Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss you dearSikuhizi Kila jambo ku share tu Cha peke yako kaburi tu
NimechekaaWe nawe!
Mwanamke wa peke yako katika kizazi hiki utampata wapi? Kwani ulikuwa unataka kumuoa?
💯🤝We nawe!
Mwanamke wa peke yako katika kizazi hiki utampata wapi? Kwani ulikuwa unataka kumuoa?
💯🤝Sikuhizi Kila jambo ku share tu Cha peke yako kaburi tu
Ukiwa nazo huhangaiki na kumchunguza bata, labda kama ni wife on special purpose.Wanaotafuta pesa hawagusiwi ?
Kweli kabisa.Kuhack ni kujitaftia stress tu
Kuna jamaa yangu alikonda akaisha kwa sababu ya kumhack mchumba wake. Uyo KE alikuwa anamsema jamaa vibaya kwa marafiki zake plus usalitiKweli kabisa.