- Thread starter
- #21
Amen …asanteMuombe YESU atakushindia, vita vyetu sio vya damu na nyama ni vya kiroho
Inauma sana najua ...
Nilishapitia haya....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen …asanteMuombe YESU atakushindia, vita vyetu sio vya damu na nyama ni vya kiroho
Inauma sana najua ...
Nilishapitia haya....
Usiamini ushirikina weweHapana ..mimi japo ni mswahili ila pia ni msomi na najielewa vizuri tu.. hili jambo ninefanya investigations za kutosha kabla ya kuliamini
Yani uchumi ndio kaufunga, nakumbuka Mimi nilikuwa nikipata kazi tu akijua kazi inaisha, alafu akawa anajifanya kunisaidia ila pesa zake ni za kichawi zinaisha haraka huwezi fanyia kitu...Najua atakuwa kafunga uchumi wako kwa kutumia nyota yako, sasa ukishamgundua mpuuzi wa namna hiyo wala usimwamshe, cha kufanya, jiaminishe kwake upate mtaji hata kwa kumuomba kidogokidogo, sasa ukishakamilisha unamwambia nimepata kazi kiwanda ama sehemu flani kama ni unaish Dar nenda Mwanza kaanze maisha yako, pitia mahala ukatibiwe.
KUKAA KARIBU NA ADUI YAKO NI KUMPA UHURU WA KUKUFANYA LOLOTE ATAKALO... ATAKUUMIZA
Natamani like zingekuwa mia ningekupa like zote, maana umeongea ukweliAfu siku hiz wanga wapo hivyo, wengine wamama kabisa wanaloga waume na watoto wao,
Yan kanitia nuksi sasa yeye hana maisha yoyote mimi ndio naisaidia familia nzima.. mpaka pesa ya kula mimi ndio nampa. Nimechoka kisa ni kirefu na kinasikitisha napitia magumu sanaNajua atakuwa kafunga uchumi wako kwa kutumia nyota yako, sasa ukishamgundua mpuuzi wa namna hiyo wala usimwamshe, cha kufanya, jiaminishe kwake upate mtaji hata kwa kumuomba kidogokidogo, sasa ukishakamilisha unamwambia nimepata kazi kiwanda ama sehemu flani kama ni unaish Dar nenda Mwanza kaanze maisha yako, pitia mahala ukatibiwe.
KUKAA KARIBU NA ADUI YAKO NI KUMPA UHURU WA KUKUFANYA LOLOTE ATAKALO... ATAKUUMIZA
Nimeenda na nilikaa muhimbili almost 3 months hakuna ugonjwa unaoeleweka na yeye ndio alikuwa ananihudumia hospitali
Umepima nini?Nimeenda na nilikaa muhimbili almost 3 months hakuna ugonjwa unaoeleweka na yeye ndio alikuwa ananihudumia hospitali
Huu ni ushauri bora kabisa,sina cha kuongeza wala kupunguza.Pole sana ndugu, nenda sehemu ya ibada ukaombewe...
Ni kisa kirefu siwezi kuelezea na imenichukua miaka mitatu mpaka kuja kugundua juzi ..Ilikuwaje hadi ukagundua hujasema...
AminaIbada,Mlilie sana Mungu wako
Yes maana imeandikwa "Adui Yako ni wa karibu yako" adui wa karibu yako anakua anakujua vizuri sana..sasa hapo ni kuhama kabisa..kuwa nae mbali ukifika huko fanya vyovyote utolewe huo uchawi alokutupia wa nuksi kwa imani yako e.t.c anza maisha mapyaNajua atakuwa kafunga uchumi wako kwa kutumia nyota yako, sasa ukishamgundua mpuuzi wa namna hiyo wala usimwamshe, cha kufanya, jiaminishe kwake upate mtaji hata kwa kumuomba kidogokidogo, sasa ukishakamilisha unamwambia nimepata kazi kiwanda ama sehemu flani kama ni unaish Dar nenda Mwanza kaanze maisha yako, pitia mahala ukatibiwe.
KUKAA KARIBU NA ADUI YAKO NI KUMPA UHURU WA KUKUFANYA LOLOTE ATAKALO... ATAKUUMIZA
Nashukuru sana kwa ushauriHuu ni ushauri bora kabisa,sina cha kuongeza wala kupunguza.
AminaOmba Kwa jina la Yesu utakuwa okay
Unaabudu wapi au unasali wapi?Muombe YESU atakushindia, vita vyetu sio vya damu na nyama ni vya kiroho
Inauma sana najua ...
Nilishapitia haya....
Mi nasali kwa Kuhani MusaUnaabudu wapi au unasali wapi?