Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Haya maswala yanazungumzika mama nanii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh,Watakatifu wa jf habari zenu
SAHII kabisa,Kila mja hapa naona anakemea tendon LA huyo jamaa ,Ila ukweli ni kuwa mambo haya ya kula mpalange yamezagaa kitaa baada ya kingine ,wanasema wako discovery phase wanaofanya hivo ....wanaokwambia suluhu ni talaka wanakudanganya ,ukweli ni kuwa hata huyo atakayekuja ukimtaliki huyu atakuwa na mapungufu either muongo ,mwizi ,Malaya etc , so usimwache ukiwa na dhana ya the grass is greener on the other side ....Hilo jambo linakera na ni uchafu mtupu Ila siyo jambo yakufanya utoke tu kwa ndoa hivo tu , ukizingatia umeinvest so much of your time kwa hyo ndoa , ndoa nyingi huku nje zinapitia so many challenges tungeanza kutapika yote ungeshangaa ushtuke yako ni madogo tu .
Huyo bingwa umekaa naye for long unamjua ndani na nje hakuna kitu mmefichana hapo mlipo ,kwa hyo mbinu za kufanya au kumshurutisha aache wazijua mwenyewe ....suluhu unalo ww mwenyewe
Jamaa ni mstaarabu sana kwa mkeweHajafumuliwa yy anafumua wanawake wengine
Yaani nimechekaaa😅😅Umeona eeh,
Kuna watu wamegeuka makatekista Huu uzi[emoji4]
Ndio ni ushoga na kuna lishoga humu linasifiaComment zangu zinakuudhi
Kinyume na maumbie ni ushoga ndio
Sasa wanishangaa ninNdio ni ushoga na kuna lishoga humu linasifia
Bado huzijui stress mdogo wanguNgoja nicheke maana kama ni stress zimeshafika mwisho [emoji2][emoji2][emoji2]
Mike nakwambia sio kirahis ataanza kuliwa na yeye soonAngalau hii kuliko ile nyngine.
wote pamoja na baba yako na kaka zako au siyo? Yan huko kwenu kwny familia yenu vidume wanafukuliwa mavii bs unadhan ni wanaume wote. Nungaiyembe wewe.Sio wengi ni wote ni machoko so sad
kamfanya yeye kwani? fumanizi ka kwenye simu halitoshihii jamii tunaharibu wenyewe una vumiliaje upuuzi pro max. mtafute mshenga umueleze
kwanini unasema hivyo?,wadau wa iyo mechezo wapo humu wanatoa ushuhuda ukiingia kwenye iyo michezo kuacha ni issue!Hapo hakuna msingi wa talaka
Nani sasa? Meme au Mke? Mhh ila haya mambo ya mtandao penda yana majaribu mengi sana.Mike nakwambia sio kirahis ataanza kuliwa na yeye soon
Na wewe mpatie muense sawaHabari, nimegundua kuwa mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile. Najiskia vibaya na siko tayari kushiriki naye tendo la ndoa kwa kuhofia magonjwa na najiskia kinyaa pia.
Naombeni mnishauri, ushauri wa kujenga tafadhali siyo kejeli.
Asanteni.
Mkuu umekuja kwamadiliko mengine nn kwa mam j wetu [emoji23][emoji23]Kama hajakuomba wewe Basi jua anakuheshimu na anakupenda hataki kukufumua marinda kwa maslah mapana ya familia yake.
Hao michepuko Hana maslahi nao,
Wanafyonza pesa zake, dawaYao Ni kuwafumua mpk marinda kufidia thaman halisi ya mizinga anayopigwa wajue ukitaka kula lazima uliwe.
Much respect kwa mumeo[emoji120]