Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Kila mja hapa naona anakemea tendon LA huyo jamaa ,Ila ukweli ni kuwa mambo haya ya kula mpalange yamezagaa kitaa baada ya kingine ,wanasema wako discovery phase wanaofanya hivo ....wanaokwambia suluhu ni talaka wanakudanganya ,ukweli ni kuwa hata huyo atakayekuja ukimtaliki huyu atakuwa na mapungufu either muongo ,mwizi ,Malaya etc , so usimwache ukiwa na dhana ya the grass is greener on the other side ....Hilo jambo linakera na ni uchafu mtupu Ila siyo jambo yakufanya utoke tu kwa ndoa hivo tu , ukizingatia umeinvest so much of your time kwa hyo ndoa , ndoa nyingi huku nje zinapitia so many challenges tungeanza kutapika yote ungeshangaa ushtuke yako ni madogo tu .
Huyo bingwa umekaa naye for long unamjua ndani na nje hakuna kitu mmefichana hapo mlipo ,kwa hyo mbinu za kufanya au kumshurutisha aache wazijua mwenyewe ....suluhu unalo ww mwenyewe
 
Back
Top Bottom