Nimegundua njia ya kuifikia subconscious mind kupitia ndoto

Nimegundua njia ya kuifikia subconscious mind kupitia ndoto

Subconscious
Superconscious...
Hizo level mbili ni za kibabe.

Umejaribu na kueleza jinsi ya ku direct ndoto ambazo zenye asili ya ku play back mambo yenye mjumuisho wa siku nzima. Ambazo based on inputs za siku husika au zile zilipita.

Kuna sombdy humu aliwahi pia kuongelea jinsi ya kuziongoza ndoto zako. Ila hizi ndoto zipo za aina nyingi kulingana na Source.

1. Work of mind. Ambapo kila information unayo iona na kuisikia ,hata kama ilikuwa miaka saba iliyopita. Our brain inaweza ikahifadhi kitu hata utachi kion kwa mara moja tu kikakaaaa. Sema jinsi ya kuki retrieve ndio maarifa ya conscious yamekwama. Wapo wanao weza na ndio tunaona wana kumbukumbu au geniuses. Ila wapo wanaoamin wana shida ya memory basi wanausemesha ubongo kuwa hii taarifa ipuuze weka ktk recycle bin. Sasa ndoto za Work of the mind unaweza kuziongoza kila hisi kabisa kwa method ya kucheza na input.

2. Ndoto za asili ya kiroho kabisaaa. Purely spiritual. Tukumbuke sisi ni roho tulio vaa miili. Na kuna roho zingine like Angels walio umbwa na kuwa assigned kabisa kufanya task zetu,kutusaidia na kutu tumikia. Usipo wapa task ya kufanya wanaboreka.

So unapo ingia ktk deep thinking, kitacho gusa hisia zako za ndani kabisa, moyoni mwako, hapo unaingia ktk masafa ya kiroho. Deep thinking wengine wanaipata kwa Chanting ( Maneno ya kurudia rudia). Wengine maneno ya kuambiwa, kama Hivyo recording zako unazo zitumia, ni kama chanting. Ambapo una activate masafa ya Rohoni na unaingia ktk actions.

Mimi nikitafakari jambo sana, nikionyesha concern basi nnapata majibu haraka sana tena kama ktk ndoto au thoughts za muda huo huo. Na kuna muda unaweza pata matokeo,ambayo unashindwa kujua hizi mbinu nimejifunza wapi. Hata Déjà Vu zinatokea humo.

Tunapolala roho zetu zina jimwaya ktk natural state yake ya haina mpaka wa muda, mazingira nk. Ukiruhusu itaweza kukuonyesha mengi inayo observe, kuanzia yaliyo tokea zamani, wanayo fanya watu muda huoo au hata kuweka ushirika na roho zingine ( Viumbe vingine vya rohon na kuja kulink na Conscious yako).

Ukifanya kila siku utakuwa unaishi ktk conscious sana, na mengine latest ya rohon ambayo roho yako inataka ku fetch utakuwa unayakosa. Mbali na recordings pia unaweza kufanya yafuatayo

1. Jiulize maswali wewe, binafsi kuhusu mambo yako, wewe ni nani, nini nataka, jambo gani ni muhim sana kwangu ktk majira haya, watu gani niwatoe etc Onyesha concern ktk hayo maswli connect vyema utapata majibu.

2. Tumia peni na karatasi. Mimina nafsi yako, sema yale unawishi, tafakari kama karatasi, kama unaona mind yako inatawanyika ukiwa unafikiria hewani hewani.

3. Unaweza omba msaada kwa MUNGU,muombe akufunilie kitu fulani, ongea kama unavyoongea na rafiki Yako. Ukiamini kuwa yupo Pembe yako, yaaani vyovyote vile lakni ukiamini kuwa yuko anakusikia na ukiomba tegemea anafanya.

NOTE

*Usiwe mtu wa kuchezea Simu nusu saa kabla ya kulala.

* Asubuhi usikurupuke kutoka kitandani, tulia hapo until consciousness yako ichukue ya ndotoni, otherwise Fwaaaaa yameenda.

*Usikurupuke kuchezea simu wkt wa kuamka, amka. Nenda jiandae, vaa. On your way out ndio unaweza chezea simu ( sio ngumu ukitaka).

* Usiamshwa na alarm ya simu,anza ku practice kujiambia nataka kuamka saaa fulani utaamka.

