Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Wanaume wengi ni mahafidhina,, na katika Hilo wanajua kushawishi balaa,, ukiwa mwepesi unaingia mtegoni,
Mara nyingi kama mwanamke humuheshimu ila kama unamuheshimu huewezi
 
Hakika umenena vyema,tatizo tutaambiwa hatutimizi wajibu wetu nyeti
Ufe ukitaka kumridhisha mtoto wa mwanamke mwenzio ambaye wewe ukifa anachukua mwinhine au uonekane mshamba ubaki hai?
 
Sidhani km iko hivi
Sio rahisi kwa mwanamke unayempenda, sio rahisi hata kidogo. Mara nyingi mtu akikuomba namna hiyo kuna kitu, either anakukomoa au hakupendi. Me wengi wanafirana huko nje, sio kwenye ndoa.
 
Huo ujinga niloufanyaga mkuu but sirudi tena Misri kaka.
Huko kuna uchafu mwingi.
Kuna qimbi la PID mkuu shtuka.
Haha, bila kutimiza huo wajibu sijamaliza kazi bado. Ukutane na dude la ukweli limeshiba na kunona...aaah subiri kwanza
 
Sio rahisi kwa mwanamke unayempenda, sio rahisi hata kidogo. Mara nyingi mtu akikuomba namna hiyo kuna kitu, either anakukomoa au hakupendi. Me wengi wanafirana huko nje, sio kwenye ndoa.
Usiwasemee,, moyo ni kichaka, Kuta na paa ndizo zinajua nini kinafanyika humo ndani,, hawafanyi ndani sababu wanaogopa kuwaanza wake zao,, watalipokeaje! Watakataa watatangazwa ama kuvunja amani ndani,, lakini si kwamba eti wanawapenda,
 
Haaaa mkuu!kufa utakufa tu hata kwa ajali usifanye hivyo sio sawa kabisa🥺🥺
Sio kufa bali kuna kitu kilinipa kinyaa.
We nitake nikufanyie karibu vyote bali unisamehe nisizame uvinza na topeni.

Kuna raha nyingi sanaa tu nje ya hivyo viwili.
 
Sio kufa bali kuna kitu kilinipa kinyaa.
We nitake nikufanyie karibu vyote bali unisamehe nisizame uvinza na topeni.

Kuna raha nyingi sanaa tu nje ya hivyo viwili.
Aisee,ulikula blood Nini?Ila kiukweli kabisa oral sex ni hatari kwa mustakabali wa Maisha yetu pande zote mbili
 
Back
Top Bottom