Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

N
Nenda kwa Mwamposa
 
Thibitisha kuwa huyo ala kaumba
 
Bado unamshawishi mwenzio akatoe alichonacho ampe ambae anacho duhh!!!
 
Wewe mchane ukweli tuu,,"Mwambie nduguu!!kuliko haya mateso unayonipa kwa mauchawi yako ya kinyoko mbili si bora uniue tuu Mamameeehh"huku macho makavuuu!!!
Sure kama mbwai mbwai...kuna kipindi kuna bibi mtaani alikua anasifika kwa ulozi..sasa wtt walikua wakicheza anawaangalia kwa macho makali sana..nikasema huyu dawa yake na mm nikae pale pale nimwangalie direct bila kupepesa jicho...nilimwangalia mpk akageuza macho nikaongea kwa nguvu nikasema nasikia kuna wanga hapa waje vuzuri pande hizi...kumbe sina lolote nilitaka kumpa tuu jamba jamba..mbona sijawahi kuona lolote mpk nikahama hapo..muda mwingine truth heals...sema ukweli kila kitu kitabadilika..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…