Konda wa bajaj
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 604
- 918
Wasio na akili wanaongezeka upande ule wa UTOPOLO.Sitaki kuzeeka mapema kisa timu ya mpila. Hela nitafute kwa shida pia hata timu ya mpila nayo inipe stress??
Wana Simba mtanisamehe sana, kwa Yanga hii tutasubiri sana.
Kama huwezi kushindana nao basi ungana nao..
Nipo tayari kuitwa msaliti........