Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

Habari zenu,

Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.

Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.

Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja.

Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yaani nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.

Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
Kuna njia mbili za wew kupata msaada wewe utachagua moja ... jitafakari rudi kafanye ibada mwombe MUNGU tafta sadaka maalum ya kujitakasa hakika MUNGU ni mwenye rehearsal nyingi atakufunika dhidi ya watu wabaya ...adui zako watakuwa adui wa MUNGU.... njia ya pili ni wew kwenda kwa mganga konki MshanaJR atakupa mwongozo ..... ila na sisitiza njia ya kwanza ndo best
 
Tusijifanye tuna huruma kumzidi Mungu.

Haikuagizwa mwizi kuuliwa, wala jambazi, wala mtenda dhambi yeyote isipokuwa Mchawi.

Mwenyezi Mungu mpaka kuweka bayana jambo hilo anajua wazi madhara yatokanayo na mchawi ni makubwa sana.

Imagine wengine wanavyowatesa wenzao kwa kuwafanya waugue magonjwa na maumivu makali,

Wengine wanawafunga uzazi wasizae.

Wengine kuua kabisa ,

Wengine kuharibu kazi ,

N.k.
Nakusomaa vizuri sana
 
Tusijifanye tuna huruma kumzidi Mungu.

Haikuagizwa mwizi kuuliwa, wala jambazi, wala mtenda dhambi yeyote isipokuwa Mchawi.

Mwenyezi Mungu mpaka kuweka bayana jambo hilo anajua wazi madhara yatokanayo na mchawi ni makubwa sana.

Imagine wengine wanavyowatesa wenzao kwa kuwafanya waugue magonjwa na maumivu makali,

Wengine wanawafunga uzazi wasizae.

Wengine kuua kabisa ,

Wengine kuharibu kazi ,

N.k.
Hapo kwenye kuharibuana KAZI, limeniguaa sana. Mimi ni mhanga wa hayo. Naandaa kombora zito sana sijakubali kabisa. Siku nitakayofyatua, hata Inzi hawakula mzoga huo.
 
Mimi sio mchawi wala mshirikina. Namuomba Allah aniweke mbali na mambo hayo kabisa.

Unasema humjui Allah ni nani na humfahamu! Allah ni Muumba wangu na wako na Muumba wa kila kitu, Mwenye Kuturuzuku. Mola wa Walimwengu wote. Yule aliye kipa kila kitu umbo lake, kisha akakiongoa. Hakuna Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa Yeye. Yeye ni Mmoja tu, hana mshirika. Na Yeye yuko mbali na wanayomshirikisha nayo washirikina. Sifa zote njema zinamstahiki Yeye, na Yeye ni Mwenye Majina mazuri mazuri.

Muabudu Yeye tu Peke yake na umuitikie Mtume wake, hiyo ndio asili yako na maumbile yako ya asili, ukifanya hivyo utaongoka.
Muumba wangu mimi haitwi Allah sawa huyo ni wako

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Imeandikwa: “ asiachwe mwanamke mchawi kuishi” maana yake auwawe., auliwe.

Mungu mpaka kuandika hivyo maana yake madhara yatokanayo na mchawi ni mabaya sana.

Mchawi hata akiwa mama yako mzazi au ndugu wa tumbo moja au mke haachi kukudhuru.
Kuna mmoja kasema eti mama yako atakuroga vipi wakati kakuzaa, kakutunza na kukusomesha juu, si angekuroga ukiwa mtoto au tumboni!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kule usukumani wanavyowakata mapanga ni sawa kabisa maana wanatimiza Maandiko.

Muhimu ni kujiridhisha pasipo shaka kuwa mtu fulani mchawi na sio kwa kumsingizia.

Na sio mchawi alokuroga tu bali hata ambaye hajakuroga ilimradi yuko kwenye mzunguko wa maisha yako kwamba kuna mahala mnamwiingiliano hiyo imeruhusiwa kumuua.
Duu!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Dawa ya mchawi ni ndogo sana, sio kuokoka wala kumuita yesu. Japo ni kweli kuokoka inasaidia kwa kiasi fulani.

Ukishaziinua nguvu zako za kiroho kwa KUJITAMBUA kuwa wewe ni ZAIDI YA MWILI, basi UMESHASHINDA VITA ZOTE.

Wachawi wanafanya kazi kupitia ujinga wetu, lakini nguvu zao ni ndogo sanaa ukiwavalia njuga.

Kuna mmoja alinijaribu alikiona cha mtema kuni, siku hizi ananiamkia shkamoo japo amenizidi umri.


USHAURI WANGU KWAKO:

1. Achana na mawazo yote HASI ya kushindwa, kuharibikiwa, sijui nuksi. KUWA CHANYA.

Unapokuwa CHANYA, yale manguvu ya kichawi yanaanza kudondoka moja baada ya nyingine. Na kama kuna MAJINNI ameyatuma yakuvuruge yataanza kukimbiaa maana hayataweza kustahimili MAWIMBI CHANYA ya ushindi, mafanikio, furaha na amani ya moyo.

Nimeyaita MAWIMBI kwa sababu kwa hakika ni MAWIMBI ambayo yanakuja kwako kutoka kwenye ULIMWENGU. Ni kama UMEME fulani ambao wewe hauuoni kwa macho lakini ni UMEME haswaa!

Unapokuwa CHANYA, unavuta MAWIMBI CHANYA, and vice versa is true.

MAJINNI na mauchawi yanapenda nguvu HASI za huzuni, kukata tamaa, unyonge na kushindwa. Unapokuwa katika hii halii, yanapata nguvu maradufu.

