Nimegundua njia ya kuifikia subconscious mind kupitia ndoto

Nimegundua njia ya kuifikia subconscious mind kupitia ndoto

Mzee kuhusu kuwaza inategemea Attic yako umeijaza vitu gani Mana hivyo ndio Vita filter kila kiingiacho kwa kuzingatia pattern zake.
Kuna mtu mjuu kakuambia kuhusu Spiritual..... Usimpuuze.
Nmemuuliza aelezee zaidi spirituality hajajibu bado...sijampuuzia
 
Yote tisa
Kumi me nataka kujua hiyo njia yako inaweza kusaidia kushinda mkeka kwenye betting
Ni hilo tu
Natanguliza shukrani
 
Kama nilivyosema hapo juu, Njia zinazotumika kufikia subconscious mind ni meditation, mindfulness,therapy na ndoto,
ila hii ya ndoto haitumiki sana maana ndoto huja randomly na hazina formula. Watu wameshindwa kuzicontrol na kuchagua waote kuhusu nini.. wameshindwa kuzielewa na kisayansi imechukuliwa ndoto ni kama makapi ya processes za kazi za ubongo zisizo na maana yoyote.

Mimi nimegundua mbinu rahisi ya kucrack hizi ndoto ili kuuelekeza ubongo ukuambie nini kupitia ndoto.


Njia ya kupitia ndoto.
Kwasababu subconscious mind ni kubwa sana na huwezi kuifikia yote, kwenye hii njia ya ndoto unachofanya ni kutarget unataka ufikie jambo gani ndani ya akili Yako.

Fikiria tu kwenye ufahamu wako wa kawaida, je unaweza kuvifikiria vitu vyote unavyovijua kwa wakati mmoja? Yani kuanzia kumbukumbu zako zote unazokumbuka,hisia,maarifa,ujuzi,Imani zako zote??

Jibu obviously ni hapana Kwasababu unaweza kufikiria jambo moja tu kwa wakati mmoja, na mambo unayoyajua ni mengi sana Yani kama wazo moja ni tone basi ufahamu wako wote ni Kama bahati ya Pacific.

Sasa kama ufahamu wa kawaida (wenye 5%) ni mkubwa Hivyo, vipi kuhusu huu ulio chini ya fahamu? Ambao ni zaidi ya 95% ya akili Yako?

Hivyo hauwezi kuifikia wote lakini unaweza kuchagua parts unazotaka kuzifikia (kama unavyochagua jambo la kufikiri au kukumbuka katika ufahamu wa kawaida) kupitia ndoto.
Pia unaweza kutoa au kuingia vitu kwenye subconscious mind Yako. Kutoa ni Ile kuextract information unazotaka kujua kwa kuuliza maswali, na kuweka ni kama unataka ubadilishe ufahamu wako wa kawaida kupitia subconscious mind Yako.

Tumia hizi steps.
*Vifaa ni simu yenye charge na earphones tu

1. Chagua topic au kitu unachotaka kuifikia kwenye subconscious mind Yako. Mfano, nataka kutoa kitu (kujua ni mwanamke gani alinifaa kuliko wote niliodate nao?)

2. Rekodi voice note fupi (isizidi sekunde 20) ukielezea au kuuliza topic uliyochagua kwa kujitaja taja jina. Mfano (February, Kati ya Jeni na Aisha ni yupi anakufaa? Wewe February, Ni Binti Aisha? Au ni Jeni? February umesikia? Ni Jeni au Aisha?)
Hakikisha unaongea slowly polepole kwa sauti ya upole. Halafu ongea huku unarudia rudia maneno.
ila Isizidi sekunde 20-30.

3. Weka hiyo voice note iwe inaplay kwa kujirudia rudia (loop) halafu weka earphones masikioni kisha lala vizuri kwenye mto kwa pozi ambalo hazitotoka usiku.

4.Ukifanya Hivyo lazima utaota ndoto kuhusu hayo maneno uliyorekodi. Ikumbuke hiyo ndoto uamkapo, ifikirie mara mbili maana hiyo ndoto huja na majibu ya kitu ulichosikiliza usingizini.