[emoji120][emoji120][emoji120] Thank you so much Mkuu
 
Namna yangu ya kuandika ni kuwezesha UFAHAMU kupatikana ili kufanya maisha kuwa Rahisi.

Na hii ni kupanua uelewa wa kwamba Sisi WANADAMU NI KITU GANI HASA!

Utakuta kwa vile kuna Elimu nyingi ziko kwa Mafumbo basi mahangaiko ni makubwa sana!

Lakini kadiri siku zinavyoenda Elimu inatusogelea na tunapata UFAHAMU walau sahihi na kupelekea kutafsiri maisha ndani ya UELEWA MPANA.

Maandishi bado yatakuwa mafupi lakini yatagusa Topic ya Kujitambua moja kwa moja!

SCIENCE ITAHUSIKA.

Baada ya SCIENCE utakutana na kitu watu wanachokiita Imani au Dini lakini ukweli ni kwamba SCIENCE imetafsiri kila kitu vizuri na mwisho wake na kwa Sababu matokeo ya SCIENCE ni Magnificent na inapelekea SCIENCE kupata majawabu ya ninani Author wa maajabu yote haya basi ndipo tunaishia kuamini kwamba kuna MASTER!

DESIGNER

MUNGU!

Liko neno muhimu sana ningetamani tuanze nalo..

ENERGY.

DEFINE ENERGY....

ENERGY is anything which can not be created neither nor destroyed...na zikafuata theories nyingi hapo!

Kitendo ya kwamba hakuna mtu mwenye uwezo wa kuumba ENERGY NA WALA HUWEZI KUIANGAMIZA...tayari huu ni ufunguo...

Ebu twende tena mbele kidogo...

MATTER.

DEFINE MATTER.

MATTER is anything which ocupies space and has weight!

Sasa kuanzia hapo yafaa tujitafute kama ifuatavyo...

An individual is a MATTER at which is CREATED INSIDE A BINDING ENERGY WHICH IS SPIRIT.

Kwa hivo BINADAMU NI MATTER ILIYOKO KWENYE MAGNIFICENCE IITWAYO-Roho-SPIRIT.

MAGNIFICENCE called SPIRIT!

ROHO ILIKUWEPO,IPO NA ITAKUWEPO DAIMA!

Kumbe basi MWILI TULIOKO NAO NI MATTER au kwa lugha rahisi ni UDONGO AMBAPO WAKATI FULANI UDONGO HUU UTACHAKAA NA KUACHA ROHO KWENDA ZAKE!

So actually there is no point of Dying but rather WEAERING OF THE BODY INSIDE THE SPIRIT!

Mwili huchakaa na kuacha ROHO kuendelea kuishi under several other Evolution processes!

SASA
ENERGY as we started said it earlier-Iko kwenye products nyingi...

Kwetu sisi wanadamu nitaongelea Body ,Mind and SPIRIT...

Kilichoko kwenye Mwili ni ule muundo wa mwanzo wa Mwanadamu yaani Cells,Tissue,Organs,Systems na MTU KAMILI.

Nitachukua kiungo kimoja tu hapa ambacho ni UBONGO...ama Mfumo wa UFAHAMU ambao kazi yake kubwa kabisa ni kutafsiri mpango sahihi na mkamilifu wa ROHO YAKO KAMA ILIVYOKUWA SABABU YA MWANADAMU KUZALIWA...the PURPOSE OF LIFE OF AN INDIVIDUAL...

Katika Mchakato huo ndiposa utakutana na NGUVU YA NENO AMBALO LITATOKANA NA UWEZO ULIOKO NDANI YAKO!

A word is a power of enabling things to happen...

A word can Create or Destroy...

A word is a product of a THOUGHT..

A THOUGHT IS A PRODUCT OF A SPIRIT!

