February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
- Thread starter
- #21
Wewe unafanya meditation?Kama umeweza kufanya hii bila kufanya meditation fanya mpango ujifunze afu uje urudi usome huu Uzi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unafanya meditation?Kama umeweza kufanya hii bila kufanya meditation fanya mpango ujifunze afu uje urudi usome huu Uzi tena
Kama hii?oooh !! kumbe.
Sema neno kwenye jambo hili...
Kuna hali huwa inawatokea walio wengi na wengi wakiisimulia...
Ukiwa umelala kuna muda unatokea kubanwa na kitu kinakua kama kimekukandamiza hasa eneo la kufua unakua hupumui vizuri,
unakua huwezi kupiga kelele wala kusogeza kiungo chochote kisha baada ya sekunde chache hiyo hali inakuachia ..
inasemekana hasa ukiwa umelala chali ukiwa kwenye utulivu hufikirii chochote katika conscious mind yako na kausingiz kanaanza kukupitia ndio wengi wanakutana na hali hiyo gafla.
Vip unaelewa ni kwanini, imewah kukukuta ?
Watu wanaamua waote kipi, Unalijua hili ?ndoto huja randomly na hazina formula
This is just the starting pointHakuna maajabu yoyote
unataka kusema hakuna jipya chini ya jua 😁Watu wanaamua waote kipi, Unalijua hili ?
"Prior to sleep" kile unachokiwaza dakika hizo ndio hicho utaondoka nacho.
Neville Goddard.
Kuna weza kusiwe na kipya ila katika namna ya utendaji ndugu yetu kagundua Theory ya kufikia alichotaka.unataka kusema hakuna jipya chini ya jua 😁
Shida ni kuwaWatu wanaamua waote kipi, Unalijua hili ?
"Prior to sleep" kile unachokiwaza dakika hizo ndio hicho utaondoka nacho.
Neville Goddard.
Shida hajatuambia kapata ndogo inasemaje 😔Kuna weza kusiwe na kipya ila katika namna ya utendaji ndugu yetu kagundua Theory ya kufikia alichotaka.
Hakuna uwezekano wowote wa Mimi kufaidika kwa hili, Hivyo akijitokeza mzungu akaikuza idea Godspeed kwake hata akiichukua sawa tu.Safi sana Kiongozi Publish hii na Ikiwezekan kam una kipato kizuri Uinunulie na Hati miliki kabisa Asije akatokea Mzungu mmoja huko Akasem Ni utafiti wake na Akalipwa mabilion kibao.
Mkuu ni very personal...labda nikuambie PM.Shida hajatuambia kapata ndogo inasemaje 😔
Sawa hakuna shidaMkuu ni very personal...labda nikuambie PM.
Lakini ni vitu ambavyo vimenisaidoa sana.
Mzee kuhusu kuwaza inategemea Attic yako umeijaza vitu gani Mana hivyo ndio Vita filter kila kiingiacho kwa kuzingatia pattern zake.Shida ni kuwa
1.watu hatuchagui tuwaze nini.
2. Ndoto Zina random plots isiyo na direction.
3. Hivyo looping recording inasaidia kuidirect ndoto kustick kwenye mada moja.
Hata kwenye ending point swala ni hakuna loloteThis is just the starting point
OkayHata kwenye ending point swala ni hakuna lolote