Leo ni siku ya 4 nafanya hivi kwa topics mbalimbali, nimegundua vingi sana kuhusu maisha yangu. Nitatoa ushuhuda baadae

Natumai wapo mtakaojaribu, msisahau kuleta mrejesho. Asanteni.
Subconscious
Superconscious...
Hizo level mbili ni za kibabe.

Umejaribu na kueleza jinsi ya ku direct ndoto ambazo zenye asili ya ku play back mambo yenye mjumuisho wa siku nzima. Ambazo based on inputs za siku husika au zile zilipita.

Kuna sombdy humu aliwahi pia kuongelea jinsi ya kuziongoza ndoto zako. Ila hizi ndoto zipo za aina nyingi kulingana na Source.

1. Work of mind. Ambapo kila information unayo iona na kuisikia ,hata kama ilikuwa miaka saba iliyopita. Our brain inaweza ikahifadhi kitu hata utachi kion kwa mara moja tu kikakaaaa. Sema jinsi ya kuki retrieve ndio maarifa ya conscious yamekwama. Wapo wanao weza na ndio tunaona wana kumbukumbu au geniuses. Ila wapo wanaoamin wana shida ya memory basi wanausemesha ubongo kuwa hii taarifa ipuuze weka ktk recycle bin. Sasa ndoto za Work of the mind unaweza kuziongoza kila hisi kabisa kwa method ya kucheza na input.

2. Ndoto za asili ya kiroho kabisaaa. Purely spiritual. Tukumbuke sisi ni roho tulio vaa miili. Na kuna roho zingine like Angels walio umbwa na kuwa assigned kabisa kufanya task zetu,kutusaidia na kutu tumikia. Usipo wapa task ya kufanya wanaboreka.

So unapo ingia ktk deep thinking, kitacho gusa hisia zako za ndani kabisa, moyoni mwako, hapo unaingia ktk masafa ya kiroho. Deep thinking wengine wanaipata kwa Chanting ( Maneno ya kurudia rudia). Wengine maneno ya kuambiwa, kama Hivyo recording zako unazo zitumia, ni kama chanting. Ambapo una activate masafa ya Rohoni na unaingia ktk actions.

Mimi nikitafakari jambo sana, nikionyesha concern basi nnapata majibu haraka sana tena kama ktk ndoto au thoughts za muda huo huo. Na kuna muda unaweza pata matokeo,ambayo unashindwa kujua hizi mbinu nimejifunza wapi. Hata Déjà Vu zinatokea humo.

Tunapolala roho zetu zina jimwaya ktk natural state yake ya haina mpaka wa muda, mazingira nk. Ukiruhusu itaweza kukuonyesha mengi inayo observe, kuanzia yaliyo tokea zamani, wanayo fanya watu muda huoo au hata kuweka ushirika na roho zingine ( Viumbe vingine vya rohon na kuja kulink na Conscious yako).

Ukifanya kila siku utakuwa unaishi ktk conscious sana, na mengine latest ya rohon ambayo roho yako inataka ku fetch utakuwa unayakosa. Mbali na recordings pia unaweza kufanya yafuatayo

1. Jiulize maswali wewe, binafsi kuhusu mambo yako, wewe ni nani, nini nataka, jambo gani ni muhim sana kwangu ktk majira haya, watu gani niwatoe etc Onyesha concern ktk hayo maswli connect vyema utapata majibu.

2. Tumia peni na karatasi. Mimina nafsi yako, sema yale unawishi, tafakari kama karatasi, kama unaona mind yako inatawanyika ukiwa unafikiria hewani hewani.

3. Unaweza omba msaada kwa MUNGU,muombe akufunilie kitu fulani, ongea kama unavyoongea na rafiki Yako. Ukiamini kuwa yupo Pembe yako, yaaani vyovyote vile lakni ukiamini kuwa yuko anakusikia na ukiomba tegemea anafanya.

NOTE

*Usiwe mtu wa kuchezea Simu nusu saa kabla ya kulala.

* Asubuhi usikurupuke kutoka kitandani, tulia hapo until consciousness yako ichukue ya ndotoni, otherwise Fwaaaaa yameenda.