Mpaka hapo kwanza......
Lete madini tuko pamoja
 
Kasome tena ubongo oarts zake n jinsi xinavyofanta kazi. Soma vizuri consciousness. Soma kuhusu memory.
Soma kuhusu language developnent from infant stage to adult.
Soma kuhusu dream .
Then uje ulinganishe na andiko lako.
Kamsokilize Sadh guru. Guru wa kihindi ameeleza vizuri saba aina za memory.
Nimesema hivibkwa sababu kuna nambo umeendika kwa sababu ya ombwe.
Mfano maneno hayatoki from no where bali yanatoka katika kumbukumbu.
Wanasaikolojia wanatuambia kuwa lugha huanza kujengwa na schema.
Schrna hujenga maumbo.
Nsumbo huusianisha na maneno.
Maneno hujenga sentensi ba sentensi huunda mazungumzo au habari.
Kama kuna wakufunzi humu wa saikolojia ta skili au ubongo wanaweza eleza vizuri.
Kwa hio mantno hayaongewi ftom no where but ftom programmed part of brain.
Unaongea kingereza kwa ababu kuna sehemu ya ubongo imewejewa memory ya kingereza ie fed with data. Habksna hujalishwa data zozote hutaweza kuongea chochote.
Jambo hili ni very complicated, usiliongelee kiju juu tu, pitia maandiko mengi kila nyanja ili uje na article ambayo ni scholarly article sio common sense article amvayo ina vacuum kutokana na jaarifa yaliopo.
Nimegusia sehemu moja tu ya kupanga sentensi, mengine nawaachia wanasaikolojia.
 
Shukrani mkuu...
Kwa nyongeza, Ulishawahi kusahau jambo fulani mfano jina la mtu fulani au kitu fulani au msamiati fulani, ukakaa ukafikiria Yani unaona kama linakuja linapotea...ukafikiria mpaka ukakata tamaa.

Halafu baadae kabisa umeshasahau hata kama ulikuwa unafikiria hiko kitu unashangaa jibu linakuja lenyewe kichwani?

Hapo kilichtokea ni kuwa conscious mind (ufahamu wa kawaida) ilishindwa kupata jibu ikamuachia subconscious mind aendelee kupekua kwenye mafaili yake. Alipopata jibu ndio akakuletea.

*Hiki kitu kimenitokea kama dakika kadha zilizopita, nilikuwa najaribu kukumbuka jina la ID ya member fulani ikawa haiji, ila nilipomaliza kutype huu Uzi nashangaa jina likaja lenyewe kichwani wakati nilikuwa hata sifikirii Tena na nlkuwa nishasahau.
Hii ipo sana mkuu. Mimi kuna sala huwa nazi recite (but silently) kila niamkapo au niwapo njoani. Sasa hutokea siku maneno fulani yanafutika tu akilini. Nasubiria ila sikimbiko. Basi huwa naruka hapo kwenda mbele, lakini baadae au mara tu maneno hayo huja tena kwa usahihi
 
Bryan Adams katika kitabu chake cha how to succeed ameelezea vizuri sana kuhusu hizi conscious mind zinavyofanya kazi. Mkuu February Makamba uzinwako ni mzuri kwa watu wanaopenda kujifunza.
 
Bado hamjanijibu swali langu how to use that mind to win sport betting
 
Subconscious
Superconscious...
Hizo level mbili ni za kibabe.

Umejaribu na kueleza jinsi ya ku direct ndoto ambazo zenye asili ya ku play back mambo yenye mjumuisho wa siku nzima. Ambazo based on inputs za siku husika au zile zilipita.

Kuna sombdy humu aliwahi pia kuongelea jinsi ya kuziongoza ndoto zako. Ila hizi ndoto zipo za aina nyingi kulingana na Source.

1. Work of mind. Ambapo kila information unayo iona na kuisikia ,hata kama ilikuwa miaka saba iliyopita. Our brain inaweza ikahifadhi kitu hata utachi kion kwa mara moja tu kikakaaaa. Sema jinsi ya kuki retrieve ndio maarifa ya conscious yamekwama. Wapo wanao weza na ndio tunaona wana kumbukumbu au geniuses. Ila wapo wanaoamin wana shida ya memory basi wanausemesha ubongo kuwa hii taarifa ipuuze weka ktk recycle bin. Sasa ndoto za Work of the mind unaweza kuziongoza kila hisi kabisa kwa method ya kucheza na input.

2. Ndoto za asili ya kiroho kabisaaa. Purely spiritual. Tukumbuke sisi ni roho tulio vaa miili. Na kuna roho zingine like Angels walio umbwa na kuwa assigned kabisa kufanya task zetu,kutusaidia na kutu tumikia. Usipo wapa task ya kufanya wanaboreka.

