wala kucheka,

mkuu unamtukana uyo jamaa matus hayo sijui akamfanye mama ake sijui nan ake dah, unaweza kuta we unayemtukana hata hafanyi anasema tuu na mwisho wa hukum ukashangaa wazaz wako au ndugu zako kuna walio kua wanafanya ivo vitendo maana chumban hua wako wenywe, chamsingi tuheshimiane katika maamuzi na tushauriane vizuri hakuna mkamilifu.

Mtoa mada msamehe mumeo, mshauri na akikataa omba taraka ila jenga heshima watoto wasijue wala ndugu zenu ni mambo ya ndani ya ndoa yenu jifunze kumstiri mumeo hata mkiachana maana hata yeye akianza kusema yako uko mtaani ni mtaonekana nyinyi ndo wajinga.
 
kingine ni kuwa katika mwili mdomo una bakteria wengi hatarishi kuliko mku.nduni ila ajabu denda wanakula lakini kula mku.ndu ni noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…