*Usikurupuke kuchezea simu wkt wa kuamka, amka. Nenda jiandae, vaa. On your way out ndio unaweza chezea simu ( sio ngumu ukitaka).

* Usiamshwa na alarm ya simu,anza ku practice kujiambia nataka kuamka saaa fulani utaamka.
 
Huu Uzi naomba wanasaikolojia na wanabaiolojia(neuroscientists) waje kuhakiki maana nitaenda kupublish research.

Utangulizi:
Unajua asilimia kubwa ya Akili na mawazo unayowaza iko nje ya ufahamu wako? Unajua kuwa hata mawazo unayofikiri huwa yanachipuka kutokea kwenye akili iliyo chini ya fahamu zako? Mfano. Mtu anapokuwa anaongea kwenye stori, huwa hapangilii kwa ufahamu wake aseme nini baada ya nini, bali maneno huwa yanakuja tu from nowhere yeye anaongea tu, hata ukichunguza vitu unavyowaza mda mwingi huwa vinakuja tu vyenyewe kichwani bila Wewe kupanga. Huwa vinatokea wapi? Hii ndiyo akili iliyo chini ya ufahamu wako (subconscious mind). Na inachukua zaidi ya 95% ya ufahamu wako.hii 5% ndio ule ufahamu wako unaojitambua.

Unapokuwa hujitambui/hauna ufahamu Yani ukiwa umelala hii akili ya chini ya ufahamu huendelea kufanya kazi na ndiyo hapo tunapata kitu tunaita ndoto. Hivyo ndoto Zina Siri nyingi kuhusu mienendo ya subconscious minds zetu.

Akili iliyo chini ya fahamu(subconscious mind) inaathiri vitendo tunavyofanya kwa ufahamu wetu kupitia njia kadhaa:

1. Imani: Mara nyingi, mawazo ya chini ya fahamu yanashikilia imani zilizo imara ambazo hushape maamuzi yetu. Imani hizi zinaweza kutufanya kufanya chaguzi zinazolingana na kile tunachokiamini bila ufahamu wa moja kwa moja. Mfano ukiwa unaamini subconsciously kuwa mzungu ni superior na ana akili kukuzidi, inaweza kuathiri mawazo Yako au matendo Yako ukikutana na mzungu bila Wewe kujua.

2. Hisia: Hisia za chini ya fahamu zinaweza kuathiri sana tabia zetu. Kwa mfano, ikiwa tuna hisia za hofu au hatia ambazo hazijatatuliwa ndani ya subconscious mind, zinaweza kuathiri chaguzi na vitendo vyetu bila kujua.

3. Njia za Kawaida: Matendo mengi ya kila siku yanatokana na mazoea yaliyohifadhiwa kwenye subconscious mind. Mazoea haya hujengwa kwa muda na kuwa majibu ya moja kwa moja kwenye hali au tukio fulani.

4. Intuition and gut feelings: Mara nyingine, subconscious mind inaweza kuchakata habari haraka kuliko ufahamu wa moja kwa moja. Maamuzi ya kiintuitive mara nyingi hutoka kwa usindikaji huu wa chini ya fahamu na kuongoza vitendo vyetu. (Haya ni yale maamuzi mtu hufanya kwa harakat bila kufikiria)

5. Kumbukumbu: subconscious mind hufadhi taarifa nyingi, ikiwa ni pamoja na uzoefu wa zamani. Tunapokutana na hali fulani, kumbukumbu hizi zinaweza kuathiri chaguzi zetu, hata kama hatukumbuki kwa ufahamu wa kawaida. Mfano. Unaweza kuchukia jambo fulani automatic bila kuwa na sababu yoyote,kumbe Kuna memory kwenye subconscious mind jambo Hilo liliwahi kuudhi zamani hata. Utotoni.

6.Ubunifu: Unaweza kukaa ukashangaa idea nzuri imekuja kichwani from nowhere na ikawa kubwa mpaka ukajishangaa uliifikiriaje? Hiyo mara nyingi huwa inachipukia kutokea kwenye subconscious mind.