So unapo ingia ktk deep thinking, kitacho gusa hisia zako za ndani kabisa, moyoni mwako, hapo unaingia ktk masafa ya kiroho. Deep thinking wengine wanaipata kwa Chanting ( Maneno ya kurudia rudia). Wengine maneno ya kuambiwa, kama Hivyo recording zako unazo zitumia, ni kama chanting. Ambapo una activate masafa ya Rohoni na unaingia ktk actions.

Mimi nikitafakari jambo sana, nikionyesha concern basi nnapata majibu haraka sana tena kama ktk ndoto au thoughts za muda huo huo. Na kuna muda unaweza pata matokeo,ambayo unashindwa kujua hizi mbinu nimejifunza wapi. Hata Déjà Vu zinatokea humo.

Tunapolala roho zetu zina jimwaya ktk natural state yake ya haina mpaka wa muda, mazingira nk. Ukiruhusu itaweza kukuonyesha mengi inayo observe, kuanzia yaliyo tokea zamani, wanayo fanya watu muda huoo au hata kuweka ushirika na roho zingine ( Viumbe vingine vya rohon na kuja kulink na Conscious yako).

Ukifanya kila siku utakuwa unaishi ktk conscious sana, na mengine latest ya rohon ambayo roho yako inataka ku fetch utakuwa unayakosa. Mbali na recordings pia unaweza kufanya yafuatayo

1. Jiulize maswali wewe, binafsi kuhusu mambo yako, wewe ni nani, nini nataka, jambo gani ni muhim sana kwangu ktk majira haya, watu gani niwatoe etc Onyesha concern ktk hayo maswli connect vyema utapata majibu.

2. Tumia peni na karatasi. Mimina nafsi yako, sema yale unawishi, tafakari kama karatasi, kama unaona mind yako inatawanyika ukiwa unafikiria hewani hewani.

3. Unaweza omba msaada kwa MUNGU,muombe akufunilie kitu fulani, ongea kama unavyoongea na rafiki Yako. Ukiamini kuwa yupo Pembe yako, yaaani vyovyote vile lakni ukiamini kuwa yuko anakusikia na ukiomba tegemea anafanya.

NOTE

*Usiwe mtu wa kuchezea Simu nusu saa kabla ya kulala.

* Asubuhi usikurupuke kutoka kitandani, tulia hapo until consciousness yako ichukue ya ndotoni, otherwise Fwaaaaa yameenda.

*Usikurupuke kuchezea simu wkt wa kuamka, amka. Nenda jiandae, vaa. On your way out ndio unaweza chezea simu ( sio ngumu ukitaka).

* Usiamshwa na alarm ya simu,anza ku practice kujiambia nataka kuamka saaa fulani utaamka.
Nina maswali hapa:
Umesema usiwe mtu wa kuchezea simu nusu saa kabla ya kulala,kwanini?
usikurupuke kuchezea simu wakati wa kuamka,why?
hayo mawili niliyaruka hapo kwenye NOTE yako ninayapractise na yanafanya kazi vizuri sana,eg.hilo hapo chini limenitokea leo,ingawa sio mara ya kwanza,nilipanga leo kuamka saa 11 asubuhi kwa ajili ya mazoezi,ingawa alarm yangu nimeset saa 12 asubuhi,ilipofika saa 10:54 nikashtuka na nikaenda kwenye mazoezi kama nilivyopanga,NA kwa hilo lingine ni kuwa,huwa ninaposhtuka tu,kitu cha kwanza ninachokufanya ni kuwaza nimeota ndoto gani,hii hainichukui hata sekunda 20 ndoto itanijia na nina utaratibu wa kuziandika,lkn nikiamka na kuanza kuwaza vitu vingine siwezi kabisa kukumbuka niliota nini,au nitakumbuka vipande vipande ambavyo siwezi kuviunganisha......
 
Kazi nzuri, mwanzo mzuri

Ila mimi nina swali moja la kuongeza ufahamu.

Wewe niwa Allah au Yesu Kristo ?
au
are your a Christian, Muslim or Pagan ?

Meditation siku zote Lazima ikuweke karibu na Imani yako.
Yesu mwenyewe alikuwa anafanya meditation FYI
 
Mimi bhana nashangaa sana ndoto inaweza kuja na katk kuamka sekunde au hata dakika moja nikawa Niko najua nnchoota mpk kinaishia kiundani ni Kam naunganishw na brain ..hali hii ikoje Wandugu?
 
Back
Top Bottom