Miss you dearSikuhizi Kila jambo ku share tu Cha peke yako kaburi tu
NimechekaaWe nawe!
Mwanamke wa peke yako katika kizazi hiki utampata wapi? Kwani ulikuwa unataka kumuoa?
💯🤝We nawe!
Mwanamke wa peke yako katika kizazi hiki utampata wapi? Kwani ulikuwa unataka kumuoa?
💯🤝Sikuhizi Kila jambo ku share tu Cha peke yako kaburi tu
Ukiwa nazo huhangaiki na kumchunguza bata, labda kama ni wife on special purpose.Wanaotafuta pesa hawagusiwi ?
Kweli kabisa.Kuhack ni kujitaftia stress tu
Kuna jamaa yangu alikonda akaisha kwa sababu ya kumhack mchumba wake. Uyo KE alikuwa anamsema jamaa vibaya kwa marafiki zake plus usalitiKweli kabisa.