Kwahyo tunaweza kuona kuwa ufahamu wetu ni % ndogo sana ya akili zetu na mgodi mkubwa wa mawazo yetu, Imani zetu, kumbukumbu zetu, hisia zetu umefichwa kwenye subconscious mind.

Mbinu ambazo watu hutumia kuifikia hii subconscious mind na kuaccess madini yaliyopo huko ni kama Mindfulness, meditation (tahajudi), au Therapy.

Mimi kwa bahati nzuri nimegundua njia nyingine ya kuaccess huu mgodi uliopo vichwani mwetu, nayo ni kupitia ndoto. Nitaeleza hapa chini.
Ukweli ni kwamba hauko mbali na KUJITAFUTA...

KNOWING WHO YOU REALLY ARE!

Sasa iko hivi:
Subconscious-MIND
Brain-UBONGO.

MIND TAFSIRI YAKE RAHISI NI SPIRITUAL ENERGY INAYOTENGENEZA ZAO liitwalo-THOUGHT.

SPIRITUAL ENERGY NI derivative ya SPIRIT AU SOUL.

Sasa Mwanadamu yeyote anapozaliwa atakuwa ametokana na DESIRE OF THE SPIRIT TO BECOME an individual at which is you and me!

Ile DESIRE YA KUCHUKULIWA MIMBA NI a thought manifesto to an individual.

Sasa Mtu yeyote aliyezaliwa tayari ana MASTER PLAN YA MAISHA YAKE YOTE kupitia SPIRITUAL ENERGY throughout the process!

MASTER plan iliyoko kwenye SPIRITUAL mind...inatafsiriwa na BRAIN...!

BRAIN NDO IYO 5% ULIYOSEMA but is even smaller!

Meditation au Sala au njia yoyote yenye utulivu au utaratibu wa kufanya mawasiliano ya kujitafuta ni kwa kusaidia UBONGO KWENDA KWENYE SUBCONSCIOUS MIND KUCHOTA TRUTH AND FACTS KUKUHUSU!

Watu waliokuwa na uwezo MKUBWA ambao UBONGO WAO Haukuathirika na Mazingira..wanakuwa na kitu kinachoitwa-REMEMBERING...AU AWARENESS!

ROHO ZOTE zinauwezo wa kukumbuka mambo hata ya miaka 2000-Tatizo ni Uwezo wa BRAIN...

Hilo la Ndoto niulize swali...JE WAJUA KWANINI WATU HUPATA USINGIZI?...
 
Subconscious
Superconscious...
Hizo level mbili ni za kibabe.

Umejaribu na kueleza jinsi ya ku direct ndoto ambazo zenye asili ya ku play back mambo yenye mjumuisho wa siku nzima. Ambazo based on inputs za siku husika au zile zilipita.

Kuna sombdy humu aliwahi pia kuongelea jinsi ya kuziongoza ndoto zako. Ila hizi ndoto zipo za aina nyingi kulingana na Source.

1. Work of mind. Ambapo kila information unayo iona na kuisikia ,hata kama ilikuwa miaka saba iliyopita. Our brain inaweza ikahifadhi kitu hata utachi kion kwa mara moja tu kikakaaaa. Sema jinsi ya kuki retrieve ndio maarifa ya conscious yamekwama. Wapo wanao weza na ndio tunaona wana kumbukumbu au geniuses. Ila wapo wanaoamin wana shida ya memory basi wanausemesha ubongo kuwa hii taarifa ipuuze weka ktk recycle bin. Sasa ndoto za Work of the mind unaweza kuziongoza kila hisi kabisa kwa method ya kucheza na input.

2. Ndoto za asili ya kiroho kabisaaa. Purely spiritual. Tukumbuke sisi ni roho tulio vaa miili. Na kuna roho zingine like Angels walio umbwa na kuwa assigned kabisa kufanya task zetu,kutusaidia na kutu tumikia. Usipo wapa task ya kufanya wanaboreka.

So unapo ingia ktk deep thinking, kitacho gusa hisia zako za ndani kabisa, moyoni mwako, hapo unaingia ktk masafa ya kiroho. Deep thinking wengine wanaipata kwa Chanting ( Maneno ya kurudia rudia). Wengine maneno ya kuambiwa, kama Hivyo recording zako unazo zitumia, ni kama chanting. Ambapo una activate masafa ya Rohoni na unaingia ktk actions.