Unapokuwa mnyonge unavuta MAWIMBI HASI kutoka kwenye ulimwengu, na hapo ndipo MAJINNI yanazidi kukutafuna kwa sababu yanapenda sana yale MAWIMBI HASI ya unyonge nyonge. Ni kama CHAKULA CHAO.

Hii inaitwa SHERIA YA UMEME WA KIROHO.

2. Amka uache kujiweka kizembe zembe. Wewe ni MKUU kuliko WACHAWI.

Unajiona mdogo kwa sababu uko ndani ya MWILI, lakini laiti ungalijua wewe ni MUNGU tena MKUU, ungeanza sasa kuwasambaratisha hao vigagula kwa moto wa radi.

3. Unaweza kuumba chochote unachotaka. Jifunze KUTAMKA kwa sababu ulimwengu wa roho unaendeshwa KWA MANENO YAKO na HISIA ZAKO. Unalolitamka na unalolihisi ndilo linalotokea.

Hii inaitwa SHERIA YA UUMBAJI.

Kama MATAMSHI yako yanaweza kuunda jambo lolote kwenye ulimwengu wa roho, na kwa kuwa wewe unatumia NGUVU CHANYA ZA ULIMWENGU, basi nadhani umeshanielewa la KUFANYA.

KAZI KWAKO.
Komenti bora ya mwaka 2023. Pamoja sana mkuu.

Kwa mtoa mada: wagenga walisema meli huzamishwa na maji ya ndani na sio ya nje so nakielewa vizuri sana unacho kisema
 
Kuna mmoja kasema eti mama yako atakuroga vipi wakati kakuzaa, kakutunza na kukusomesha juu, si angekuroga ukiwa mtoto au tumboni!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hata wachawi wanazaa na wana watoto.

Kuna KANUNI ZA UCHAWI, hawaui hovyo hovyo.

Anakuzaa vizuri na anakulea ila ikifika WAKATI MUAFAKA utaita maji MMA.
 
Na Ndivyo wanavyo fanya, halafu anachukuliwa mwenye akili zaidi

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa.

Wana-target mtoto mwenye akili zaidi katika familia, yule shujaa, the LIGHT BEARER, huyo ndio wanampiga mavitu mazito ya KICHAWI.

Ni vita kali na ya ajabu, lakini UKIWAHI KUAMKA hawatakuweza MILELE.

Mama mchawiii ni balaaa. UTASHANGAZWA.
 
Sahihi kabisa.

Wana-target mtoto mwenye akili zaidi katika familia, yule shujaa, the LIGHT BEARER, huyo ndio wanampiga mavitu mazito ya KICHAWI.

Ni vita kali na ya ajabu, lakini UKIWAHI KUAMKA hawatakuweza MILELE.

Mama mchawiii ni balaaa. UTASHANGAZWA.
Sasa kama wazazi wako au mzazi utajinasua vipi! Sababu anakujua tangu tumboni, mtihani huo!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu,

Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.

Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.

Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja.

Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yaani nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.

Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
Tafuta kikosi kazi mkatie mirija! Bila ya hivo ndugu maana bila ya hivo utachezewa sana
 
Habari zenu,

Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.

Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.

Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja.

Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yaani nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.

Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
bro unataka kusema kwamba ndugu yako na wewe pia mlikua mnaenda kwa wataalamu wanawaambia ndugu yako ni mwanga??una uhakika upi????kama unahitaji msaada nicheki tushauriane maana niliwahi kukumbwa na ishu kama hii usije kuwanyooeshea watu vidole..
 
Habari zenu,

Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.

Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.

Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja.

Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yaani nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.

Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
Hebu weka ushahidi usiotia shaka kama nduguyo anakuroga,usije ukawa unamhisi vibaya tu
 
Sasa kama wazazi wako au mzazi utajinasua vipi! Sababu anakujua tangu tumboni, mtihani huo!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hii inahitaji ufundi wa kiroho na utulivu sana.

Yaani utulie kweli kweli na uwe mvumilivu ili upate ujuzi wa kujinasua, haitaki papara. Ukiwa mtulivu, msaada utakuja kimaajabu au kimaono. Something of DIVINE NATURE will come in between to intervene or infuse knowledge unto your spirit [FOR YOU TO TAKE APPROPRIATE ACTION] (A GUIDANCE).

Hapa unaweza kukuta kuna MAMIKATABA ya ajabu ya kiroho baina yako na mama yako bila wewe kujua, au mambo mengine ambayo ni MAPANA ZAIDI kiroho.

JAMBO ZURI NI KWAMBA, kila kitu kilishapimwa katika UZANI WA KIROHO kabla haujazaliwa. Kila kitu kiko katika UDHIBITI.

Kama ni JARIBU lililopangwa kimkakati, basi lina lengo la kukufunza kitu kikubwa zaidi. Lazima uwe mtulivu sana na ujifunze KUJITAMBUA.

TIBA PEKEE ni kuingia katika ufahamu wa ndani sana, ndani ya roho yako, na utulie sana.

HUDUMA YA KWANZA ni kukata MASHINA yote ya kichawi ambayo unahisi ni SPIRITUALLY UNPLANNED / AJALI YA KIROHO / UNWORTHY / MALEVOLENT. NA PIA KUKATA KILA SPIRITUAL CORD / KAMBA inayoleta MAWIMBI HASI YA UMEME kwenye mwili wako, regardless yanatoka wapi.

Utakuwa na kazi nzito kidogo lakini UTAWEZA. Maana hapa utakuwa unapambana na JESHI KUBWA SANA LA AJABU NA BAYA, lakini UZURI NI KWAMBA HILI JESHII NI DHAIFU SANA KWAKO KIMIZANIA.
 
Back
Top Bottom