mbeta1983
Member
- Sep 26, 2016
- 56
- 119
- Thread starter
- #141
Hujielewi na hujaelewa ninatotafuta hapa so better keep quiet [emoji2958] . Aliyekuambia nilifukunyua nani? Kama alinipa nimpigie mtu simu the sms ikapop na kuonyesha content utajuaje.[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Ndio haya mambo kila siku mnakatazwa kufukunyua simu za watu hamsikiii.....! Sasa unalalamika nini .....? Hichi ndicho ulicho kuwa unakitafuta haya sasa umekipata furahi sasa.
Walioelewa wanatoa ushauri.