Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Nimegundua mume wangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile na mwanamke mwingine

Unao shemeji zako wa kiume wanaomzidi yeye umri? Kama wapo basi washirikishe. Kumbuka usiwaambie shoga zako, watoto, rafiki wa mumeo. Huyo ni mumeo. Lishughulikie hilo kifamilia zaidi. Umejaribu kumdadisi kwanini aliamua kujiingiza katika mambo hayo?
Ndio nilimhoji ila hakuwa na majibu
 
Kuna demu alinfanyiaga makosa kidogo nimpasue tigo maana nilikua nishamuweka kati tayari.

Bahati nina chembe chembe za wokovu nikamuacha.

As a warning!
 
Nikusahuri mwanaume anae fira Kuna mambo yafatayo uwa yamejiri kwake
Kwanza ni mtu anae amini uchi wa mke wake au awala Ake umetanuka sana Kwa msingi huo unakuta atafuta pa kumbana,mkiwa mnajamiiana akikisha umebana mapaja Ili umbane. Aise kitu Iko Tait.

Tatu ni Pepo limemuingilia Iko siku anakooingiza na yeye atatamani aingiziwe,hapo atakutana na wastaafu kama sisi tunakulagaaaa imba hako kanyimbo dada
Umeongea na umeandika upumbafu gani wew, HV ungekuta bint ako kaj kueleza hili tatizo kwako ndio majibu utakayo mpatia ,acha ujinga uke utanuke ndio akafirane
 
Kama hajakuomba wewe Basi jua anakuheshimu na anakupenda hataki kukufumua marinda kwa maslah mapana ya familia yake.

Hao michepuko Hana maslahi nao,
Wanafyonza pesa zake, dawaYao Ni kuwafumua mpk marinda kufidia thaman halisi ya mizinga anayopigwa wajue ukitaka kula lazima uliwe.

Much respect kwa mumeo[emoji120]
 
Kila mja hapa naona anakemea tendon LA huyo jamaa ,Ila ukweli ni kuwa mambo haya ya kula mpalange yamezagaa kitaa baada ya kingine ,wanasema wako discovery phase wanaofanya hivo ....wanaokwambia suluhu ni talaka wanakudanganya ,ukweli ni kuwa hata huyo atakayekuja ukimtaliki huyu atakuwa na mapungufu either muongo ,mwizi ,Malaya etc , so usimwache ukiwa na dhana ya the grass is greener on the other side ....Hilo jambo linakera na ni uchafu mtupu Ila siyo jambo yakufanya utoke tu kwa ndoa hivo tu , ukizingatia umeinvest so much of your time kwa hyo ndoa , ndoa nyingi huku nje zinapitia so many challenges tungeanza kutapika yote ungeshangaa ushtuke yako ni madogo tu .
Huyo bingwa umekaa naye for long unamjua ndani na nje hakuna kitu mmefichana hapo mlipo ,kwa hyo mbinu za kufanya au kumshurutisha aache wazijua mwenyewe ....suluhu unalo ww mwenyewe
Kumkimbia siwe kumshauri ila Ni vyema akajitadhimi isje kuwa umepata au amepata bwana mwenye pesa zake Sasa akaona njia ya kumuacha huyu jamaaa Ni kumtengenezea kashfa hzo .je ukimuacha unaweza kusustain Hali ya kiuchumi ?je unampango wa kuolewa tena
 
Back
Top Bottom