Mimi nikitafakari jambo sana, nikionyesha concern basi nnapata majibu haraka sana tena kama ktk ndoto au thoughts za muda huo huo. Na kuna muda unaweza pata matokeo,ambayo unashindwa kujua hizi mbinu nimejifunza wapi. Hata Déjà Vu zinatokea humo.

Tunapolala roho zetu zina jimwaya ktk natural state yake ya haina mpaka wa muda, mazingira nk. Ukiruhusu itaweza kukuonyesha mengi inayo observe, kuanzia yaliyo tokea zamani, wanayo fanya watu muda huoo au hata kuweka ushirika na roho zingine ( Viumbe vingine vya rohon na kuja kulink na Conscious yako).

Ukifanya kila siku utakuwa unaishi ktk conscious sana, na mengine latest ya rohon ambayo roho yako inataka ku fetch utakuwa unayakosa. Mbali na recordings pia unaweza kufanya yafuatayo

1. Jiulize maswali wewe, binafsi kuhusu mambo yako, wewe ni nani, nini nataka, jambo gani ni muhim sana kwangu ktk majira haya, watu gani niwatoe etc Onyesha concern ktk hayo maswli connect vyema utapata majibu.

2. Tumia peni na karatasi. Mimina nafsi yako, sema yale unawishi, tafakari kama karatasi, kama unaona mind yako inatawanyika ukiwa unafikiria hewani hewani.

3. Unaweza omba msaada kwa MUNGU,muombe akufunilie kitu fulani, ongea kama unavyoongea na rafiki Yako. Ukiamini kuwa yupo Pembe yako, yaaani vyovyote vile lakni ukiamini kuwa yuko anakusikia na ukiomba tegemea anafanya.

NOTE

*Usiwe mtu wa kuchezea Simu nusu saa kabla ya kulala.

* Asubuhi usikurupuke kutoka kitandani, tulia hapo until consciousness yako ichukue ya ndotoni, otherwise Fwaaaaa yameenda.

*Usikurupuke kuchezea simu wkt wa kuamka, amka. Nenda jiandae, vaa. On your way out ndio unaweza chezea simu ( sio ngumu ukitaka).

* Usiamshwa na alarm ya simu,anza ku practice kujiambia nataka kuamka saaa fulani utaamka.
Fantastic!

Tuko kwenye Mtumbwi mmoja!
 
Ukweli ni kwamba hauko mbali na KUJITAFUTA...

KNOWING WHO YOU REALLY ARE!

Sasa iko hivi:
Subconscious-MIND
Brain-UBONGO.

MIND TAFSIRI YAKE RAHISI NI SPIRITUAL ENERGY INAYOTENGENEZA ZAO liitwalo-THOUGHT.

SPIRITUAL ENERGY NI derivative ya SPIRIT AU SOUL.

Sasa Mwanadamu yeyote anapozaliwa atakuwa ametokana na DESIRE OF THE SPIRIT TO BECOME an individual at which is you and me!

Ile DESIRE YA KUCHUKULIWA MIMBA NI a thought manifesto to an individual.

Sasa Mtu yeyote aliyezaliwa tayari ana MASTER PLAN YA MAISHA YAKE YOTE kupitia SPIRITUAL ENERGY throughout the process!

MASTER plan iliyoko kwenye SPIRITUAL mind...inatafsiriwa na BRAIN...!

BRAIN NDO IYO 5% ULIYOSEMA but is even smaller!

Meditation au Sala au njia yoyote yenye utulivu au utaratibu wa kufanya mawasiliano ya kujitafuta ni kwa kusaidia UBONGO KWENDA KWENYE SUBCONSCIOUS MIND KUCHOTA TRUTH AND FACTS KUKUHUSU!

Watu waliokuwa na uwezo MKUBWA ambao UBONGO WAO Haukuathirika na Mazingira..wanakuwa na kitu kinachoitwa-REMEMBERING...AU AWARENESS!

