dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahaha, noma sana, akitoka tu hapo lazima afe na starvationNjaaa kitu kibaya sana....wanawake wanavumilia ushetani kwa sababu ya matunzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha, noma sana, akitoka tu hapo lazima afe na starvationNjaaa kitu kibaya sana....wanawake wanavumilia ushetani kwa sababu ya matunzo
Kweli kabisa ni dhambi kubwa
Wee bwana mwanamke anajiamini wala hana shida ya kuja jf kuomba ushauri. Hili suala halihitaji ushaurihahaha, noma sana, akitoka tu hapo lazima afe na starvation
kabisa kabisa, pesa mwanaharamu qmmmmmqHili suala halihitaji ushauri
Sio kweli!Chunguza tena vizuri lazima utagundua na yeye anafanywa. Narudia chunguza kwa makini na kwa muda mrefu utagundua hili. Anayefanya nyuma pia hutokea baada ya muda na kuanza kufanywa.
Mbona ishu ya kawaida sana hio ndogo inauliziwa siku hizi, kama hutaki umajisepea, na kama wewe huna tabia za kuchepuka achana na ndoa hio mapema sana. Pia Kwa mwanaume kuacha kule Ile ndogo no ishu rahisi sanaHabari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.
pole sina ushaur mimiHabari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.
Basi ameshazoea huyo. Wewe anakuheshimu au kukuogopa ndiyo maana hakuombi. Kama ameshajenga tabia kama hiyo kuiacha tena ni vigumu. Msg uliozonazo ni ushahidi tosha.Sio mara ya kwanza ndugu. Niliwahi kumkamata na sms za kumuomba mwanamke hiyo kitu nikashangaa na kumsema sana lakini ameendelea.inaniuma sanaa
Ngoja niwape siri moja. Dar huu mchezo upo sana sana. Waunaume wengi wenye wake hawawaombi wake zao kufanya huu uchafu. Wanawake wengi wanaofanywa hivi ni vimada, wake za watu wengine au machangudoa, au mademu ambao jamaa hawana nia ya kweli ya kuoa. Inakuwa ni kama kuwakomoa hivi.Haka kamchezo naona kameshamiri sana. Shukuru Mungu kwamba yeye haliwi, maana watu wanasema siku hizi wanaume nao wamekuwa shida sana.
Ongea nae myamalize, bahati mbaya baadhi yenu mnapenda hiyo michezo, lakini pia baadhi ya wanaume wanahusudu sana.
Yaani mtu na akili zake timamu anaenjoy starehe zake nihangaike kumuombea na kudhinda njaa kisa aiseeh aendelee tuMuombee kwa mungu amuondoe kweny hyoo zambi, pia jaribu kumpa maandiko yanayoo kataza hyoo zambi, pia kuwa nae karibu usimtenge kabsa
ANGALIZO ;
ukifanya nae mapenzi asikuweke dog style kwasababu anaweza chagua tundu ambalo sio sahihi
Nakuhakikishia wanaume wanaofanya wake zao wa ndoa namna hii ni wachache sana. Mchezo ni vs numba ndogo, vs machangudoa, vs wake za watu, vs mademu wanaojiachia kirahisi, na wanaume wengi wanafanya hivi ili kuwakomoa.Haka kamchezo naona kameshamiri sana. Shukuru Mungu kwamba yeye haliwi, maana watu wanasema siku hizi wanaume nao wamekuwa shida sana.
Ongea nae myamalize, bahati mbaya baadhi yenu mnapenda hiyo michezo, lakini pia baadhi ya wanaume wanahusudu sana.
Mtoa mada mumeo anafanywa au anafanya?!Habari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.