Nimehangaika sana bila mafanikio

Sidharau ushauri mkuu coz nahitaji msaada kama waweza nipa ushauri pia ntashukuru
Hapana nitakuwa muongo, tatizo lako Kwa kweli Sina uzoefu nalo........ dharau sijamaanisha wewe nimemaanisha huyo aliyeambiwa anataka kukutapeli 65,sio wa namna hiyo
 
Samahan mkuu nifafanulie kanifanyaje na nifanyeje
Alikutega,ukicheat isifanye Kaz.....mshirikishe Yaan mwambie ukweli maana ndicho anachosubiri japo anajua....atarudi kutegua alikotega
 
Mkuu sikupingi ila inapaswa ufahamu kuwa kuna watu wamenyooka hawana stori nyingi hao wanamaliza kila jambo hapo hapo. Labda jamaa ni mmoja wao usimhukumu kwa base hii ya kunyooka kwake.
 
 
Hapana nitakuwa muongo, tatizo lako Kwa kweli Sina uzoefu nalo........ dharau sijamaanisha wewe nimemaanisha huyo aliyeambiwa anataka kukutapeli 65,sio wa namna hiyo
Ahsante mkuu ntafata ushauri wake sitaupuuza
 
Hapo mchepuko alikufanyizia usisime kwa mtu yoyote ipokuwa yeye tu,ukitaka kuamini Rudi kwa mchepuko uone Kama haitasimama.ila ndoa yako ndio inakufa hivyo
 
Alikutega,ukicheat isifanye Kaz.....mshirikishe Yaan mwambie ukweli maana ndicho anachosubiri japo anajua....atarudi kutegua alikotega
Sawa ntafanya ivo japo kusema ukweli ananisaidia sana kupambana na hii hali na anaonesha kutojali ili nisiwe na mawazo hapo ndo huwa najipa iman huenda sio yeye
 
Njoo dm
 
Hapo mchepuko alikufanyizia usisime kwa mtu yoyote ipokuwa yeye tu,ukitaka kuamini Rudi kwa mchepuko uone Kama haitasimama.ila ndoa yako ndio inakufa hivyo
Mkuu ningejua uyo mchupuko yuko wapi huenda ingesaidia sana ila nilipiga tukapotezana mazima sina mawasiliano nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…