Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Habari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
Sema umegundua mumeo ni choko na anabanduliwa..

Mbona wanalaumiwa wanaobanduluwa na sio wabanduaji?

Siwezi tia limwanaume afu mkdn ni uchafu.
 
Nachokushauri usiondoke na uache kumfatilia uyo mwanaume....kama mna watoto leeni watoto wenu na kila mtu awe na chumba chake ..

.bila kumuuliza wala kelele yeyote usishtaki kwa mtu yeyote(ukisema kwa ndugu watakucheka wewe) matatizo mengi yanaanzia kwakushirikisha ndugu..

Usikubali akuingilie tena (yaani tendo la ndoa) ili asije akakuletea magonjwa yake ...ili ulee watoto wako kwa amani zako (hapo raha jipe mwenyewe ....yaan kua bize kutafuta hela ili ulee watoto wako acha kuhangaika na mtoto wa mwanamke mwenzio utakufa kwa presha uache watoto wako (unless kama huna watoto) basi move on...

Nb:ntaendelea badae
 
Habari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
Unamaanisha Ana sirwa au
 
Habari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
Pole kwa kuingiliwa na hofu na wasiwasi.
Lakini ushauri uliotuomba tukupe ni mgumu kuandika chochote.
Kwanza umeshasema "umegundua" Hilo neno hujalitendea haki kuomba ushauri wetu. Na mie binafsi nakurudishia kukuuliza je? Uo mume wako ameshakuomba mara ngapi? Au umepewa hizo taarifa na waliotembea na mume wako?
Utupe urefu wa kisa cha mumew ili tuelewe zaidi
 
Habari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.

Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.

Asanteni.
Unao shemeji zako wa kiume wanaomzidi yeye umri? Kama wapo basi washirikishe. Kumbuka usiwaambie shoga zako, watoto, rafiki wa mumeo. Huyo ni mumeo. Lishughulikie hilo kifamilia zaidi. Umejaribu kumdadisi kwanini aliamua kujiingiza katika mambo hayo?
 
Nikusahuri mwanaume anae fira Kuna mambo yafatayo uwa yamejiri kwake
Kwanza ni mtu anae amini uchi wa mke wake au awala Ake umetanuka sana Kwa msingi huo unakuta atafuta pa kumbana,mkiwa mnajamiiana akikisha umebana mapaja Ili umbane. Aise kitu Iko Tait.

Tatu ni Pepo limemuingilia Iko siku anakooingiza na yeye atatamani aingiziwe,hapo atakutana na wastaafu kama sisi tunakulagaaaa imba hako kanyimbo dada
Unabanaje mapaja bana uke
 
Pole sana dadangu hili jambo ni gumu sana.Kama unavosema inatia sana kinyaaa pia.Hapo talaka ndo suluhisho kwa sababu kwa dini zote hili jambo halitakiwi na ni dhambi mbaya sana.
Mkuu, kila jambo ukiwazia talaka, kuna ndoa itadumu kweli?
 
Back
Top Bottom