ROHO ZOTE zinauwezo wa kukumbuka mambo hata ya miaka 2000-Tatizo ni Uwezo wa BRAIN...

Hilo la Ndoto niulize swali...JE WAJUA KWANINI WATU HUPATA USINGIZI?...

Natamani uendelee kuandika
 
Subconscious
Superconscious...
Hizo level mbili ni za kibabe.

Umejaribu na kueleza jinsi ya ku direct ndoto ambazo zenye asili ya ku play back mambo yenye mjumuisho wa siku nzima. Ambazo based on inputs za siku husika au zile zilipita.

Kuna sombdy humu aliwahi pia kuongelea jinsi ya kuziongoza ndoto zako. Ila hizi ndoto zipo za aina nyingi kulingana na Source.

1. Work of mind. Ambapo kila information unayo iona na kuisikia ,hata kama ilikuwa miaka saba iliyopita. Our brain inaweza ikahifadhi kitu hata utachi kion kwa mara moja tu kikakaaaa. Sema jinsi ya kuki retrieve ndio maarifa ya conscious yamekwama. Wapo wanao weza na ndio tunaona wana kumbukumbu au geniuses. Ila wapo wanaoamin wana shida ya memory basi wanausemesha ubongo kuwa hii taarifa ipuuze weka ktk recycle bin. Sasa ndoto za Work of the mind unaweza kuziongoza kila hisi kabisa kwa method ya kucheza na input.

2. Ndoto za asili ya kiroho kabisaaa. Purely spiritual. Tukumbuke sisi ni roho tulio vaa miili. Na kuna roho zingine like Angels walio umbwa na kuwa assigned kabisa kufanya task zetu,kutusaidia na kutu tumikia. Usipo wapa task ya kufanya wanaboreka.

So unapo ingia ktk deep thinking, kitacho gusa hisia zako za ndani kabisa, moyoni mwako, hapo unaingia ktk masafa ya kiroho. Deep thinking wengine wanaipata kwa Chanting ( Maneno ya kurudia rudia). Wengine maneno ya kuambiwa, kama Hivyo recording zako unazo zitumia, ni kama chanting. Ambapo una activate masafa ya Rohoni na unaingia ktk actions.

Mimi nikitafakari jambo sana, nikionyesha concern basi nnapata majibu haraka sana tena kama ktk ndoto au thoughts za muda huo huo. Na kuna muda unaweza pata matokeo,ambayo unashindwa kujua hizi mbinu nimejifunza wapi. Hata Déjà Vu zinatokea humo.

Tunapolala roho zetu zina jimwaya ktk natural state yake ya haina mpaka wa muda, mazingira nk. Ukiruhusu itaweza kukuonyesha mengi inayo observe, kuanzia yaliyo tokea zamani, wanayo fanya watu muda huoo au hata kuweka ushirika na roho zingine ( Viumbe vingine vya rohon na kuja kulink na Conscious yako).

Ukifanya kila siku utakuwa unaishi ktk conscious sana, na mengine latest ya rohon ambayo roho yako inataka ku fetch utakuwa unayakosa. Mbali na recordings pia unaweza kufanya yafuatayo

1. Jiulize maswali wewe, binafsi kuhusu mambo yako, wewe ni nani, nini nataka, jambo gani ni muhim sana kwangu ktk majira haya, watu gani niwatoe etc Onyesha concern ktk hayo maswli connect vyema utapata majibu.

2. Tumia peni na karatasi. Mimina nafsi yako, sema yale unawishi, tafakari kama karatasi, kama unaona mind yako inatawanyika ukiwa unafikiria hewani hewani.

3. Unaweza omba msaada kwa MUNGU,muombe akufunilie kitu fulani, ongea kama unavyoongea na rafiki Yako. Ukiamini kuwa yupo Pembe yako, yaaani vyovyote vile lakni ukiamini kuwa yuko anakusikia na ukiomba tegemea anafanya.

NOTE

*Usiwe mtu wa kuchezea Simu nusu saa kabla ya kulala.

* Asubuhi usikurupuke kutoka kitandani, tulia hapo until consciousness yako ichukue ya ndotoni, otherwise Fwaaaaa yameenda.

