Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

Najua atakuwa kafunga uchumi wako kwa kutumia nyota yako, sasa ukishamgundua mpuuzi wa namna hiyo wala usimwamshe, cha kufanya, jiaminishe kwake upate mtaji hata kwa kumuomba kidogokidogo, sasa ukishakamilisha unamwambia nimepata kazi kiwanda ama sehemu flani kama ni unaish Dar nenda Mwanza kaanze maisha yako, pitia mahala ukatibiwe.

KUKAA KARIBU NA ADUI YAKO NI KUMPA UHURU WA KUKUFANYA LOLOTE ATAKALO... ATAKUUMIZA
Huu ujumbe umekaa vizuri na akifika huko abadili mawasiliano yake asimzoee tena, hata Yesu alimkimbia Herode asimudhuru.
 
Msamehe huyo ndugu yako, anza kumwabudu MUNGU akulinde huku ukiwa unaomba sana.
Shughuli yote hiyo yann si amuue Tu? Sasa uanze kumwabudu kwanza Mungu alafu awe anaomba sio kuomba Tu nikuomba sana ,mpaka Mungu huyo aje amsikie ameshakufa tayari. Njia fupi na haraka nikummaliza Tu kabla hajamalizwa yeye.
 
Natamani kumwambia aisee ila naogopaaa kuna mtu kaniambia mchawi hakubali hata siku moja kuitwa mchawi yan vita yake sio ndogo…sasa najiangalia na hali yangu sasa sielewi
Ni vema ukampa makavu,hii itamfanya naye ajue kuwa unamfahamu,japo huwa hawakubali kuambia wachawi.
 
Habari zenu,

Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.

Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.

Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja.

Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yaani nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.

Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
Pwani Kuna wanga ndo mana wanaroga ndugu zao wanaowajua na kuwaomba msamaha, bara Kuna wachawi. Katibiwe tabora,kigoma au simiyu.
 
Najua atakuwa kafunga uchumi wako kwa kutumia nyota yako, sasa ukishamgundua mpuuzi wa namna hiyo wala usimwamshe, cha kufanya, jiaminishe kwake upate mtaji hata kwa kumuomba kidogokidogo, sasa ukishakamilisha unamwambia nimepata kazi kiwanda ama sehemu flani kama ni unaish Dar nenda Mwanza kaanze maisha yako, pitia mahala ukatibiwe.

KUKAA KARIBU NA ADUI YAKO NI KUMPA UHURU WA KUKUFANYA LOLOTE ATAKALO... ATAKUUMIZA
USHAURI mzuri mnoo. Kuhama nako ni tiba
 
Huwa sibishani na jamii kama yako maana huenda ni wale wale, hivi ukisikia mchawi unazani anaroga akina nani kwa mfano! Watu wanaokataa na wao huwa wanachama, halafu mie Allah simjui wala kumfahamu.
Mimi sio mchawi wala mshirikina. Namuomba Allah aniweke mbali na mambo hayo kabisa.

Unasema humjui Allah ni nani na humfahamu! Allah ni Muumba wangu na wako na Muumba wa kila kitu, Mwenye Kuturuzuku. Mola wa Walimwengu wote. Yule aliye kipa kila kitu umbo lake, kisha akakiongoa. Hakuna Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa Yeye. Yeye ni Mmoja tu, hana mshirika. Ametakasika na yale wanayomshirikisha nayo washirikina. Sifa zote njema zinamstahiki Yeye, na Yeye ni Mwenye Majina mazuri mazuri.

Muabudu Yeye tu Peke yake na umuitikie Mtume wake, hiyo ndio asili yako na maumbile yako ya asili, ukifanya hivyo utaongoka.
 
Habari zenu,

Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.

Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.

Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja.

Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yaani nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.

Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
opposite ya nguvu za giza ni Neno la Mungu. Pata msaada wa maombezi. Na uwe makini wapi ukaombewe maana siku hizi kuna baadhi ya watumishi ni washirikina
 
Tusijifanye tuna huruma kumzidi Mungu.

Haikuagizwa mwizi kuuliwa, wala jambazi, wala mtenda dhambi yeyote isipokuwa Mchawi.

Mwenyezi Mungu mpaka kuweka bayana jambo hilo anajua wazi madhara yatokanayo na mchawi ni makubwa sana.

Imagine wengine wanavyowatesa wenzao kwa kuwafanya waugue magonjwa na maumivu makali,

Wengine wanawafunga uzazi wasizae.

Wengine kuua kabisa ,

Wengine kuharibu kazi ,

N.k.
 
Kule usukumani wanavyowakata mapanga ni sawa kabisa maana wanatimiza Maandiko.

Muhimu ni kujiridhisha pasipo shaka kuwa mtu fulani mchawi na sio kwa kumsingizia.

Na sio mchawi alokuroga tu bali hata ambaye hajakuroga ilimradi yuko kwenye mzunguko wa maisha yako kwamba kuna mahala mnamwiingiliano hiyo imeruhusiwa kumuua.
 
ndio mtakalia hayo hayo wafrica hawana mambo mengine ni ngono ushikina music
 
Upo mkoa gani? kama upo dar es salaam kuwa makini na umuombe sana MUNGU
 
Back
Top Bottom