Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

Inabidi uache kwanza Imani potofu za kuenda Kwa waganga,tubu Kwa Mungu wa Imani Yako na uache mienendo yote ambayo haimpendezi Mungu. Kubali kuanza maisha mengine Bado unayo nafasi ya kufanya mambo makubwa.
 
Nashukuru sana kwa ushauri
Pamoja sana mkuu.Ukimtegemea Mungu hakuna kitachoharibika,utashangaa tu ndugu yako ameanza kukuchukia,hapo ujue ameshaonja joto la jiwe kutokana na kinga ambayo Mungu atakupa.
 
Dawa ya mchawi ni ndogo sana, sio kuokoka wala kumuita yesu. Japo ni kweli kuokoka inasaidia kwa kiasi fulani.

Ukishaziinua nguvu zako za kiroho kwa KUJITAMBUA kuwa wewe ni ZAIDI YA MWILI, basi UMESHASHINDA VITA ZOTE.

Wachawi wanafanya kazi kupitia ujinga wetu, lakini nguvu zao ni ndogo sanaa ukiwavalia njuga.

Kuna mmoja alinijaribu alikiona cha mtema kuni, siku hizi ananiamkia shkamoo japo amenizidi umri.


USHAURI WANGU KWAKO:

1. Achana na mawazo yote HASI ya kushindwa, kuharibikiwa, sijui nuksi. KUWA CHANYA.

Unapokuwa CHANYA, yale manguvu ya kichawi yanaanza kudondoka moja baada ya nyingine. Na kama kuna MAJINNI ameyatuma yakuvuruge yataanza kukimbiaa maana hayataweza kustahimili MAWIMBI CHANYA ya ushindi, mafanikio, furaha na amani ya moyo.

Nimeyaita MAWIMBI kwa sababu kwa hakika ni MAWIMBI ambayo yanakuja kwako kutoka kwenye ULIMWENGU. Ni kama UMEME fulani ambao wewe hauuoni kwa macho lakini ni UMEME haswaa!

Unapokuwa CHANYA, unavuta MAWIMBI CHANYA, and vice versa is true.

MAJINNI na mauchawi yanapenda nguvu HASI za huzuni, kukata tamaa, unyonge na kushindwa. Unapokuwa katika hii halii, yanapata nguvu maradufu.

Unapokuwa mnyonge unavuta MAWIMBI HASI kutoka kwenye ulimwengu, na hapo ndipo MAJINNI yanazidi kukutafuna kwa sababu yanapenda sana yale MAWIMBI HASI ya unyonge nyonge. Ni kama CHAKULA CHAO.

Hii inaitwa SHERIA YA UMEME WA KIROHO.

2. Amka uache kujiweka kizembe zembe. Wewe ni MKUU kuliko WACHAWI.

Unajiona mdogo kwa sababu uko ndani ya MWILI, lakini laiti ungalijua wewe ni MUNGU tena MKUU, ungeanza sasa kuwasambaratisha hao vigagula kwa moto wa radi.

3. Unaweza kuumba chochote unachotaka. Jifunze KUTAMKA kwa sababu ulimwengu wa roho unaendeshwa KWA MANENO YAKO na HISIA ZAKO. Unalolitamka na unalolihisi ndilo linalotokea.

Hii inaitwa SHERIA YA UUMBAJI.

Kama MATAMSHI yako yanaweza kuunda jambo lolote kwenye ulimwengu wa roho, na kwa kuwa wewe unatumia NGUVU CHANYA ZA ULIMWENGU, basi nadhani umeshanielewa la KUFANYA.

KAZI KWAKO.
 
Habari zenu.
Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.
Naomba niende straight to the point…ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.
Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja. Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yan nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.
Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
Nakushauri kwanza uhame hapo tunaishi nae, pili tafuta kanisa lenyewe nguvu Y Mungu has wa ufanyiewe maombi, na uwe serious maana ukizembea watakukula nyama!
 
Habari zenu.
Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.
Naomba niende straight to the point…ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.
Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja. Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yan nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.
Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
yaan mm sjaelew ww uligunduaje km ni mchaw ufafanuz pls il niweze kutoa ushaul utakaokusaidia
 
Sasa si uende kwa wataalamu au Masheikh wengine bila kufuatana naye
Huko kwa mashekhe ndipo wachawi walipo.

They are masquerading as sheikhs and pastors to even further bind you spiritually. Wengine wanajiita sijui waganga kumbe WACHAWI fulu.

Sasa hiyo yote ni mitego, lazima uwe na akili kama nyoka.

Njia salama ni KUJIAMINI na KUJIOKOA mwenyewe.
 
Habari zenu,

Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani.

Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan mchawi au mwanga. Mimi nilikuwa naandamwa na mitihani mingi ya kiswahili magonjwa ya ajabu, vifungo yan kila aina ya nuksi imeniandama. Sasa huyu ndugu yangu alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa waganga kutafuta suluhu. Na huko tulikuwa tunaambia watu fulani wananifanyia hivi. Sasa kumbe huyu mtu na yeye ni mshirika mkuuu na ila alikuwa ananizunguka kwa hao waganga.

Kisa ni kirefu sana na kuhusu kujihakikishia hili jambo nimejihakikisha kabisa mpaka nimefika kuandika hapa., ila sasa baada ya kugundua nimepata uoga sana maana ni ndugu wa damu na tunaishi nyumba moja.

Nahofia maisha yangu sina amani, na hapa nilipo nimepigwa kombora mwili wote unauma yaani nimekuwa kama mzee hata kutembea kwa dakika 10 siwezi.

Naomba mnisaidie ushauri japo kwa ufupi.

Wale wa matusi na kejeli naomba mnihurumie mpite kimya kimya
Hama hapo nenda ukapange mbali sana
 
Huko kwa mashekhe ndipo wachawi walipo.

They are masquerading as sheikhs and pastors to even further bind you spiritually. Wengine wanajiita sijui waganga kumbe WACHAWI fulu.

Sasa hiyo yote ni mitego, lazima uwe na akili kama nyoka.

Njia salama ni KUJIAMINI na KUJIOKOA mwenyewe.
Ha ha ha ha [emoji16][emoji16][emoji16] akienda huko ndiko atawakuta wale wale, maana kule ni kama samakk na maji
 
Back
Top Bottom