*Usikurupuke kuchezea simu wkt wa kuamka, amka. Nenda jiandae, vaa. On your way out ndio unaweza chezea simu ( sio ngumu ukitaka).

* Usiamshwa na alarm ya simu,anza ku practice kujiambia nataka kuamka saaa fulani utaamka.


Wonderful
 
andika tu mkuu
Namna yangu ya kuandika ni kuwezesha UFAHAMU kupatikana ili kufanya maisha kuwa Rahisi.

Na hii ni kupanua uelewa wa kwamba Sisi WANADAMU NI KITU GANI HASA!

Utakuta kwa vile kuna Elimu nyingi ziko kwa Mafumbo basi mahangaiko ni makubwa sana!

Lakini kadiri siku zinavyoenda Elimu inatusogelea na tunapata UFAHAMU walau sahihi na kupelekea kutafsiri maisha ndani ya UELEWA MPANA.

Maandishi bado yatakuwa mafupi lakini yatagusa Topic ya Kujitambua moja kwa moja!

SCIENCE ITAHUSIKA.

Baada ya SCIENCE utakutana na kitu watu wanachokiita Imani au Dini lakini ukweli ni kwamba SCIENCE imetafsiri kila kitu vizuri na mwisho wake na kwa Sababu matokeo ya SCIENCE ni Magnificent na inapelekea SCIENCE kupata majawabu ya ninani Author wa maajabu yote haya basi ndipo tunaishia kuamini kwamba kuna MASTER!

DESIGNER

MUNGU!

Liko neno muhimu sana ningetamani tuanze nalo..

ENERGY.

What is the first law of ENERGY:

ENERGY can not be created neither nor destroyed...na zikafuata theories nyingi hapo!

Kitendo ya kwamba hakuna mtu mwenye uwezo wa kuumba ENERGY NA WALA HUWEZI KUIANGAMIZA...tayari huu ni ufunguo...

Ebu twende tena mbele kidogo...

MATTER.

DEFINE MATTER.

MATTER is anything which ocupies space and has weight!

Sasa kuanzia hapo yafaa tujitafute kama ifuatavyo...

An individual is a MATTER at which is CREATED INSIDE A BINDING ENERGY WHICH IS SPIRIT.

Kwa hivo BINADAMU NI MATTER ILIYOKO KWENYE MAGNIFICENCE IITWAYO-Roho-SPIRIT.

MAGNIFICENCE called SPIRIT!

ROHO ILIKUWEPO,IPO NA ITAKUWEPO DAIMA!

Kumbe basi MWILI TULIOKO NAO NI MATTER au kwa lugha rahisi ni UDONGO AMBAPO WAKATI FULANI UDONGO HUU UTACHAKAA NA KUACHA ROHO KWENDA ZAKE!

So actually there is no point of Dying but rather WEAERING OF THE BODY INSIDE THE SPIRIT!

Mwili huchakaa na kuacha ROHO kuendelea kuishi under several other Evolution processes!

SASA
ENERGY as we started said it earlier-Iko kwenye products nyingi...

Kwetu sisi wanadamu nitaongelea Body ,Mind and SPIRIT...

Kilichoko kwenye Mwili ni ule muundo wa mwanzo wa Mwanadamu yaani Cells,Tissue,Organs,Systems na MTU KAMILI.

Nitachukua kiungo kimoja tu hapa ambacho ni UBONGO...ama Mfumo wa UFAHAMU ambao kazi yake kubwa kabisa ni kutafsiri mpango sahihi na mkamilifu wa ROHO YAKO KAMA ILIVYOKUWA SABABU YA MWANADAMU KUZALIWA...the PURPOSE OF LIFE OF AN INDIVIDUAL...

Katika Mchakato huo ndiposa utakutana na NGUVU YA NENO AMBALO LITATOKANA NA UWEZO ULIOKO NDANI YAKO!

A word is a power of enabling things to happen...

A word can Create or Destroy...

A word is a product of a THOUGHT..

A THOUGHT IS A PRODUCT OF A SPIRIT!

Mpaka hapo kwanza......
 
Back
Top Bottom