BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Kweli.. 🤪🤣Mbona tupo wengi tu🤣🤣🤣
Mzee mwenzangu ukaniacha solemba😭😭😭😭Kweli.. 🤪🤣
Mzee mwenzangu usiniletee uchuro ujue..Mzee mwenzangu ukaniacha solemba😭😭😭😭
😭😭😭😭😭Mzee mwenzangu usiniletee uchuro ujue..
We unataka nini haswa, nilikwambia taja mahari nije nikuchukue hujataja.
Au unataka niwe nakudinya unOFFICIAL!?🤣
Hatukumaliza.. sasa leo tulimalize..😭😭😭😭😭
Suala la mahari si tulishalimaliza jamani!!!
Yapo makaburi ya watu wengi pia mnazikwa hata 100 humo ndaniSikuhizi Kila jambo ku share tu Cha peke yako kaburi tu
🤣🤣🤣🤣Hatukumaliza.. sasa leo tulimalize..
Eti unanitaka,
Eti unanipenda?
Basi taja mahari..🥰
Unaona unaanza kuruka ruka, taja mahari sasa.🤣🤣🤣🤣
Msahafu🤣🤣🤣Unaona unaanza kuruka ruka, taja mahari sasa.
Msimu wa mvua huu, mie kulala pekee yangu kama mjusi nimechoka.
tuma link ya hiyo AppMm natumia Ile inayoitwa WIFI unainstall kwenye simu yake akichat au akiongea na simu tu akiwa amewasha data nazipata sms zote na call zote
Imeisha hiyo kesho baada ya magharibi tu nakuja kukubeba, ingekuwa siyo mwezi wa ramadhani tungefanya hata saa 7 mchana, ila mwezi huu tukifunga saa 7,tutabaki kutizamana bila kudinyana, tufunge saa 12 jioni, tunajifuturu sisi wenyewe.Msaafu🤣🤣🤣
Kirahisi hivyo Mkuu? Hizi n biashara kabisa Mkuu kama vipi nikuunganishe na kijana ila lazima uje na simu Yako na yaketuma link ya hiyo App