Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Muombee kwa mungu amuondoe kweny hyoo zambi, pia jaribu kumpa maandiko yanayoo kataza hyoo zambi, pia kuwa nae karibu usimtenge kabsa


ANGALIZO ;
ukifanya nae mapenzi asikuweke dog style kwasababu anaweza chagua tundu ambalo sio sahihi
 
Dah!pole sana....hilo ni pepo kulitoa hadi maombi....na km halitok ataendelea nalo had mwisho wake.....zaid ya apo ni kuachana tu km huwez vumilia.
 
Nikusahuri mwanaume anaeyefanya hivyo kuna mambo yafatayo uwa yamejiri kwake
Kwanza ni mtu anae amini uchi wa mke wake au awala Ake umetanuka sana Kwa msingi huo unakuta atafuta pa kumbana,mkiwa mnajamiiana akikisha umebana mapaja Ili umbane. Aise kitu Iko Tait.

Tatu ni Pepo limemuingilia Iko siku anakooingiza na yeye atatamani aingiziwe.
 
Sasa hapa unataka ushauri gani? Wakati umeshagundua mumeo ana tabia mbofu. Talaka tu ndio suluhu, acha kuzunguka mbuyu.
 
Habari, nimegundua kuwa mme wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, shauri wa kujenga tafadhali sio kejeli.

Asanteni.
Bado hujatia nyama za kutosha unataka ushaur gani
 
Back
Top Bottom